Ni simulizi gani Ilikukuna vizuri hapa JF 2016?

Mimi nilikunwa na simulizi za the one and only The bold
1.Geranimo E.K.I.A
2.Mifereji ya Dhahabu:pasipo silaha,chuki,wala ukatili.
Hizi ni moja kati ya simulizi bora kabisa kuwahi kutokea.
Ila funga kazi ni Geranimo E.K.I.A...nililia kwa uchungu!

Salute The bold
Mmh mbona hizo story mimi zimenipita.kwangu ya peniela na Danny mpaka mate ingawa mwisho story ikawa haieleweki
 
Mimi nilikunwa na simulizi za the one and only The bold
1.Geranimo E.K.I.A
2.Mifereji ya Dhahabu:pasipo silaha,chuki,wala ukatili.
Hizi ni moja kati ya simulizi bora kabisa kuwahi kutokea.
Ila funga kazi ni Geranimo E.K.I.A...nililia kwa uchungu!

Salute The bold
Nifah!
Tafadhali tuwekee link ya hizo simulizi kutoka kwa Legendary Comrade "The Bold"
 
mh hapo kwenye "kukunwa" panaleta ukakasi kidogo nashindwa kuchangia.
Rekebisha kidogo
(just a little joke...lol)
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom