Ni ngumu zaidi kwa CHAUMMA kupata mafanikio ya Kisiasa Tanzania tena ni rahisi zaidi kwa TLP ya Mzee Mrema kukamata dola 2025

Ni ngumu zaidi kwa CHAUMMA kupata mafanikio ya Kisiasa Tanzania tena ni rahisi zaidi kwa TLP ya Mzee Mrema kukamata dola 2025

PiedPiper77

Senior Member
Joined
Jan 8, 2025
Posts
180
Reaction score
223
.CHAUMMA INA UMA.

Kuna baadhi ya wanasiasa wanajidanganya na wengine kudanganywa kuwa CHAUMMA inaweza kuwa tishio kwa chama tawala leo au kesho, hii naomba wasahau kabisa.

Kwa taarifa tu, Vyama vyote vilivyoanzishwa kama matokeo ya migogoro havijawahi kufanya vizuri popote duniani tujiulize CHAUMMA itakuja na maajabu gani?

Kwa hapa Tanzania labda niwape mfano mdogo wa hii ACT Wazalendo ya Zitto Kabwe.

Zitto Kabwe baada ya kugombana na Freeman Mbowe akaamua kuanzisha chama Cha ACT WAZALENDO ambayo mpaka leo bara haikuwahi kuamka ukiachilia Zanzibar ya Hayati Maalim Seifu.

Kitendo hiki cha waasi toka CHADEMA almaarufu kama G55 baada ya mgogoro wa Kukosa fursa za Ubunge wa viti maalum na Uongozi ndani ya CHADEMA na kukimbilia CHAUMMA ili kuzipata fursa hizo ni ishara tosha kuwa G55 nia yao ni wao kwanza na Watanzania watajijua wenyewe.

Jambo zuri ni kwamba Watanzania wengi bado wanaamini si CHAUMMA Wala ACT WAZALENDO wanaweza kuwa mbadala wa Chama Cha Mapinduzi CCM kwani ni vyama ambavyo CCM inavilea kama GSM anavyozilea baadhi ya timu za Ligi kuu hapa Tanzania na ndio maana timu hizo hazijawahi kuifunga yanga.
 
Watu wanashindwa kuelewa chadema sasa hivi ndo inaenda kua bora sana maana kabla ya hapo wasiopiga kura ni wengi sana ukiongeza na chadema kutokwenda kwenye uchaguzi itakomba na wale ambao huwa hawapigi kura miaka kibao
 
Sikilizeni,

Kuna watu wanajidanganya na wengine kudanganywa kuwa CHAUMMA inaweza kuwa tishio kwa chama tawala leo au kesho.

Vyama vyote vilivyoanzishwa kama matokeo ya migogoro havijawahi kufanya vizuri popote duniani labda niwape mfano mdogo wa hii ACT Wazalendo ya Zitto Kabwe.

Zitto Kabwe baada ya kugombana na Freeman Mbowe akaamua kuanzisha ACT WAZALENDO ambayo mpaka leo bara haikuwahi kuamka

Kitendo cha waasi toka CHADEMA almaarufu kama G55 baada ya Kukosa fursa za Ubunge wa viti maalum na Uongozi ndani ya CHADEMA na kukimbilia CHAUMMA Ili kuvipata ni ishara tosha kuwa hawa nia yao ni wao Wala sio Watanzania.

Watanzania wengi bado wanaamini si CHAUMMA Wala ACT WAZALENDO wanaweza kuwa mbadala wa Chama Cha Mapinduzi CCM kwani ni vyama ambavyo CCM inavilea kama GSM anavyozilea baadhi ya timu za Ligi kuu.

CHAUMMA IMEZIKWA KABLA YA KUFUFUKA.
Njooni CCM tujenge nchi
 
Watu wanashindwa kuelewa chadema sasa hivi ndo inaenda kua bora sana maana kabla ya hapo wasiopiga kura ni wengi sana ukiongeza na chadema kutokwenda kwenye uchaguzi itakomba na wale ambao huwa hawapigi kura miaka kibao
CHADEMA itakuwa imara mara dufu
 
Watu wanashindwa kuelewa chadema sasa hivi ndo inaenda kua bora sana maana kabla ya hapo wasiopiga kura ni wengi sana ukiongeza na chadema kutokwenda kwenye uchaguzi itakomba na wale ambao huwa hawapigi kura miaka kibao
Mimi mmojawapo
 
.CHAUMMA INA UMA.

Kuna baadhi ya wanasiasa wanajidanganya na wengine kudanganywa kuwa CHAUMMA inaweza kuwa tishio kwa chama tawala leo au kesho, hii naomba wasahau kabisa.

Kwa taarifa tu, Vyama vyote vilivyoanzishwa kama matokeo ya migogoro havijawahi kufanya vizuri popote duniani tujiulize CHAUMMA itakuja na maajabu gani?

Kwa hapa Tanzania labda niwape mfano mdogo wa hii ACT Wazalendo ya Zitto Kabwe.

Zitto Kabwe baada ya kugombana na Freeman Mbowe akaamua kuanzisha chama Cha ACT WAZALENDO ambayo mpaka leo bara haikuwahi kuamka ukiachilia Zanzibar ya Hayati Maalim Seifu.

Kitendo hiki cha waasi toka CHADEMA almaarufu kama G55 baada ya mgogoro wa Kukosa fursa za Ubunge wa viti maalum na Uongozi ndani ya CHADEMA na kukimbilia CHAUMMA ili kuzipata fursa hizo ni ishara tosha kuwa G55 nia yao ni wao kwanza na Watanzania watajijua wenyewe.

Jambo zuri ni kwamba Watanzania wengi bado wanaamini si CHAUMMA Wala ACT WAZALENDO wanaweza kuwa mbadala wa Chama Cha Mapinduzi CCM kwani ni vyama ambavyo CCM inavilea kama GSM anavyozilea baadhi ya timu za Ligi kuu hapa Tanzania na ndio maana timu hizo hazijawahi kuifunga yanga.
Mungu ibariki CHAUMMA
 
.CHAUMMA INA UMA.

Kuna baadhi ya wanasiasa wanajidanganya na wengine kudanganywa kuwa CHAUMMA inaweza kuwa tishio kwa chama tawala leo au kesho, hii naomba wasahau kabisa.

Kwa taarifa tu, Vyama vyote vilivyoanzishwa kama matokeo ya migogoro havijawahi kufanya vizuri popote duniani tujiulize CHAUMMA itakuja na maajabu gani?

Kwa hapa Tanzania labda niwape mfano mdogo wa hii ACT Wazalendo ya Zitto Kabwe.

Zitto Kabwe baada ya kugombana na Freeman Mbowe akaamua kuanzisha chama Cha ACT WAZALENDO ambayo mpaka leo bara haikuwahi kuamka ukiachilia Zanzibar ya Hayati Maalim Seifu.

Kitendo hiki cha waasi toka CHADEMA almaarufu kama G55 baada ya mgogoro wa Kukosa fursa za Ubunge wa viti maalum na Uongozi ndani ya CHADEMA na kukimbilia CHAUMMA ili kuzipata fursa hizo ni ishara tosha kuwa G55 nia yao ni wao kwanza na Watanzania watajijua wenyewe.

Jambo zuri ni kwamba Watanzania wengi bado wanaamini si CHAUMMA Wala ACT WAZALENDO wanaweza kuwa mbadala wa Chama Cha Mapinduzi CCM kwani ni vyama ambavyo CCM inavilea kama GSM anavyozilea baadhi ya timu za Ligi kuu hapa Tanzania na ndio maana timu hizo hazijawahi kuifunga yanga.
Chadema mnahangaika, kwahiyo Lissu hawi Rais tena?
 
.CHAUMMA INA UMA.

Kuna baadhi ya wanasiasa wanajidanganya na wengine kudanganywa kuwa CHAUMMA inaweza kuwa tishio kwa chama tawala leo au kesho, hii naomba wasahau kabisa.

Kwa taarifa tu, Vyama vyote vilivyoanzishwa kama matokeo ya migogoro havijawahi kufanya vizuri popote duniani tujiulize CHAUMMA itakuja na maajabu gani?

Kwa hapa Tanzania labda niwape mfano mdogo wa hii ACT Wazalendo ya Zitto Kabwe.

Zitto Kabwe baada ya kugombana na Freeman Mbowe akaamua kuanzisha chama Cha ACT WAZALENDO ambayo mpaka leo bara haikuwahi kuamka ukiachilia Zanzibar ya Hayati Maalim Seifu.

Kitendo hiki cha waasi toka CHADEMA almaarufu kama G55 baada ya mgogoro wa Kukosa fursa za Ubunge wa viti maalum na Uongozi ndani ya CHADEMA na kukimbilia CHAUMMA ili kuzipata fursa hizo ni ishara tosha kuwa G55 nia yao ni wao kwanza na Watanzania watajijua wenyewe.

Jambo zuri ni kwamba Watanzania wengi bado wanaamini si CHAUMMA Wala ACT WAZALENDO wanaweza kuwa mbadala wa Chama Cha Mapinduzi CCM kwani ni vyama ambavyo CCM inavilea kama GSM anavyozilea baadhi ya timu za Ligi kuu hapa Tanzania na ndio maana timu hizo hazijawahi kuifunga yanga.

Tupo na Mzee Spunda KUSHIBA NA MAENDELEO KWANZA.
 
SmartSelect_20250521_110837_Samsung Internet.jpg
 
Back
Top Bottom