Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 6,389
- 8,291
Ukuje Lucas tena unatakiwa uwajibike kwa matokeo mabovu ya kazi ambayo umekuwa ukifanya ya kusema kusifia uongo sasa maji ya shingo,unanini cha kusema sasa?
ilikua atumbuliwe akiwa anakula bata Los Angeles USA alipokua akifuja mali za umma kwa ufuska na anasa kila wikiendi, hata hivyo aanze amazoezi ya kusota korokoroni kwa makosa ya matumizi mabaya ya ofisi huko havanaHafrey kapiga kwa kushtukiza halafu kwenye chembe ya moto😀

Polepole dhamira yake imemsuta. Mtu binadamu wa kweli, mtu mwema, mkweli unayeheshimu utu na uhai wa wanadamu wenzako huwezi kukubali kuwa kwenye mfumo unaoteka na kuua binadamu wenzako.
Nina hakika wengi mpaka kufika October watakuwa wamejitenga na waovu na Chama Cha Mashetani. Asili ya mwanadamu siyo uovu, japo anaweza kuwepo kwenye uovu. Huko watabakia tu wale wa uzao wa ibilisi wanaoishi na roho ya ibilisi.
Inachukua muda gani binaadamu kusutwa na dhamira ? hauitaji kula ng'ombe mzima kung"amua kama hii nyama imeoza tonge moja tu linatosha wakt mwingine pua zinatosha namaanisha alipaswa kujiuzulu miaka 6 iliyopita
Bro mshana.Hili swali lingekuwa halina maana kama yasingetokea leo ya kujiuzulu nafasi nyeti ya ubalozi nchini Cuba na uwakilishi wa mataifa jirani na Cuba
Tatizo sio kujiudhulu bali ni sababu za kujiuzulu.. Kawa muwazi sana sana na kanyoosha maelezo bila kutumia lugha laini ya kidiplomasia
Kuna wanaojaribu kupooza fukuto kwa kusema ile barua ya kujiuzulu ni bandia, huku wengine wakidai hajaandika yeye bali imeandikwa na "wanaharakati" kina huyu Lucas yeye kaenda mbali zaidi kwa kusema eti ataijibu barua ya Polepole.. Sasa sijui kwa mamlaka yapi na kwa vigezo gani.. Kwakuwa ile sio barua ya posa kwamba inahitaji majibu
Mfahamu Pole pole yule wa bunge la katiba... Si sehemu ya mfumo.. Alivutwa kwa nguvu na mwendazake.. Na mambo yalipobadilika, akionekana ni team JPM akawa ni kati ya waliotolewa kwenye mfumo wa sasa! But a short time to live!
Safari ya kutolewa chamani mpaka Malawi halafu baadae Cuba ina simulizi yake ambayo hitimisho lake ni hili tukio la leo
Sababu alizotoa zimenyooka sana. Kaongea lugha ya CHADEMA kwa kwa tune nyingine.. Nafasi aliyokuwa nayo kipindi cha mwendazake ni wazi alikutana na wakubwa wenye mitazamo inayofanana na kwa vyovyote walitengeneza bond!
Kitendo cha kujiuzulu akiwa kazini na barua yake kusambaa mitandaoni.. Kina tafsiri yake pia.. Na ukizingatiq kafanya hivyo siku ya weekend tena mchana kuelekea adhuhuri
Cuba ni nchi rafiki na Tanganyika. Kuna hatari na nusu kufanya alichofanya akiwa ndani ya Cuba hata Kama ni weekend
Kwa maneno ya moja kwa moja ni kwamba kaasi.. Na hayuko ofisini kwake Cuba
Kwa barua ile na kwa hali ilivyo ni wazi hawezi kamwe kurejea nchini kwa sasa.. Je yuko wapi? Kwa hadhi gani? Ya ukimbizi?
Ni wazi kuna jambo ana hakika nalo, na lina backup ya vivuli visivyojulikana kwasasa.. Huku ndio nyumbani kwake hivyo hawezi kukaa ukimbizini ama mafichoni kwa muda mrefu
Nice wazi hii ni project ya kikundi cha watu ndani ya mfumo.. Lakini je mfumo haukuwa na hizi taarifa? Au kitakachotokea?
Hata kama haitatamkwa hadharani.. Lakini kayatimua maji vibaya sana! Chekeche litaanza maramoja kutafuta walio nyuma yake na mipango yao...
Kwasasa zinapimwa athari za uamuzi wake kishapo itakuwa ni zamu ya kujibu mapigo...!
Banda ya barua yake ya kujiuzulu je atakaa kimya.. Ama ndio itakuwa mwanzo wa kutapika nyongo kwa uhuru?
Yajayo ni Mengi
Good night TanganyikaView attachment 3404860
Hautapatikana kupitia kwa polepoleWatanganyika Wana taka uongozi imara.
ilikua atumbuliwe akiwa anakula bata Los Angeles USA alipokua akifuja mali za umma kwa ufuska na anasa kila wikiendi, hata hivyo aanze amazoezi ya kusota korokoroni kwa makosa ya matumizi mabaya ya ofisi huko havana![]()
Ndio mkapost hii?ilikua atumbuliwe akiwa anakula bata Los Angeles USA alipokua akifuja mali za umma kwa ufuska na anasa kila wikiendi, hata hivyo aanze amazoezi ya kusota korokoroni kwa makosa ya matumizi mabaya ya ofisi huko havana![]()
Umeanza kuunda bambiko hapo,hivi sasa sijui litakuwa la nyara sirikali ama ya kuwafukuza wahuni mapangonii hata sijui?ilikua atumbuliwe akiwa anakula bata Los Angeles USA alipokua akifuja mali za umma kwa ufuska na anasa kila wikiendi, hata hivyo aanze amazoezi ya kusota korokoroni kwa makosa ya matumizi mabaya ya ofisi huko havana![]()
Hili swali lingekuwa halina maana kama yasingetokea leo ya kujiuzulu nafasi nyeti ya ubalozi nchini Cuba na uwakilishi wa mataifa jirani na Cuba
Tatizo sio kujiudhulu bali ni sababu za kujiuzulu.. Kawa muwazi sana sana na kanyoosha maelezo bila kutumia lugha laini ya kidiplomasia
Kuna wanaojaribu kupooza fukuto kwa kusema ile barua ya kujiuzulu ni bandia, huku wengine wakidai hajaandika yeye bali imeandikwa na "wanaharakati" kina huyu Lucas yeye kaenda mbali zaidi kwa kusema eti ataijibu barua ya Polepole.. Sasa sijui kwa mamlaka yapi na kwa vigezo gani.. Kwakuwa ile sio barua ya posa kwamba inahitaji majibu
Mfahamu Pole pole yule wa bunge la katiba... Si sehemu ya mfumo.. Alivutwa kwa nguvu na mwendazake.. Na mambo yalipobadilika, akionekana ni team JPM akawa ni kati ya waliotolewa kwenye mfumo wa sasa! But a short time to live!
Safari ya kutolewa chamani mpaka Malawi halafu baadae Cuba ina simulizi yake ambayo hitimisho lake ni hili tukio la leo
Sababu alizotoa zimenyooka sana. Kaongea lugha ya CHADEMA kwa kwa tune nyingine.. Nafasi aliyokuwa nayo kipindi cha mwendazake ni wazi alikutana na wakubwa wenye mitazamo inayofanana na kwa vyovyote walitengeneza bond!
Kitendo cha kujiuzulu akiwa kazini na barua yake kusambaa mitandaoni.. Kina tafsiri yake pia.. Na ukizingatiq kafanya hivyo siku ya weekend tena mchana kuelekea adhuhuri
Cuba ni nchi rafiki na Tanganyika. Kuna hatari na nusu kufanya alichofanya akiwa ndani ya Cuba hata Kama ni weekend
Kwa maneno ya moja kwa moja ni kwamba kaasi.. Na hayuko ofisini kwake Cuba
Kwa barua ile na kwa hali ilivyo ni wazi hawezi kamwe kurejea nchini kwa sasa.. Je yuko wapi? Kwa hadhi gani? Ya ukimbizi?
Ni wazi kuna jambo ana hakika nalo, na lina backup ya vivuli visivyojulikana kwasasa.. Huku ndio nyumbani kwake hivyo hawezi kukaa ukimbizini ama mafichoni kwa muda mrefu
Nice wazi hii ni project ya kikundi cha watu ndani ya mfumo.. Lakini je mfumo haukuwa na hizi taarifa? Au kitakachotokea?
Hata kama haitatamkwa hadharani.. Lakini kayatimua maji vibaya sana! Chekeche litaanza maramoja kutafuta walio nyuma yake na mipango yao...
Kwasasa zinapimwa athari za uamuzi wake kishapo itakuwa ni zamu ya kujibu mapigo...!
Banda ya barua yake ya kujiuzulu je atakaa kimya.. Ama ndio itakuwa mwanzo wa kutapika nyongo kwa uhuru?
Yajayo ni Mengi
Good night TanganyikaView attachment 3404860
Waliongea kunyoosha palipo pinda taifani na jukumu alipewa Ntu kati.View attachment 3406001
Hivi tushajua hawa wazee walizungumza nini hii siku??
Si tulikubaliana tunakula kwa urefu wa mamba!? By the way asingeweza kutumbuliwa kwa kipindi hikiilikua atumbuliwe akiwa anakula bata Los Angeles USA alipokua akifuja mali za umma kwa ufuska na anasa kila wikiendi, hata hivyo aanze amazoezi ya kusota korokoroni kwa makosa ya matumizi mabaya ya ofisi huko havana![]()