Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,845
namba 8?ILE ILIYOMPOTEZA YULE.
namba 8?ILE ILIYOMPOTEZA YULE.
Weka Link Mkuu tuende vzuri ni xmass
Itafute Duka la roho iko njemazilizonisisimua ni peniela,mke wa raisi na miss tanzania. Tuleteeni story nyingine watunzi
Nimetumia akili nyingi kukuelewa mkuu!mi nilijua Faru Yohananamba 8?
Mshana Jr nakuona cku hz unajarbu kuepuka kwa kutokuandika maneno zaidi watumia imoji tyunamba 8?
PENIELA ilinisisimua sana lakini sikutegemea mwishoni ingekuwa mbovu vile MKE WA RAIS Inanivutia sana Japo cjajua mwishoni itakuwa vipi..Habarini Jf members,
Napenda tushee ideas kuhusu simulizi hapa jukwaani kwa mwaka huu unaoisha.
Kwa upande wangu simulizi zilizonisisimua zaidi ni:
1:Mke wa Rais
2eniela(story ya kijasusi)
3:Nililala na maiti nitajirike.
Kwangu story ya "Mke Wa Rais" imekuwa story ya Funga mwaka chini ya mtunzi Ibra87.
Je,story gani iligusa hisia zako kindakindaki kwa mwaka unaoisha???
Cc Shunie
Sohwa.
Ibra87
Nemesis
Duka la roho ifatilie piaPENIELA ilinisisimua sana lakini sikutegemea mwishoni ingekuwa mbovu vile MKE WA RAIS Inanivutia sana Japo cjajua mwishoni itakuwa vipi..
Mke Wa Rais c bado haijamaliziwa kusimuliwa but iko njema kwa kwelizilizonisisimua ni peniela,mke wa raisi na miss tanzania. Tuleteeni story nyingine watunzi
Cc MentorMentor alituaga kuwa yu karibu anakufa,eti ana Umeme!
Nahc zilikuwa story tu!
Nimetumia akili nyingi kukuelewa mkuu!mi nilijua Faru Yohana
siku hizi kuna wakalimani wa kujitolea....Mshana Jr nakuona cku hz unajarbu kuepuka kwa kutokuandika maneno zaidi watumia imoji tyu
Sana ibra alisema atatoa kitabu na kwenye acc yake ya fb anaendeleaMke Wa Rais c bado haijamaliziwa kusimuliwa but iko njema kwa kweli
Anatumia jina gani fbSana ibra alisema atatoa kitabu na kwenye acc yake ya fb anaendelea
nahisi hilo hilo ibra87 mm fb acc nilishafutagaAnatumia jina gani fb
Sawa!nahisi hilo hilo ibra87 mm fb acc nilishafutaga
Unaogopa wavaa black suit wasikunyakuesiku hizi kuna wakalimani wa kujitolea....
Nilitaka kushangaa,baby wako kiukweli alifunika sana mwaka huu.
Sure and am really proud of him.Nilitaka kushangaa,baby wako kiukweli alifunika sana mwaka huu.
Naona umejikoki!Allah awaruzuku upendo na amani kama mtaishi kihalali kwa ndoa.Sure and am really proud of him.
Guess what?Mwakani itakuwa zaidi ya zaidi...
Tuombe uzima
#TheBoldIsMine#