Hivi ni kweli ulikuwepo/upo utamaduni wa familia kuwa na mtoto/watoto wa nje ya ndoa ili kijihami na laana(Ndagu)

Didododi

JF-Expert Member
Jul 21, 2023
321
426
WanaJf mpooo.Katika pitapita zangu niliwahisikia juu ya utamaduni ambao ulikuwa unataka mama wa kwenye familia Fulani atoke alete mtoto nje ya ndoa ili kujihami na laana ambayo inawezaathiri uzao wa mume halali wa ndoa hivyo kuufanya uzao wa nje ku takeover kama ikitokea kuna laana inayokuwa imeathiri uzao wa mume wa ndoa.Nadhani huita ndagu(wanasema kama laana ikiwa inawafuatilia watoto wale wa kwenye ndoa haiwezi wakumba hao wakuja)
Inasemekana mama mzazi wa upande wa mke anawezampa mwanae mwongozo kwa siri kwamba afanye juu chini afanikishe huu mpango for de safety of her family.
Wenye uzoefu na hili darasa please tujue mambo ya tamaduni
 
Zamani hata kuoa Albino ilipigwa vita sana, namshangaa Zai-Lisaa anataka kuchafua uzao wake
 
Uongo huo upuuz tupu hakuna kitu kama hicho
JamiiForums-1234616416.jpg
 
Back
Top Bottom