Ni nani yuko nyuma ya Polepole?

Ni nani yuko nyuma ya Polepole?

Calculation
Script
Lowasa
Mrema🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔
Uwezo wa watanzania kufikiri ni mdogo sana wana vichwa vikubwa akili ni punje ya limao
 
Hili swali lingekuwa halina maana kama yasingetokea leo ya kujiuzulu nafasi nyeti ya ubalozi nchini Cuba na uwakilishi wa mataifa jirani na Cuba

Tatizo sio kujiudhulu bali ni sababu za kujiuzulu.. Kawa muwazi sana sana na kanyoosha maelezo bila kutumia lugha laini ya kidiplomasia

Kuna wanaojaribu kupooza fukuto kwa kusema ile barua ya kujiuzulu ni bandia, huku wengine wakidai hajaandika yeye bali imeandikwa na "wanaharakati" kina huyu Lucas yeye kaenda mbali zaidi kwa kusema eti ataijibu barua ya Polepole.. Sasa sijui kwa mamlaka yapi na kwa vigezo gani.. Kwakuwa ile sio barua ya posa kwamba inahitaji majibu

Mfahamu Pole pole yule wa bunge la katiba... Si sehemu ya mfumo.. Alivutwa kwa nguvu na mwendazake.. Na mambo yalipobadilika, akionekana ni team JPM akawa ni kati ya waliotolewa kwenye mfumo wa sasa! But a short time to live!

Safari ya kutolewa chamani mpaka Malawi halafu baadae Cuba ina simulizi yake ambayo hitimisho lake ni hili tukio la leo

Sababu alizotoa zimenyooka sana. Kaongea lugha ya CHADEMA kwa kwa tune nyingine.. Nafasi aliyokuwa nayo kipindi cha mwendazake ni wazi alikutana na wakubwa wenye mitazamo inayofanana na kwa vyovyote walitengeneza bond!

Kitendo cha kujiuzulu akiwa kazini na barua yake kusambaa mitandaoni.. Kina tafsiri yake pia.. Na ukizingatiq kafanya hivyo siku ya weekend tena mchana kuelekea adhuhuri

Cuba ni nchi rafiki na Tanganyika. Kuna hatari na nusu kufanya alichofanya akiwa ndani ya Cuba hata Kama ni weekend
Kwa maneno ya moja kwa moja ni kwamba kaasi.. Na hayuko ofisini kwake Cuba

Kwa barua ile na kwa hali ilivyo ni wazi hawezi kamwe kurejea nchini kwa sasa.. Je yuko wapi? Kwa hadhi gani? Ya ukimbizi?

Ni wazi kuna jambo ana hakika nalo, na lina backup ya vivuli visivyojulikana kwasasa.. Huku ndio nyumbani kwake hivyo hawezi kukaa ukimbizini ama mafichoni kwa muda mrefu

Nice wazi hii ni project ya kikundi cha watu ndani ya mfumo.. Lakini je mfumo haukuwa na hizi taarifa? Au kitakachotokea?

Hata kama haitatamkwa hadharani.. Lakini kayatimua maji vibaya sana! Chekeche litaanza maramoja kutafuta walio nyuma yake na mipango yao...

Kwasasa zinapimwa athari za uamuzi wake kishapo itakuwa ni zamu ya kujibu mapigo...!
Banda ya barua yake ya kujiuzulu je atakaa kimya.. Ama ndio itakuwa mwanzo wa kutapika nyongo kwa uhuru?
Yajayo ni Mengi
Good night TanganyikaView attachment 3404860
2 Wakorintho 5:17
[17]Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya.
 
Yani barua aloandika Humphrey leo imewavuruga sana ccm (wale wanaonufaika na mfumo), yani wamechanganyikiwa, muda huu vikao vinaendelea somewhere na from kesho wataanza kufanya kila liwezekanalo kuchafua image ya Polepole kwa nchi na wanaccm ili waonekane wao wako sawa but humphrey ni mpumbavu.

But trust me guys, Humprey na waliokubaliana wanajua wanachofanya na hili walishalisubiri na watadeal nalo cas everything is very well planed and calculated. Samia asipochange the mood atakipata very soon. NIMEMEMUONYA
Wawaonye vibaraka na chawa wao kama kina Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah na kina Mengele wasimjibu huyo Polepole.

Zaidi zaidi watazidisha fukuto tu, maana kwa namna uchaguzi wa ndani unavyoendelea wengi hawana imani na chama chao.

Maza alisema hajatuma mtu, ila ni wazi katuma watu.
 
Mkubwa wa kazi

Hivi ni kweli mwalimu aliahirisha yeye mwenyewe kwa ridhaa yake kutokuchukua fomu ya ubunge hapo Namungo?
 
Wawaonye vibaraka na chawa wao kama kina Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah na kina Mengele wasimjibu huyo Polepole.

Zaidi zaidi watazidisha fukuto tu, maana kwa namna uchaguzi wa ndani unavyoendelea wengi hawana imani na chama chao.

Maza alisema hajatuma mtu, ila ni wazi katuma watu.
astala victoria siem-pre my friends, ladies and gentlemen.

there is no an individual person who is powerful than the rulling party or the country at large.

Tell your friends, relatives and your families that CCM will rule this country a millenniums to come 🐒
 
Kwa aliyoyasema na kwa hali ilivyo unadhani atarudi nchini kweli?
Kwa nini asirudi? Tunahitaji zaidi kuwa 'unity in diversity' kuliko kuwa 'unity in uniformity'. Tujifunze kuona kwamba 'we are equal, but different'. Kama hatuoni hivyo, then tutaendelea kutazama bila kuona, kusikiliza bila kusikia, na mambo mengi yanayofanana na haya.
 
astala victoria siem-pre my friends, ladies and gentlemen.

there is no an individual person who is powerful than the rulling party or the country at large.

Tell your friends, relatives and your families that CCM will rule this country a millenniums to come 🐒
Kabisa kabisa .
 
Kwa nini asirudi? Tunahitaji zaidi kuwa 'unity in diversity' kuliko kuwa 'unity in uniformity'. Tujifunze kuona kwamba 'we are equal, but different'. Kama hatuoni hivyo, then tutaendelea kutazama bila kuona, kusikiliza bila kusikia, na mambo mengi yanayofanana na haya.
Anawafahamu vema aliowasema
 
astala victoria siem-pre my friends, ladies and gentlemen.

there is no an individual person who is powerful than the rulling party or the country at large.

Tell your friends, relatives and your families that CCM will rule this country a millenniums to come 🐒
Hafrey kapiga kwa kushtukiza halafu kwenye chembe ya moto😀
 
Mama Samia Suluhu Hassan: Kiongozi Jasiri, Mwenye Maono Anayeibadilisha Elimu ya Tanzania

Mama Samia Suluhu Hassan ni kiongozi wa kipekee ambaye ameonesha kwa vitendo kuwa elimu ni msingi wa maendeleo ya kweli ya Taifa.

“Kazi na utu tunasongambele”
20250714_104139.jpg
 
Back
Top Bottom