Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na Demu analalamika kuachwa na Jamaa baada ya kupewa Kibendi.
Kama unavyojua penye watu hapakosi neno, basi watu wakaanza kutiririka kumpa pole na kumwambia yule Dada kuwa Mungu atamsaidia na mtoto wake.
Watu wengine wakawa wanamwambia wanamuombea kwa Mungu apate kipato kikubwa baada ya kupigwa chini na jamaa yake.
Swali langu kwenu wenye Dini, hivi ni kweli dua zinaweza kujibiwa kwa mtu kama huyu aliezini na kukimbiwa na jamaa?
WENYE IMANI NAOMBA MNIJIBU.
Kama unavyojua penye watu hapakosi neno, basi watu wakaanza kutiririka kumpa pole na kumwambia yule Dada kuwa Mungu atamsaidia na mtoto wake.
Watu wengine wakawa wanamwambia wanamuombea kwa Mungu apate kipato kikubwa baada ya kupigwa chini na jamaa yake.
Swali langu kwenu wenye Dini, hivi ni kweli dua zinaweza kujibiwa kwa mtu kama huyu aliezini na kukimbiwa na jamaa?
WENYE IMANI NAOMBA MNIJIBU.