Mkuu umeamua kufa na tai shingoni?Mimi na familia yangu tunaipenda sana CCM nafikiri tutaipenda daima ,kidumu chama cha mapinduzi!
Polepole,bashiru ni baadhi ya hao watuNi nani yuko nyuma ya Chama hiki kipya Cha Siasa cha 21 Tanzania.
Bahati mbaya sana wanaoanzisha vyama hivi wanashindwa kabla ya kuanza.
Ukweli ni kwamba CCM hakuna wakuitoa kwa sasa kwa mamna ilivyo na sera na dira zinazoeleweka.
CCM ni chama zao la kutafuta maendeleo na haki ya kila Mtanzania ndio maana inapendwa sana.
Vyama hivi ni mazao ya migogoro Ndio maana havifiki mbali kama itakavyokuwa kwa CCKD.
#Usipoteze muda wako baki CCM.
View attachment 2028113
CCM imeshafika D!Ni nani yuko nyuma ya Chama hiki kipya Cha Siasa cha 21 Tanzania.
Bahati mbaya sana wanaoanzisha vyama hivi wanashindwa kabla ya kuanza.
Ukweli ni kwamba CCM hakuna wakuitoa kwa sasa kwa mamna ilivyo na sera na dira zinazoeleweka.
CCM ni chama zao la kutafuta maendeleo na haki ya kila Mtanzania ndio maana inapendwa sana.
Vyama hivi ni mazao ya migogoro Ndio maana havifiki mbali kama itakavyokuwa kwa CCKD.
#Usipoteze muda wako baki CCM.
View attachment 2028113
Hata chawa najua haipendi, waambie ukweli Ili wajirekebishe, wajiinarishe na wapendwe🤔.Ni nani yuko nyuma ya Chama hiki kipya Cha Siasa cha 21 Tanzania.
Bahati mbaya sana wanaoanzisha vyama hivi wanashindwa kabla ya kuanza.
Ukweli ni kwamba CCM hakuna wakuitoa kwa sasa kwa mamna ilivyo na sera na dira zinazoeleweka.
CCM ni chama zao la kutafuta maendeleo na haki ya kila Mtanzania ndio maana inapendwa sana.
Vyama hivi ni mazao ya migogoro Ndio maana havifiki mbali kama itakavyokuwa kwa CCKD.
#Usipoteze muda wako baki CCM.
View attachment 2028113
kama ccm wameshindwa hiyo takataka itaweza?Naona mkakati wa kuifuta chadema kwa kuyaleta mapandikizi ya vyama mbadala umeiva!!!!RIP chadema karibu CCU NA CCKD!!!
Mengine ni matawi ya chukua chako mapema🤔.Sio kila chama kinaanzishwa kwa ajili ya kushinda uchaguzi na kuunda serikali.
By the way CCJ (Chama Cha Jamii) iliishia wapi?Ni nani yuko nyuma ya Chama hiki kipya Cha Siasa cha 21 Tanzania.
Bahati mbaya sana wanaoanzisha vyama hivi wanashindwa kabla ya kuanza.
Ukweli ni kwamba CCM hakuna wakuitoa kwa sasa kwa mamna ilivyo na sera na dira zinazoeleweka.
CCM ni chama zao la kutafuta maendeleo na haki ya kila Mtanzania ndio maana inapendwa sana.
Vyama hivi ni mazao ya migogoro Ndio maana havifiki mbali kama itakavyokuwa kwa CCKD.
#Usipoteze muda wako baki CCM.
View attachment 2028113
Kidumu Chama TawalaMimi na familia yangu tunaipenda sana CCM nafikiri tutaipenda daima ,kidumu chama cha mapinduzi!
Unaoushahidi?NI CCM.
Ushamba tu huuNi nani yuko nyuma ya Chama hiki kipya Cha Siasa cha 21 Tanzania.
Bahati mbaya sana wanaoanzisha vyama hivi wanashindwa kabla ya kuanza.
Ukweli ni kwamba CCM hakuna wakuitoa kwa sasa kwa mamna ilivyo na sera na dira zinazoeleweka.
CCM ni chama zao la kutafuta maendeleo na haki ya kila Mtanzania ndio maana inapendwa sana.
Vyama hivi ni mazao ya migogoro Ndio maana havifiki mbali kama itakavyokuwa kwa CCKD.
#Usipoteze muda wako baki CCM.
View attachment 2028113
wanakufaga wao ila CDM ipo pale-pale.Naona mkakati wa kuifuta chadema kwa kuyaleta mapandikizi ya vyama mbadala umeiva!!!!RIP chadema karibu CCU NA CCKD!!!
JPM aliweka msingi wa anayewania nafasi ya Urais kupitia CCM awe mwenye afya njema na anayejua kupiga pushapu, kwahiyo mgombea wetu wa CCM makwa 2025 awe na uwezo wa kufanya hayo mambo!Mimi na familia yangu tunaipenda sana CCM nafikiri tutaipenda daima ,kidumu chama cha mapinduzi!
CCM hiyo hiyo inayopendwa na watanzania ndiyo hiyo hiyo inayotumia polisi, DCs RCs, wakurugenzi, tume mbovu ya uchaguzi kubaki madarakani. Ndiyo hiyo hiyo inayozuia vyama vingine visifanye harakati za kisiasa huku yenyewe kila siku ikifanya. ndiyo inayotumia majaji wa michongo kuendesha kesi fake za wapinzani ili kuwadhoofisha.Ni nani yuko nyuma ya Chama hiki kipya Cha Siasa cha 21 Tanzania.
Bahati mbaya sana wanaoanzisha vyama hivi wanashindwa kabla ya kuanza.
Ukweli ni kwamba CCM hakuna wakuitoa kwa sasa kwa mamna ilivyo na sera na dira zinazoeleweka.
CCM ni chama zao la kutafuta maendeleo na haki ya kila Mtanzania ndio maana inapendwa sana.
Vyama hivi ni mazao ya migogoro Ndio maana havifiki mbali kama itakavyokuwa kwa CCKD.
#Usipoteze muda wako baki CCM.
View attachment 2028113