Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,508
- 13,974
Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote.
Polepole amekataa ukora.
Polepole amekataa ukora.
Huyo wa kati mmhView attachment 3406001
Hivi tushajua hawa wazee walizungumza nini hii siku??
Mla mla jana,mla leo kala nini?Maswali mengine utashindwa kutetewa hata na roboti Mushaambaa& coTaratibu ni mtu wa kushangaza sana. Kipindi kilichopita kabla ya hiki alikuwa katika mfumo uliopingwa na wengine. Mfumo ambao ndani yake wameumia wengine!
Huyu mtu haikuwahi kuinua mdomo kukemea moto aliopelekewa Lisu nk. Ni mengi alitakiwa kupigania kabla ya hili la Leo!
Lazima tujiulize je mfumo huu una tofauti gani na ule,? Na kwanini aukimbie licha ya kuwa na
Muda utatanabaisha, ila kuna jambo laja litakalotuacha vinywa wazi na kamati kuu itakaa upya kupendekeza majina matatu ya wagombea mpaka wapate jina moja.By force by power
By force by powerMuda utatanabaisha, ila kuna jambo laja litakalotuacha vinywa wazi na kamati kuu itakaa upya kupendekeza majina matatu ya wagombea mpaka wapate jina moja.
astala victoria siempre gentleman 🐒Si tulikubaliana tunakula kwa urefu wa mamba!? By the way asingeweza kutumbuliwa kwa kipindi hiki
Muda utazungumza mkubwa.Atakubali? Kunguni wataafiki?
Tlatlah babeli inaaaangamia ni huzuni kuuu!Sijui mbubujikwa machozi iko wapi tuyabubujishe?astala victoria siempre gentleman 🐒
kwamba unaangamizwa na astala victoria siempre gentleman?🤣Tlatlah babeli inaaaangamia ni huzuni kuuu!Sijui mbubujikwa machozi iko wapi tuyabubujishe?
horjo?Mwaka huu mtaongea mpaka Kibarabeig😀
kumbe hata nikipororomoshea tusi kibarabaig huwezi elewa dah 🤣Mbavu zangu eeh😂😂😂😂😂 hiyo lugha haipo duniani
Siasa za ndani ya Chama umewahi kushuhudia hakuna kuchukua Fomu watu wanapitishwa juu kwa juu? Japo wa kulaumiwa ni Jakaya maana pale yeye ndiyo alikuwa senior, lakini anatengeneza njia ya kina Ridhione basi akaunga mkono hoja........ile movement iliyofanyika pale,kwa maoni yangu ndiyo inachemka chini kwa chini,maana wengi ilikuwa surprise 😀Kilitokea nini?
Hao kunguni wenyewe wanautaka sana mchakato mzima ufanyike lakini watasema nini ikiwa mshika mpini keshaamua?Atakubali? Kunguni wataafiki?
Mzee ambaye hana mke wala mtoto mtu wa ulawiti nani atakuwa nyuma yake zaidi ya laaana. Cuba kumemfaa dawa ameacha kupauka paukaHili swali lingekuwa halina maana kama yasingetokea leo ya kujiuzulu nafasi nyeti ya ubalozi nchini Cuba na uwakilishi wa mataifa jirani na Cuba
Tatizo sio kujiudhulu bali ni sababu za kujiuzulu.. Kawa muwazi sana sana na kanyoosha maelezo bila kutumia lugha laini ya kidiplomasia
Kuna wanaojaribu kupooza fukuto kwa kusema ile barua ya kujiuzulu ni bandia, huku wengine wakidai hajaandika yeye bali imeandikwa na "wanaharakati" kina huyu Lucas yeye kaenda mbali zaidi kwa kusema eti ataijibu barua ya Polepole.. Sasa sijui kwa mamlaka yapi na kwa vigezo gani.. Kwakuwa ile sio barua ya posa kwamba inahitaji majibu
Mfahamu Pole pole yule wa bunge la katiba... Si sehemu ya mfumo.. Alivutwa kwa nguvu na mwendazake.. Na mambo yalipobadilika, akionekana ni team JPM akawa ni kati ya waliotolewa kwenye mfumo wa sasa! But a short time to live!
Safari ya kutolewa chamani mpaka Malawi halafu baadae Cuba ina simulizi yake ambayo hitimisho lake ni hili tukio la leo
Sababu alizotoa zimenyooka sana. Kaongea lugha ya CHADEMA kwa kwa tune nyingine.. Nafasi aliyokuwa nayo kipindi cha mwendazake ni wazi alikutana na wakubwa wenye mitazamo inayofanana na kwa vyovyote walitengeneza bond!
Kitendo cha kujiuzulu akiwa kazini na barua yake kusambaa mitandaoni.. Kina tafsiri yake pia.. Na ukizingatiq kafanya hivyo siku ya weekend tena mchana kuelekea adhuhuri
Cuba ni nchi rafiki na Tanganyika. Kuna hatari na nusu kufanya alichofanya akiwa ndani ya Cuba hata Kama ni weekend
Kwa maneno ya moja kwa moja ni kwamba kaasi.. Na hayuko ofisini kwake Cuba
Kwa barua ile na kwa hali ilivyo ni wazi hawezi kamwe kurejea nchini kwa sasa.. Je yuko wapi? Kwa hadhi gani? Ya ukimbizi?
Ni wazi kuna jambo ana hakika nalo, na lina backup ya vivuli visivyojulikana kwasasa.. Huku ndio nyumbani kwake hivyo hawezi kukaa ukimbizini ama mafichoni kwa muda mrefu
Nice wazi hii ni project ya kikundi cha watu ndani ya mfumo.. Lakini je mfumo haukuwa na hizi taarifa? Au kitakachotokea?
Hata kama haitatamkwa hadharani.. Lakini kayatimua maji vibaya sana! Chekeche litaanza maramoja kutafuta walio nyuma yake na mipango yao...
Kwasasa zinapimwa athari za uamuzi wake kishapo itakuwa ni zamu ya kujibu mapigo...!
Banda ya barua yake ya kujiuzulu je atakaa kimya.. Ama ndio itakuwa mwanzo wa kutapika nyongo kwa uhuru?
Yajayo ni Mengi
Good night TanganyikaView attachment 3404860