Ni nini sababu ya binadamu kuletwa Duniani?

Ni nini sababu ya binadamu kuletwa Duniani?

Ni kwamba Muumba hana uwezo wa kubalance namba ya watu na eneo aliloliumba?
Una watoto 10 na wewe na mumeo inamaana mko 12 inakuwaje uamue kujenga nyumba ya kuishi watu 5 halafu utegemee wengine uwaue ili mbaki idadi uliyokusudia?
😆😆😆 jamani, hapo kwenye kuwaua si tunaweza kufunga kizazi tusiendelee tena kuzaa?
 
Mi sidhani kama tupo hapa labda eti kuna kitu inabidi tukitimize. Tupo hapa naturally tu kama ilivyo kwa mbuzi, ng'ombe, nzi nk
Kwa hiyo usijiulize sana, hamna sababu ya msingi sisi kuwepo hapa. We ishi, struggle, kufa uache nafasi waje wengine
Kwanini kusingekuwa na eneo linalojitosheleza kwa idadi kubwa anayoitaka yeye bila kuweka kifo?
 
Tatizo ni kwamba moto uliumbwa hata kabla binadamu hawajaumbwa. Sasa najiuliza mfano kama ingetokea watu wasitende dhambi huo moto ungekua wa kazi gani..?
Labda tungechomea mahindi tu
 
Kwanini kusingekuwa na eneo linalojitosheleza kwa idadi kubwa anayoitaka yeye bila kuweka kifo?
Tumeumbwa na Mungu, ila Mungu mwenyewe sio huyo tapeli mnayemsikia kanisani na msikitini
Mungu ni NATURE. Na nature always inajua namna ya kujibalance, so kufa ni njia nzuri ya kubalance mazingira. Ingawa sijui kama Nature ina akili au la ila sijui kwa nini haikuamua watu wachache tu waishi milee
 
Swali lako kwa wasioamini mungu ni batili kwa sababu wao hawaamini unapitishwa duniani na yoyote na wala hawaamini wametolewa popote huko walikokuwa.
Wao wanaamini binadamu tupo hapa chanzo chake ni nini?
 
evolution.................................... hakuna cha Mungu hapa it is purely science..................
Naamini, Mungu yupo na sayansi ipo, kuna viumbe vingi sana zaidi ya mwanadamu.

Sema the narative kumuhusu Mungu ya vitabu kama biblia na koroani ni uongo.

Kutokujua kwetu ukweli kuhusu huyu Mungu siyo sababu ya kufanya Mungu asiwepo.
 
Naamini, Mungu yupo na sayansi ipo, kuna viumbe vingi sana zaidi ya mwanadamu.

Sema the narative kumuhusu Mungu ya vitabu kama biblia na koroani ni uongo.

Kutokujua kwetu ukweli kuhudu huyu Mungu siyo sababu ya kufanya Mungu asiwepo.
Mimi naamini Mungu yupo na huyo Mungu ni MOTHER NATURE
Sio huyo tapeli wanayemtangaza kanisani na misikitini
 
Back
Top Bottom