Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 17,306
- 19,822
Ukweli ukiwa nao wewe inatosha mkuuSi kweli
Ukweli ukiwa nao wewe inatosha mkuuSi kweli
Hapo atajua kuwa anatafuta elimu ili apate pesa au anatafuta pesa ili apate elimu , na elimu ni chanzo cha kipato au kipato ndio chanzo cha elimu na elimu na pesa nani anaye muhitaji mwenzie zaidi, akisha jijibu hayo maswali aamue ashike njia ipi.Usisome masters kama bado haujajua unataka kufanyia nini elimu yako ya shule.
Kifupi sana soma masters baada ya kuingia kwenye mfumo wa kazi/ajira then ndani ya iyo kazi/ajira utajua ukaongeze elimu ya kitu gani
Nitumie mkuuMkuu wewe Ume ambiwa 21 business century, hio Rich Dad ya wapi🤔😂😂
Soma orthopedic,obsy&gyn ,paedriaticHabrini ndgu zangu wana JF mwenzenu naomba kuuliza hivi ni kipi chenye michongo mitaani kati ya master au undergraduate degree? Tujaribu kushare idea kama vijana ili tusijekupoteza muda wa kusoma Masters kumbe michongo ipo kwenye kutafta japo degree nyingne.
Msaada tafadhali na hii nazungumzia hasa kwa wale ambao bado tuko mtaani labda tulikosea kufanya machaguo sahihi ya fani au lah so kipi kifanyike tusome degree nyingne au tuiongezee thamani degree tuliyonayo?? Experience ndgu zangu tupeni ramani
MKUU una uza jumla au rejareja?Simu na accessories zake mixer vifaa vyote vya electronics
Sasa mkuu SI PDF download, au nenda pale Bei ya jumla 10-15 k tyNitumie mkuu