Ni nini sababu ya binadamu kuletwa Duniani?

Ni nini sababu ya binadamu kuletwa Duniani?

Hukutengenezewa kama upungufu, ni zawadi, kwamba uwe na free will. changamoto tu ni kuwa will power haina mipaka, na unaweza ukafanya jambo hata kinyume na aliyekupa huo uwezo wa kuchagua. Hasa ndo kinachokutesa.

Hasira ya Mungu ipo kwasababu uliumbwa ukiwa mkamilifu. Kwa hiyo mapungufu uliyonayo ni ya kujitakia tu, ni kama unavyolea mtoto wako alaf afanye kitu tofauti na unavyo mwelekeza utakasirika
Binadamu hana free will
 
Kupitia hiyo science itueleze ni kwanini tumekuja duniani tena kuishi maisha ya muda mfupi sana
Pia kama ipo sehemu tunaelekea kwanini kusingetumika njia nyingine tofauti na kifo?
Nadhani kifo kipo ili kupata nafasi ya binadamu wengine kuzaliwa. Imagine watu wangekuwa hawafi tungebanana sana
 
Habari wanaJf
Nimekuwa nikijiuliza swali moja la msingi sana lakini majibu thabiti nimekuwa nikikosa kabisa...

Kwa wale wanaoamini kuhusu uwepo wa Mungu naomba wanijuze kwanini tumeletwa hapa duniani ambako tunaishi maisha mafupi na kupita, je Mungu hakuona namna nyingine ya kutufanya tufike huko kwenye maisha ya milele kunakosemwa na vitabu vyake bila kupitia hapa duniani kwenye shida na karaha?
Kulikuwa na haja ipi kutupitisha kwenye mateso hali ya kuwa ipo sehemu salama tunaelekea? ( Kwanini alitupitisha duniani?)

Hata wale wasioamini uwepo wa Mungu nao naomba wanisaidie kujua juu ya hili swali langu...kama hakuna maisha baada ya haya kwanini tupitishwe hii sehemu yenye taabu na mateso mengi tena kwenye maisha mafupi..kwanini tumetolewa huko tulikokuwa na kuletwa hapa duniani ambako kuishi kwetu ni muda mfupi na tisingebaki huko huko kama tulikuwa na maisha kabla?

Nini sababu ya sisi binadamu kuletwa/kupitishwa hapa duniani?
Mafundisho nilifuñdishwa MUNGU ametuumba tumjue,tumpende, tumtumikie mwisho tufike Mbinguni.
 
Maisha ni fumbo. Maisha ya duniani yalikuwa ni zawadi na sio adhabu, changamoto ni binadamu kutaka kuishi against nature, hapo ndipo mateso yanapo anzia.

Swali: Unauhakika gani kwamba upo duniani?
Umeshawahi kuota ndoto na ukajiona upo huko ndotoni? What if na hapa upo ndotoni na pengine ukifa hapa ndo unaamka kutoka usingizi uliokuwapo?
Hili ni fumbo la aina gani mkuu?

Vitabu vya Mungu vinaeleza kwamba binadamu wapo duniani..je ni uongo?

Science nayo imethibitisha kwamba binadamu wako Duniani kupitia theories nyingi...je tusiamini hizi hoja?
 
Kwanini nihangaike kuushinda wakati ndivyo nilivyoumbwa? Mateso yote ya kazi gani? Tungeumbwa perfect hapa tungekuwa tunasifu na kuabudu kwa raha zote. Na hata hizo amri kumi za mungu zisingekuwepo maana tusingekuwa na uwezo wa kuzitenda kwa jinsi tulivyoumbwa kikamilifu.
Kuhangaika ni kujitakia tu.
"Wanao ongozwa na Roho hawako chini ya sheria" amri zitakuhusu kama huna mipaka.

Wanyama na ndege hawana akili kama zako, ila wana maisha, na wanajua mipaka yao. Sasa wewe mwenye akili mingi unapata shida gan?
 
Kuhangaika ni kujitakia tu.
"Wanao ongozwa na Roho hawako chini ya sheria" amri zitakuhusu kama huna mipaka.
Wanyama na ndege hawana akili kama zako, ila wana maisha, na wanajua mipaka yao. Sasa wewe mwenye akili mingi unapata shida gan?
Shida ipo kwa jinsi alivyoniumba yeye. Mimi najiona sawa lakini sasa amri ni nyingi usifanye hivi usifanye kile
 
Kwanini asingetoa njia rahisi ya kumjua na kumuabudu kama anatupenda viumbe wake...kulikuwa na sababu gani kutupa shida zote hizi ambazo zingine zinapelekea kutomtii yeye mwenyewe?
Swali gumu sana kupata majibu yanayo kidhi haja .
Wenyewe wenye dini wanasema tupo hapa ili tumjue Mungu tumheshinu kumuabudu na kwenda kwake!
Acha tubaki na imani hio ila ukweli usio na shaka kuna namna nyingine ya ufafanuzi wa maisha nje ya hii ambayo ina mantiki kidogo ambayo wenye mamlaka fulani hawataki ijulikane
 
Kwanini asingetoa njia rahisi ya kumjua na kumuabudu kama anatupenda viumbe wake...kulikuwa na sababu gani kutupa shida zote hizi ambazo zingine zinapelekea kutomtii yeye mwenyewe?
Swali gumu sana kupata majibu yanayo kidhi haja .
Wenyewe wenye dini wanasema tupo hapa ili tumjue Mungu tumheshinu kumuabudu na kwenda kwake!
Acha tubaki na imani hio ila ukweli usio na shaka kuna namna nyingine ya ufafanuzi wa maisha nje ya hii ambayo ina mantiki kidogo ambayo wenye mamlaka fulani hawataki ijulikane
 
Maisha ya dunia ni mtihani kwa wanaadamu wale watakao faulu watapata zawadi nono,
na wale watakaoeli watapokea zawadi ngumu kumeza.
 
Na inawezekana sisi ni virusi tupo ndani ya tumbo la mnyama mkubwa , na akimeza dawa tunakufa na kupungua kwetu ni nafuu kwake🤔🤔
Duuuh hii ni ngumu sana🤔🤔🤔
 
Mafundisho nilifuñdishwa MUNGU ametuumba tumjue,tumpende, tumtumikie mwisho tufike Mbinguni.
asingetuumba nini kingetokea? huko mbinguni ni yeye anataka twende iweje iwe lazima
 
Kwani mungu yeye angepata hasara gani kama asingetuumba? Na kwanini atuumbe viumbe dhaifu kiasi hiki halafu eti ndio tumeumbwa kwa "sura na mfano wake?". Hapana kwakweli, haiingii akilini hata kidogo.
Inafikirisha sana hii kitu
 
Back
Top Bottom