Yaani hii ya Polepole Gwajima cha mtoto,kapiga kama Iran ilivyoipiga IsraelHili swali lingekuwa halina maana kama yasingetokea leo ya kujiuzulu nafasi nyeti ya ubalozi nchini Cuba na uwakilishi wa mataifa jirani na Cuba
Tatizo sio kujiudhulu bali ni sababu za kujiuzulu.. Kawa muwazi sana sana na kanyoosha maelezo bila kutumia lugha laini ya kidiplomasia
Kuna wanaojaribu kupooza fukuto kwa kusema ile barua ya kujiuzulu ni bandia, huku wengine wakidai hajaandika yeye bali imeandikwa na "wanaharakati" kina huyu Lucas yeye kaenda mbali zaidi kwa kusema eti ataijibu barua ya Polepole.. Sasa sijui kwa mamlaka yapi na kwa vigezo gani.. Kwakuwa ile sio barua ya posa kwamba inahitaji majibu
Mfahamu Pole pole yule wa bunge la katiba... Si sehemu ya mfumo.. Alivutwa kwa nguvu na mwendazake.. Na mambo yalipobadilika, akionekana ni team JPM akawa ni kati ya waliotolewa kwenye mfumo wa sasa! But a short time to live!
Safari ya kutolewa chamani mpaka Malawi halafu baadae Cuba ina simulizi yake ambayo hitimisho lake ni hili tukio la leo
Sababu alizotoa zimenyooka sana. Kaongea lugha ya CHADEMA kwa kwa tune nyingine.. Nafasi aliyokuwa nayo kipindi cha mwendazake ni wazi alikutana na wakubwa wenye mitazamo inayofanana na kwa vyovyote walitengeneza bond!
Kitendo cha kujiuzulu akiwa kazini na barua yake kusambaa mitandaoni.. Kina tafsiri yake pia.. Na ukizingatiq kafanya hivyo siku ya weekend tena mchana kuelekea adhuhuri
Cuba ni nchi rafiki na Tanganyika. Kuna hatari na nusu kufanya alichofanya akiwa ndani ya Cuba hata Kama ni weekend
Kwa maneno ya moja kwa moja ni kwamba kaasi.. Na hayuko ofisini kwake Cuba
Kwa barua ile na kwa hali ilivyo ni wazi hawezi kamwe kurejea nchini kwa sasa.. Je yuko wapi? Kwa hadhi gani? Ya ukimbizi?
Ni wazi kuna jambo ana hakika nalo, na lina backup ya vivuli visivyojulikana kwasasa.. Huku ndio nyumbani kwake hivyo hawezi kukaa ukimbizini ama mafichoni kwa muda mrefu
Nice wazi hii ni project ya kikundi cha watu ndani ya mfumo.. Lakini je mfumo haukuwa na hizi taarifa? Au kitakachotokea?
Hata kama haitatamkwa hadharani.. Lakini kayatimua maji vibaya sana! Chekeche litaanza maramoja kutafuta walio nyuma yake na mipango yao...
Kwasasa zinapimwa athari za uamuzi wake kishapo itakuwa ni zamu ya kujibu mapigo...!
Banda ya barua yake ya kujiuzulu je atakaa kimya.. Ama ndio itakuwa mwanzo wa kutapika nyongo kwa uhuru?
Yajayo ni Mengi
Good night TanganyikaView attachment 3404860
Wanakumbi.Yaani hii ya Polepole Gwajima cha mtoto,kapiga kama Iran ilivyoipiga Israel
Kama ni unfit, maana yake kwasasa kitenfo cha vetting ni hovyo kabisa.Wameanza kuja👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
Wanakumbi.
Tukiipitia barua mara mbili mbili tunaendelea kushangazwa sana inakuwaje balozi wa nchi mwenye jukumu la kutumikia taifa huko nje cuba, anaandika kujiuzulu kwake si kwenye majukumu aliopewa bali kwa tuhuma zinazo wasilishwa na wapinzani , kisha humo humo analalamika maswala ya CCM tena ya uteuzi na ukataj majina ambao umekuwa unazungumzwa na wapinzani na wanaharkati wakitaja majina ya watu walio katwa ndani ya CCM
Wakati huo huo na ndio ukweli CCM iko kwenye mchakato wa kupitia watia nia wooote kwenye ngazi tofauti tofauti wakisubiri halmashauri kuu ya taifa kupitia mapendekezo na kurudisha majina kwa ajili ya kura za maoni
sasa unachangaza sana balozi mzima , lakini aliekuwa katibu wa uenezi wa ccm nae hajui au amesahau utaratibu wa CCM, na anatoka na barua inatangulia vikao vya chama vya maamuzi
Hii barua itakuwa imeandikwa na wanaharakati na mambo yao sio ya level ya mtu balozi
*na ikiwa kaandika ukweli , basi hata huo ubalozi hamna mtu hapa , unfit
Lucas yeye ni mzee wa kudandia tu....hahahaKuna wanaojaribu kupooza fukuto kwa kusema ile barua ya kujiuzulu ni bandia, huku wengine wakidai hajaandika yeye bali imeandikwa na "wanaharakati" kina huyu Lucas yeye kaenda mbali zaidi kwa kusema eti ataijibu barua ya Polepole.. Sasa sijui kwa mamlaka yapi na kwa vigezo gani.. Kwakuwa ile sio barua ya posa kwamba inahitaji majibu
Kifupi tu ni NRNE.Wanakumbi.
Tukiipitia barua mara mbili mbili tunaendelea kushangazwa sana inakuwaje balozi wa nchi mwenye jukumu la kutumikia taifa huko nje cuba, anaandika kujiuzulu kwake si kwenye majukumu aliopewa bali kwa tuhuma zinazo wasilishwa na wapinzani , kisha humo humo analalamika maswala ya CCM tena ya uteuzi na ukataj majina ambao umekuwa unazungumzwa na wapinzani na wanaharkati wakitaja majina ya watu walio katwa ndani ya CCM
Wakati huo huo na ndio ukweli CCM iko kwenye mchakato wa kupitia watia nia wooote kwenye ngazi tofauti tofauti wakisubiri halmashauri kuu ya taifa kupitia mapendekezo na kurudisha majina kwa ajili ya kura za maoni
sasa unachangaza sana balozi mzima , lakini aliekuwa katibu wa uenezi wa ccm nae hajui au amesahau utaratibu wa CCM, na anatoka na barua inatangulia vikao vya chama vya maamuzi
Hii barua itakuwa imeandikwa na wanaharakati na mambo yao sio ya level ya mtu balozi
*na ikiwa kaandika ukweli , basi hata huo ubalozi hamna mtu hapa , unfit
Credit: Ritz
hakika wasije wasiojulikana wakawapeleke chadema, machame mpya
Wacha tuone tuHili swali lingekuwa halina maana kama yasingetokea leo ya kujiuzulu nafasi nyeti ya ubalozi nchini Cuba na uwakilishi wa mataifa jirani na Cuba
Tatizo sio kujiudhulu bali ni sababu za kujiuzulu.. Kawa muwazi sana sana na kanyoosha maelezo bila kutumia lugha laini ya kidiplomasia
Kuna wanaojaribu kupooza fukuto kwa kusema ile barua ya kujiuzulu ni bandia, huku wengine wakidai hajaandika yeye bali imeandikwa na "wanaharakati" kina huyu Lucas yeye kaenda mbali zaidi kwa kusema eti ataijibu barua ya Polepole.. Sasa sijui kwa mamlaka yapi na kwa vigezo gani.. Kwakuwa ile sio barua ya posa kwamba inahitaji majibu
Mfahamu Pole pole yule wa bunge la katiba... Si sehemu ya mfumo.. Alivutwa kwa nguvu na mwendazake.. Na mambo yalipobadilika, akionekana ni team JPM akawa ni kati ya waliotolewa kwenye mfumo wa sasa! But a short time to live!
Safari ya kutolewa chamani mpaka Malawi halafu baadae Cuba ina simulizi yake ambayo hitimisho lake ni hili tukio la leo
Sababu alizotoa zimenyooka sana. Kaongea lugha ya CHADEMA kwa kwa tune nyingine.. Nafasi aliyokuwa nayo kipindi cha mwendazake ni wazi alikutana na wakubwa wenye mitazamo inayofanana na kwa vyovyote walitengeneza bond!
Kitendo cha kujiuzulu akiwa kazini na barua yake kusambaa mitandaoni.. Kina tafsiri yake pia.. Na ukizingatiq kafanya hivyo siku ya weekend tena mchana kuelekea adhuhuri
Cuba ni nchi rafiki na Tanganyika. Kuna hatari na nusu kufanya alichofanya akiwa ndani ya Cuba hata Kama ni weekend
Kwa maneno ya moja kwa moja ni kwamba kaasi.. Na hayuko ofisini kwake Cuba
Kwa barua ile na kwa hali ilivyo ni wazi hawezi kamwe kurejea nchini kwa sasa.. Je yuko wapi? Kwa hadhi gani? Ya ukimbizi?
Ni wazi kuna jambo ana hakika nalo, na lina backup ya vivuli visivyojulikana kwasasa.. Huku ndio nyumbani kwake hivyo hawezi kukaa ukimbizini ama mafichoni kwa muda mrefu
Nice wazi hii ni project ya kikundi cha watu ndani ya mfumo.. Lakini je mfumo haukuwa na hizi taarifa? Au kitakachotokea?
Hata kama haitatamkwa hadharani.. Lakini kayatimua maji vibaya sana! Chekeche litaanza maramoja kutafuta walio nyuma yake na mipango yao...
Kwasasa zinapimwa athari za uamuzi wake kishapo itakuwa ni zamu ya kujibu mapigo...!
Banda ya barua yake ya kujiuzulu je atakaa kimya.. Ama ndio itakuwa mwanzo wa kutapika nyongo kwa uhuru?
Yajayo ni Mengi
Good night TanganyikaView attachment 3404860
SIDHANI,kama wanamwomba aikatae pia siamini kama atakanusha siyeye kwa akiliyake iliyoandikwa baruani humo japo imoooWameanza kuja👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
Wanakumbi.
Tukiipitia barua mara mbili mbili tunaendelea kushangazwa sana inakuwaje balozi wa nchi mwenye jukumu la kutumikia taifa huko nje cuba, anaandika kujiuzulu kwake si kwenye majukumu aliopewa bali kwa tuhuma zinazo wasilishwa na wapinzani , kisha humo humo analalamika maswala ya CCM tena ya uteuzi na ukataj majina ambao umekuwa unazungumzwa na wapinzani na wanaharkati wakitaja majina ya watu walio katwa ndani ya CCM
Wakati huo huo na ndio ukweli CCM iko kwenye mchakato wa kupitia watia nia wooote kwenye ngazi tofauti tofauti wakisubiri halmashauri kuu ya taifa kupitia mapendekezo na kurudisha majina kwa ajili ya kura za maoni
sasa unachangaza sana balozi mzima , lakini aliekuwa katibu wa uenezi wa ccm nae hajui au amesahau utaratibu wa CCM, na anatoka na barua inatangulia vikao vya chama vya maamuzi
Hii barua itakuwa imeandikwa na wanaharakati na mambo yao sio ya level ya mtu balozi
*na ikiwa kaandika ukweli , basi hata huo ubalozi hamna mtu hapa , unfit
Na ww ni mbongo pia na mmojawapoWabongo mnapenda sana mambo ya umbea umɓea.
Hii comment haisuiani na ĥii thread.
KA connect na Wi-fiLukas anasema ataijibu barua.. Ritz anasema wamekaa wameisoma mara mbili na kuijadili na kufikia conclusion kwamba imeandikwa na wanaharakati
Hafrey muda huu yuko mahali na popcorn zake simu full charge full network😂