Ni nani yuko nyuma ya Polepole?

Ni nani yuko nyuma ya Polepole?

Hafrey kapiga kwa kushtukiza halafu kwenye chembe ya moto😀
ilikua atumbuliwe akiwa anakula bata Los Angeles USA alipokua akifuja mali za umma kwa ufuska na anasa kila wikiendi, hata hivyo aanze amazoezi ya kusota korokoroni kwa makosa ya matumizi mabaya ya ofisi huko havana:putinWalk:
 
Polepole dhamira yake imemsuta. Mtu binadamu wa kweli, mtu mwema, mkweli unayeheshimu utu na uhai wa wanadamu wenzako huwezi kukubali kuwa kwenye mfumo unaoteka na kuua binadamu wenzako.



Nina hakika wengi mpaka kufika October watakuwa wamejitenga na waovu na Chama Cha Mashetani. Asili ya mwanadamu siyo uovu, japo anaweza kuwepo kwenye uovu. Huko watabakia tu wale wa uzao wa ibilisi wanaoishi na roho ya ibilisi.

Inachukua muda gani binaadamu kusutwa na dhamira ? hauitaji kula ng'ombe mzima kung"amua kama hii nyama imeoza tonge moja tu linatosha wakt mwingine pua zinatosha namaanisha alipaswa kujiuzulu miaka 6 iliyopita
 
Bro
Hili swali lingekuwa halina maana kama yasingetokea leo ya kujiuzulu nafasi nyeti ya ubalozi nchini Cuba na uwakilishi wa mataifa jirani na Cuba

Tatizo sio kujiudhulu bali ni sababu za kujiuzulu.. Kawa muwazi sana sana na kanyoosha maelezo bila kutumia lugha laini ya kidiplomasia

Kuna wanaojaribu kupooza fukuto kwa kusema ile barua ya kujiuzulu ni bandia, huku wengine wakidai hajaandika yeye bali imeandikwa na "wanaharakati" kina huyu Lucas yeye kaenda mbali zaidi kwa kusema eti ataijibu barua ya Polepole.. Sasa sijui kwa mamlaka yapi na kwa vigezo gani.. Kwakuwa ile sio barua ya posa kwamba inahitaji majibu

Mfahamu Pole pole yule wa bunge la katiba... Si sehemu ya mfumo.. Alivutwa kwa nguvu na mwendazake.. Na mambo yalipobadilika, akionekana ni team JPM akawa ni kati ya waliotolewa kwenye mfumo wa sasa! But a short time to live!

Safari ya kutolewa chamani mpaka Malawi halafu baadae Cuba ina simulizi yake ambayo hitimisho lake ni hili tukio la leo

Sababu alizotoa zimenyooka sana. Kaongea lugha ya CHADEMA kwa kwa tune nyingine.. Nafasi aliyokuwa nayo kipindi cha mwendazake ni wazi alikutana na wakubwa wenye mitazamo inayofanana na kwa vyovyote walitengeneza bond!

Kitendo cha kujiuzulu akiwa kazini na barua yake kusambaa mitandaoni.. Kina tafsiri yake pia.. Na ukizingatiq kafanya hivyo siku ya weekend tena mchana kuelekea adhuhuri

Cuba ni nchi rafiki na Tanganyika. Kuna hatari na nusu kufanya alichofanya akiwa ndani ya Cuba hata Kama ni weekend
Kwa maneno ya moja kwa moja ni kwamba kaasi.. Na hayuko ofisini kwake Cuba

Kwa barua ile na kwa hali ilivyo ni wazi hawezi kamwe kurejea nchini kwa sasa.. Je yuko wapi? Kwa hadhi gani? Ya ukimbizi?

Ni wazi kuna jambo ana hakika nalo, na lina backup ya vivuli visivyojulikana kwasasa.. Huku ndio nyumbani kwake hivyo hawezi kukaa ukimbizini ama mafichoni kwa muda mrefu

Nice wazi hii ni project ya kikundi cha watu ndani ya mfumo.. Lakini je mfumo haukuwa na hizi taarifa? Au kitakachotokea?

Hata kama haitatamkwa hadharani.. Lakini kayatimua maji vibaya sana! Chekeche litaanza maramoja kutafuta walio nyuma yake na mipango yao...

Kwasasa zinapimwa athari za uamuzi wake kishapo itakuwa ni zamu ya kujibu mapigo...!
Banda ya barua yake ya kujiuzulu je atakaa kimya.. Ama ndio itakuwa mwanzo wa kutapika nyongo kwa uhuru?
Yajayo ni Mengi
Good night TanganyikaView attachment 3404860
Bro mshana.
Polepole ni mnafiki tu. Kumjadili huyu ni kumpaisha bila sababu
 
ilikua atumbuliwe akiwa anakula bata Los Angeles USA alipokua akifuja mali za umma kwa ufuska na anasa kila wikiendi, hata hivyo aanze amazoezi ya kusota korokoroni kwa makosa ya matumizi mabaya ya ofisi huko havana:putinWalk:
Ndio mkapost hii?
IMG-20250714-WA0029.jpg
 
ilikua atumbuliwe akiwa anakula bata Los Angeles USA alipokua akifuja mali za umma kwa ufuska na anasa kila wikiendi, hata hivyo aanze amazoezi ya kusota korokoroni kwa makosa ya matumizi mabaya ya ofisi huko havana:putinWalk:
Umeanza kuunda bambiko hapo,hivi sasa sijui litakuwa la nyara sirikali ama ya kuwafukuza wahuni mapangonii hata sijui?
 
Hili swali lingekuwa halina maana kama yasingetokea leo ya kujiuzulu nafasi nyeti ya ubalozi nchini Cuba na uwakilishi wa mataifa jirani na Cuba

Tatizo sio kujiudhulu bali ni sababu za kujiuzulu.. Kawa muwazi sana sana na kanyoosha maelezo bila kutumia lugha laini ya kidiplomasia

Kuna wanaojaribu kupooza fukuto kwa kusema ile barua ya kujiuzulu ni bandia, huku wengine wakidai hajaandika yeye bali imeandikwa na "wanaharakati" kina huyu Lucas yeye kaenda mbali zaidi kwa kusema eti ataijibu barua ya Polepole.. Sasa sijui kwa mamlaka yapi na kwa vigezo gani.. Kwakuwa ile sio barua ya posa kwamba inahitaji majibu

Mfahamu Pole pole yule wa bunge la katiba... Si sehemu ya mfumo.. Alivutwa kwa nguvu na mwendazake.. Na mambo yalipobadilika, akionekana ni team JPM akawa ni kati ya waliotolewa kwenye mfumo wa sasa! But a short time to live!

Safari ya kutolewa chamani mpaka Malawi halafu baadae Cuba ina simulizi yake ambayo hitimisho lake ni hili tukio la leo

Sababu alizotoa zimenyooka sana. Kaongea lugha ya CHADEMA kwa kwa tune nyingine.. Nafasi aliyokuwa nayo kipindi cha mwendazake ni wazi alikutana na wakubwa wenye mitazamo inayofanana na kwa vyovyote walitengeneza bond!

Kitendo cha kujiuzulu akiwa kazini na barua yake kusambaa mitandaoni.. Kina tafsiri yake pia.. Na ukizingatiq kafanya hivyo siku ya weekend tena mchana kuelekea adhuhuri

Cuba ni nchi rafiki na Tanganyika. Kuna hatari na nusu kufanya alichofanya akiwa ndani ya Cuba hata Kama ni weekend
Kwa maneno ya moja kwa moja ni kwamba kaasi.. Na hayuko ofisini kwake Cuba

Kwa barua ile na kwa hali ilivyo ni wazi hawezi kamwe kurejea nchini kwa sasa.. Je yuko wapi? Kwa hadhi gani? Ya ukimbizi?

Ni wazi kuna jambo ana hakika nalo, na lina backup ya vivuli visivyojulikana kwasasa.. Huku ndio nyumbani kwake hivyo hawezi kukaa ukimbizini ama mafichoni kwa muda mrefu

Nice wazi hii ni project ya kikundi cha watu ndani ya mfumo.. Lakini je mfumo haukuwa na hizi taarifa? Au kitakachotokea?

Hata kama haitatamkwa hadharani.. Lakini kayatimua maji vibaya sana! Chekeche litaanza maramoja kutafuta walio nyuma yake na mipango yao...

Kwasasa zinapimwa athari za uamuzi wake kishapo itakuwa ni zamu ya kujibu mapigo...!
Banda ya barua yake ya kujiuzulu je atakaa kimya.. Ama ndio itakuwa mwanzo wa kutapika nyongo kwa uhuru?
Yajayo ni Mengi
Good night TanganyikaView attachment 3404860

1752516673310.png

Hivi tushajua hawa wazee walizungumza nini hii siku??
 
Taratibu ni mtu wa kushangaza sana. Kipindi kilichopita kabla ya hiki alikuwa katika mfumo uliopingwa na wengine. Mfumo ambao ndani yake wameumia wengine!
Huyu mtu haikuwahi kuinua mdomo kukemea moto aliopelekewa Lisu nk. Ni mengi alitakiwa kupigania kabla ya hili la Leo!
Lazima tujiulize je mfumo huu una tofauti gani na ule,? Na kwanini aukimbie licha ya kuwa na
 
Uhakika Hadi Sasa ni kwamba hakuna picha ya mteuzi hapa Tanganyika!

Na haijaulikana alipo !

Pia mkutano wa barza la mawaziri ni spinning TU ya pole pole hatujajua Nini has kinaendelea!!

Naendelea kuchangia uchumi wa bando!
 
Kilichotokea January ndiyo kimeleta yote haya inawezekana maza asingefanya vile asingetoboa May.......kila kitu kitafahamika tu, dunia hakuna siri ni suala la muda tu
 
ilikua atumbuliwe akiwa anakula bata Los Angeles USA alipokua akifuja mali za umma kwa ufuska na anasa kila wikiendi, hata hivyo aanze amazoezi ya kusota korokoroni kwa makosa ya matumizi mabaya ya ofisi huko havana:putinWalk:
Si tulikubaliana tunakula kwa urefu wa mamba!? By the way asingeweza kutumbuliwa kwa kipindi hiki
 
Kilichotokea January ndiyo kimeleta yote haya inawezekana maza asingefanya vile asingetoboa May.......kila kitu kitafahamika tu, dunia hakuna siri ni suala la muda tu
Kilitokea nini?
 
Back
Top Bottom