Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,895
Ni kweli japo sio sawa inabidi maana maisha ni magumuSioni tatizo ukizingatia ofisi zenyewe ndo hizo watu wanastaafu wakiwa hawana kitu, au hutaki mwenzako apate hela
Ni kweli japo sio sawa inabidi maana maisha ni magumuSioni tatizo ukizingatia ofisi zenyewe ndo hizo watu wanastaafu wakiwa hawana kitu, au hutaki mwenzako apate hela
Hujaeleweka mkuu.
Yaani jamaa anafanya kazi kwa mkuu wa mkoa ila baadae akiwa nje ya ofisi anafanya kazi ya udalali?
Au ni dalali ila kazi hiyo anaifanyia kwenye ofisi ya mkuu wa mkoa? (Kwamba amepanga chumba hapo au anakaa kabisa ofisi ya mkuu wa mkoa akifanya shughuli zake za udalali?
Kama suala ni ishu ya kwanza. Ni sahihi kwa mtumishi wa umma kuwa na kazi ya ngongeza nje ya kazi yake rasmi.
Sio sahihi kivipi, udalali wa gari ni kazi ya part time ambayo dalali anaiganya kwa simu tu huku akiwa anafanya kazi nyingine, na ni kazi halaliKwa taratibu na sheria za kazi si sahihi kabisa! Kibongobongo na kula kwa urefu wa kamba haina noma kabisa
Mimi kazi yangu inanohisha na madalali wa magari mara nyingi, madalali matapeli ni wachache sana, actually sijawahi kukutana hata na mmojaSema ni mstari mwembamba sana unamtenganisha Dalali na Tapeli...,
Kua dalali kunakaribisha janja janja, Uongo, ambavyo ni vitu tofauti na utumishi....
Otherwise SIONI kosa.
sjuiWewe uko sawa ?
Tuanzie hapo kwanza
Kwani kosa lake ni nini, usije ukaona kumtafutia mtu kitu anataka aridhike ni kazi rahisisjui