Ni nini sababu ya binadamu kuletwa Duniani?

Ni nini sababu ya binadamu kuletwa Duniani?

Hatujaletwa duniani bali tumetokea duniani.
Ni kama ua linavyochipuka kutoka Kwenye udongo.
Au jani linavyochipuka Kutoka kwenye mti wake.
Hilo jani halijawekwa/Halijapachikwa bali limechipukia kutoka Kwenye mti.

Hivyo basi, ukielewa hivyo utagundua kuwa hamna purpose ya jani bila purpose ya mti.
Jani lipo Kwa ajili ya mti na mti upo Kwa ajili ya ustawi wa jani.

Hatujaletwa duniani bali tumetokana na Dunia, Tupo Kwa ajili ya Dunia na Dunia ipo Kwa ajili yetu. Na haiishii Dunia tu bali ulimwengu mzima.
Maana hata jua linawaka Kwa ajili ya ustawi wako.
Kila kitu kipo Kwa ajili ya kitu kingine.
Kwanini?

Kwasababu Kila kitu ni kitu kimoja.
Hakuna clear boundaries za wewe na mazingira bali wewe na mazingira yanayokuzunguka ni kitu kimoja. Wewe pia ni sehemu ya mazingira.
Hakuna clear boundary ya wewe na Mimi au wewe na mwingine kwakuwa wewe au Mimi au mwingine kiuhalisia havipo.

Kwakuwa Kila kitu ni kitu kimoja.
 
Sababu kubwa ya kuumbwa sisi bin adam ni kumwabudu muumba wetu aliyetuumba
Malaika wote waliojaa nbinguni, hawakumtosha hadi aumbe binadamu wa kumwabudu? Ina make sense? Kukaririshwa kubaya sn,
Ni sawa unaambiwa chukuà mafuta eti ya upako,maji na sadaka ya kujimaliza na wewe unatowa, mchungaji anaendelea kutajirika wakati muumini analala njàa🤣🤣
 
Hatujaletwa duniani bali tumetokea duniani.
Ni kama ua linavyochipuka kutoka Kwenye udongo.
Au jani linavyochipuka Kutoka kwenye mti wake.
Hilo jani halijawekwa/Halijapachikwa bali limechipukia kutoka Kwenye mti.

Hivyo basi, ukielewa hivyo utagundua kuwa hamna purpose ya jani bila purpose ya mti.
Jani lipo Kwa ajili ya mti na mti upo Kwa ajili ya ustawi wa jani.

Hatujaletwa duniani bali tumetokana na Dunia, Tupo Kwa ajili ya Dunia na Dunia ipo Kwa ajili yetu. Na haiishii Dunia tu bali ulimwengu mzima.
Maana hata jua linawaka Kwa ajili ya ustawi wako.
Kila kitu kipo Kwa ajili ya kitu kingine.
Kwanini?

Kwasababu Kila kitu ni kitu kimoja.
Hakuna clear boundaries za wewe na mazingira bali wewe na mazingira yanayokuzunguka ni kitu kimoja. Wewe pia ni sehemu ya mazingira.
Hakuna clear boundary ya wewe na Mimi au wewe na mwingine kwakuwa wewe au Mimi au mwingine kiuhalisia havipo.

Kwakuwa Kila kitu ni kitu kimoja.
👍
 
Kwanza, Hakuna Mungu.

Pili, Binadamu hawakuletwa na wala binadamu hawaletwi duniani.

Binadamu ni nature, binadamu ni sehemu ya nature.

Nature is self -existing.

We are also self-existing.


Binadamu tumekuwepo duniani na tunaendelea kuwepo duniani kwa kuzaliana sisi wenyewe kwa wenyewe.

Tuna uwezo wa kuamua kuacha kuzaliana kabisa duniani, kisha tuka toweka kabisa kwenye uso wa dunia.

Hatukuwepo mahali popote pale kabla ya kuzaliwa kwetu, Vivyo hivyo hatuendi mahali popote pale baada ya kufa kwetu.

Hatuwezi kujua tusivyo vijua ila tunaendelea kupunguza tusivyo vijua kwa utafiti, udadisi, uchunguzi na majaribio zaidi.

We cannot solve the ultimate mysteries of nature because we ourselves are the part of the mysteries we are trying to solve.
 
Malaika wote waliojaa nbinguni, hawakumtosha hadi aumbe binadamu wa kumwabudu? Ina make sense? Kukaririshwa kubaya sn,
Ni sawa unaambiwa chukuà mafuta eti ya upako,maji na sadaka ya kujimaliza na wewe unatowa, mchungaji anaendelea kutajirika wakati muumini analala njàa🤣🤣
Kwa hiyo wewe unaona umeumbwa ili uje ujaze choo siyo?
 
Kwanza, Hakuna Mungu.

Pili, Binadamu hawakuletwa na wala binadamu hawaletwi duniani.

Binadamu ni nature, binadamu ni sehemu ya nature.

Nature is self -existing.

We are also self-existing.


Binadamu tumekuwepo duniani na tunaendelea kuwepo duniani kwa kuzaliana sisi wenyewe kwa wenyewe.

Tuna uwezo wa kuamua kuacha kuzaliana kabisa duniani, kisha tuka toweka kabisa kwenye uso wa dunia.

Hatukuwepo mahali popote pale kabla ya kuzaliwa kwetu, Vivyo hivyo hatuendi mahali popote pale baada ya kufa kwetu.

Hatuwezi kujua tusivyo vijua ila tunaendelea kupunguza tusivyo vijua kwa utafiti, udadisi, uchunguzi na majaribio zaidi.

We cannot solve the ultimate mysteries of nature because we ourselves are the part of the mysteries we are trying to solve.
👏👏👏👏
 
Kama maisha yako yamejaa mateso na huzuni usitegemee kwenda kupata furaha baada ya kuondoka hapa.
Shida ni sehemu ya maisha ila mateso ni tafsiri uliyoichagua mwenyewe(shida haina athari kwenye furaha ya mtu).

Namna watoto wadogo wanavyoishi ndo mfumo halisi wa maisha binadamu alipaswa aishi. Kwa mujibu wa biblia ufalme wa Mungu unapaswa uuishi hapa hapa duniani ila ufalme wa mbinguni ndo huko ambako hatupajui sasa kama kweli una ufalme wa Mungu ndani yako maisha yako yatajaa furaha na utakuwa kisababishi cha furaha kwa wengine haijalishi ni magumu gani unapitia.

Ila imekuwa ni tofauti sana na leo, hizi propaganda za dini kwamba uteseke hapa ili uende kupata furaha huko unakokwenda, sio kweli hilo sio kusudi la kuumbwa kwa mtu. Aliumbwa awe mtawala na awakilishe ufalme wa Mungu hapa duniani.
 
Maisha ni fumbo.
Maisha ya duniani yalikuwa ni zawadi na sio adhabu, changamoto ni binadamu kutaka kuishi against nature, hapo ndipo mateso yanapo anzia.

Swali: Unauhakika gani kwamba upo duniani?
Umeshawahi kuota ndoto na ukajiona upo huko ndotoni? What if na hapa upo ndotoni na pengine ukifa hapa ndo unaamka kutoka usingizi uliokuwapo?
🤣😂
Uhakika halisi 100% hatuna kuhusu kama tupo “ndotoni” au “kweli”.

Lakini kwa kua unahoji na kufikiri tayari ni ushahidi kwamba wewe upo kwa namna fulani.
 
Habari wanaJf
Nimekuwa nikijiuliza swali moja la msingi sana lakini majibu thabiti nimekuwa nikikosa kabisa...

Kwa wale wanaoamini kuhusu uwepo wa Mungu naomba wanijuze kwanini tumeletwa hapa duniani ambako tunaishi maisha mafupi na kupita, je Mungu hakuona namna nyingine ya kutufanya tufike huko kwenye maisha ya milele kunakosemwa na vitabu vyake bila kupitia hapa duniani kwenye shida na karaha?
Kulikuwa na haja ipi kutupitisha kwenye mateso hali ya kuwa ipo sehemu salama tunaelekea? ( Kwanini alitupitisha duniani?)

Hata wale wasioamini uwepo wa Mungu nao naomba wanisaidie kujua juu ya hili swali langu...kama hakuna maisha baada ya haya kwanini tupitishwe hii sehemu yenye taabu na mateso mengi tena kwenye maisha mafupi..kwanini tumetolewa huko tulikokuwa na kuletwa hapa duniani ambako kuishi kwetu ni muda mfupi na tisingebaki huko huko kama tulikuwa na maisha kabla?

Nini sababu ya sisi binadamu kuletwa/kupitishwa hapa duniani?
Mi sijaletwa duniani.
 
Malaika wote waliojaa nbinguni, hawakumtosha hadi aumbe binadamu wa kumwabudu? Ina make sense? Kukaririshwa kubaya sn,
Ni sawa unaambiwa chukuà mafuta eti ya upako,maji na sadaka ya kujimaliza na wewe unatowa, mchungaji anaendelea kutajirika wakati muumini analala njàa🤣🤣
Kaka unajua ni ngumu sana mtu akuelewe ,japo hawa wote wanaopinga wakikaa kutafakari wana pata wasiwasi wa hizo imani .

Shida ni moja tu imani hizi zimejengwa kwa misingi mizito ya VITISHO +AHADI

Wewe ebu fikiria mtu toka mdogo kabisa anapewa ahadi fulani na vitisho kwa pamoja. 🤔
 
To experience love,it starts by loving yourself and don't confuse with being selfish.
Everyone loves themselves no matter they know it or not.
Hata anayejiua anajiua kwasababu anadhani ni jambo la upendo anajifanyia kuwa ni Bora asiwepo kuliko kuendelea kuwepo.

Kila kiumbe ni selfish na Unselfish at the same time. How?
Kwasababu there is no self.
So selfishness is just a made up concept.

We all depend on each other. So huwezi kuwa selfish kwakuwa lazima Kuna vitu/watu unawategemea ili usavaivu hivyo lazima uwaombee mema hao watu ili wewe usavaivu.
Hao watu/vitu unaweza kuwajua au usiwajue ila unawategemea.

Leo unaombea wafanyakazi wa Apple usiowajua wapate akili nzuri ili watengeneze Version mpya utakayoipenda. Unawaombea Moderators na IT wa JF waimaintain iendelee kurun ili u enjoy kuperuzi, unawaombea wachina wanaokutengenezea nguo unazovaa wanendelee kuthrive ili usitirike.

Hivyo huwezi kuwa selfish. Kwakuwa Kila kitu ni part of the same ecosystem.
There is no self without the other. It is the same thing.

Labda useme the whole universe is selfish for its own thriving.

nA ulifika level hiyo concept ya selfishness haisimami kwasabu ili uwe selfish lazima kuwe na other, Sasa universe haiwezi kuwa selfish kama hakuna other universe inayocompete nayo resources.
Na hata kama itakuwepo basi universes zote zitakuwa Kwenye same ecosystem.

Meaning Everything is one thing.
There is no self.
 
Kaka unajua ni ngumu sana mtu akuelewe ,japo hawa wote wanaopinga wakikaa kutafakari wana pata wasiwasi wa hizo imani .

Shida ni moja tu imani hizi zimejengwa kwa misingi mizito ya VITISHO +AHADI

Wewe ebu fikiria mtu toka mdogo kabisa anapewa ahadi fulani na vitisho kwa pamoja. 🤔
Kwa Jamii za kiafrica kuwaambia kuwa hicho wanachoamini na kuabudu ni watu walikaa na kupanga mipango ya jinsi ya kuiitawala Dunia wanaanza kukukemea kuwa ni pepo🤣🤣
 
Back
Top Bottom