Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,783
- 95,577
Unabishana na maandiko?Sio sahihi sababu hamna kuchomana moto baada ya maisha haya
Unabishana na maandiko?Sio sahihi sababu hamna kuchomana moto baada ya maisha haya
😁😁😁 Mungu katili kuliko netanyahuTumekuja kuteseka na kutenda dhambi tukifa akatuchome moto, ndo starehe yake
Ni vitabu tu usiviamini sana...Unabishana na maandiko?
Daah 😁😁😁🤣🙌Na inawezekana sisi ni virusi tupo ndani ya tumbo la mnyama mkubwa , na akimeza dawa tunakufa na kupungua kwetu ni nafuu kwake🤔🤔
Mimi sipendi kwenda kanisani. Ndugu zangu wanaanza kuniambia namruhusu shetani moyoni mwanguHivi ni raha gani hizo ambazo mwanadamu anazikosa kama akiamua kuishi maisha ya utakatifu kiasi cha kuona maisha ni mabaya kama akizikosa?
Ni tamaa mbaya? ulevi? Uchawi? Uzinzi? Ufiraji? Wizi? Kutokuheshimu wazazi? Mbona ni ubatili tu huu.
Mtu yeyote aliyepevuka hata kama hamuamini Mungu anaelewa kabisa hapo ni kujilisha upepo tu wala hayana faida ila hasara.
Binafsi siviamini maana story zake hazieleweki na zinakinzanaNi vitabu tu usiviamini sana...
Wewe ndo umesema 😆😁😁😁 Mungu katili kuliko netanyahu
Hili ndio jibu sahihi ,Mi sidhani kama tupo hapa labda eti kuna kitu inabidi tukitimize. Tupo hapa naturally tu kama ilivyo kwa mbuzi, ng'ombe, nzi nk
Kwa hiyo usijiulize sana, hamna sababu ya msingi sisi kuwepo hapa. We ishi, struggle, kufa uache nafasi waje wengine
Kwa hayo matendo yake netanyahu anasubiriWewe ndo umesema 😆
Tumeumbwa kwa mfano wake, Netanyahu anawakilisha vyemaKwa hayo matendo yake netanyahu anasubiri
Kwa kweli 🤣Tumeumbwa kwa mfano wake, Netanyahu anawakilisha vyema
Ongea naye vizuri mama mtuAmesema haolewi.
Kwa faida ya nani?Ongea naye vizuri mama mtu
Someni the devil bible(satanic bible)Sababu kubwa ya kuumbwa sisi bin adam ni kumwabudu muumba wetu aliyetuumba
Ukisoma wewe inatoshaSomeni the devil bible
Tatizo uoga, unawafelisha Kujua mengiUkisoma wewe inatosha
HahahhahaSababu kubwa ya kuumbwa sisi bin adam ni kumwabudu muumba wetu aliyetuumba
Sasa mbona unacheka mkuuHahahhaha