Mkutano ulikuwa umeitishwa na chama cha siasa cha TLP maarufu kama majogoo leo kuwachagua viongozi wa juu ikiwemo mwenyekiti wa kitaifa umeshindwa kuchagua baada ya vurugu kuzuka kati ya makundi hasimu ndani ya chama hicho.
Polisi waliitwa kutuliza vurugu kisha pande hizo mbili zikakubaliana...
Chama cha Umoja Party ambacho ndio kilikuwa chama cha kutetea legecy ya Jemedari Hayati Magufuli kimekataliwa kupewa usajili licha ya kuwa na vigezo vyote
Ni dhahiri serikali ya sasa inaogopa nguvu ambayo chama hiki kingekuwa nayo na kingeitoa CCM madarakani
Sasa kwa kuwa chama cha TLP...
Kama Vyama hohehahe kama akina TLP, akina CUF na NCCR wamemiliki mashamba na Maghorofa ni wazi Chama cha mabepari Chadema kinamiliki mali nyingi.
Hata CCM kama siyo yule Shujaa hadi leo tusingejua kama Channel ten ni mali ya chama pamoja na ile kampuni ya Simu za mikononi inayomiliki 40% ya...
Picha: Mwenyekiti wa TLP Taifa Dk. Augustino Mrema
Mwenyekiti wa TLP Taifa Dk. Augustino Mrema ametangaza kufunga ndoa siku ya Alhamisi Machi 24,2022 katika Parokia ya Uwomboni kijijini kwake Kiraracha mkoani Kilimanjaro.
===
Mwenyekiti wa TLP Taifa Dk. Augustino Mrema ametangaza kufunga ndoa...
Ni kijana uliyeonyesha uthubutu wako bila kutetereka.
Kujipambanua bila uoga na kueleza kile unachokiamini.
Ingawa ni mara yako ya kwanza kuingia Bungeni na pia kujieleza mbele ya wabunge wote.
Hukuogopa wala kubabaika ingawa uliulizwa maswali mengine yenye hila.
Wewe ni Hazina kwa taifa kwa...
Mke wa mzee Augustine Lyatonga Mrema amefariki dunia ktk hospitali ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu ya shinikizo la damu.
---
Mwenyekiti wa TLP, Augustino Mrema amepatwa na msiba wa kufiwa na mkewe Rose Mrema. Taarifa iliyotolewa kwa umma na Mrema imesema mkewe amefariki dunia usiku wa...
Ndugu Wananchi wenzetu,
Mpaka Rais Samia anaingia madarakani zaidi ya watoto wa masikini elfu 10 hawakupewa mikopo,
Leo tayari ameongeza Tshs 106BL sawa na 23% yaani kutoka Tshs 464BL FY2020/21 hadi 570BL FY2021/22
Kwa Sasa,kila mtoto wa masikini aliyefaulu kwenda chuo kikuu kupatiwa mkopo...
BEI YA PAMBA JUU,TOKA TZS 810 FY2020|21 HADI TZS 1,800 FY2021|22,KILA KONA YA NCHI NI SAMIA SAMIA|SAMIA,NASISI TLP TUNAUNGANA NA WATU HAWA,
Ndg Wananchi,
Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg FY 2020|21 mpaka Tshs 1,720-1,800/kg FY2021|22 kwa kilo,Hii ni sawa na ongezeko chanya...
NAPE NA NDUGU ZAKO MSIACHE KUMSHUKURU MUNGU KWAAJILI YA MAMA SAMIA | MBAAZI IMEPAA TOKA TZS 50 FY2017|2020-TZS 1,600 FY2021|22 KWA KILO
Bei ya mbaazi Tanzania chini ya Rais Samia imeongezeka karibu ( X3200 ) kutoka Shilingi Hamsini za Kitanzania hadi kufikia Tshs 1,600 mwaka huu,Mtakumbuka ni...
Aliyekuwa mbunge wa vunjo mwaka 2000 - 2005 Meja Jesse Jeremiah Makundi (TLP) amefariki dunia leo alfajiri Kilema Hospital alipokuwa akipata matibabu.
Pia alipata kuwa Diwani wa Mwika Kaskazini
HAIWEZEKANI Chama cha Siasa kuibuka na kusema kinataka masuala ambayo yapo kwenye Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) bali wanachama waeleze changamoto katika jamii zinatatuliwa kwa njia gani?
Umoja wa Vijana Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kupitia Mwenyekiti wa Vijana Taifa TLP, Eng.Aivan...
Hii ni tshet mpya inayotolewa na Chama cha Walimu Tanzania (CWT) baada ya ile ya awali kupingwa na wanachama na wadau mbalimbali.
Tshet ya hapo mwanzo ilikuwa ni hii hapa
Hawa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) sijui wamekumbwa na nini, mara nyingi sare zao siyo 'unique' kabisa. Je, hawana watu wabunifu wa kuja na sare zenye 'akili'?
TLP leo imemlaki Magufuli katika eneo la Himo jimboni Vunjo.
Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha TLP Mzee Agustino Lyatonga Mrema
Akizungumza mara baada ya Rais kumpa nafasi ya kumuombea kura, Mrema amewaambia watu wa Himo na Vunjo kuwa kura zote kwa Rais Dk. John Pombe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.