Ni master au degree yenye michongo mtaani?

Mindsets za wadogo zetu zipo katika kuajiriwa zaidi ya kufikiri kujiajiri. Hauoni kama kuna tatizo hapa mkuu?
Tatizo sio mtu. Tatizo mfumo ulivyo.. wew unadhani Kwa mfumo huu ambao hauna uwezekano wa kuajiri watu wote unaowasomesha kazi itakuwa ndogo?.

Mtu anasotea uhasibu miaka 3 Kwa Imani akiajiriwa take home 1m au 800k Leo hii mwaka wa tatu aanze kufikiria kufungua genge mtaj laki 1 azungushe ni kitu kidogo mentally?
 
Habrini ndgu zangu wana JF mwenzenu naomba kuuliza hivi ni kipi chenye michongo mitaani kati ya master au undergraduate degree? Tujaribu kushare idea kama vijana ili tusijekupoteza muda wa kusoma Masters kumbe michongo ipo kwenye kutafta japo degree nyingne.

Msaada tafadhali na hii nazungumzia hasa kwa wale ambao bado tuko mtaani labda tulikosea kufanya machaguo sahihi ya fani au lah so kipi kifanyike tusome degree nyingne au tuiongezee thamani degree tuliyonayo?? Experience ndgu zangu tupeni ramani
Diploma
 
Habrini ndgu zangu wana JF mwenzenu naomba kuuliza hivi ni kipi chenye michongo mitaani kati ya master au undergraduate degree? Tujaribu kushare idea kama vijana ili tusijekupoteza muda wa kusoma Masters kumbe michongo ipo kwenye kutafta japo degree nyingne.

Msaada tafadhali na hii nazungumzia hasa kwa wale ambao bado tuko mtaani labda tulikosea kufanya machaguo sahihi ya fani au lah so kipi kifanyike tusome degree nyingne au tuiongezee thamani degree tuliyonayo?? Experience ndgu zangu tupeni ramani
Hayo makaratsi hayatokupa mchongo mjini,ujuzi kichwani na connection ndo mpango mzima
 
Sitaki kuwa negative Sana but exam performance na mafanikio ya mtaa ni vitu viwili togauti.

One can make wonders on attempting and answering selected number of questions on a paper,

but iam telling you it's quite different ukija kwa mtaa na expectations zako!!, Huku Ina takaiwa juhudi na kujituma Sana.

hauoni school droppers Wanavyo fanya maajabu mtaani, Huku wale degree,PhD and master's holders wanavyo Sanya kupata hata job za laki 2 (ushahidi jf).

Mtaa una hitaji uwe smart, fast learner, mbunifu na hata mwana mageuzi ili uzipate na kuziona Fursa.
👉 I mean no malice to nobody
Gily Gru, Analyse, Glenn, Ushimen, Ms eyes, mshamba_hachekwi, KJ07, National Anthem, Mzee wa kupambania
Bora umempasha

Kwakifupi life is not a straight line
 
Tatizo sio mtu. Tatizo mfumo ulivyo.. wew unadhani Kwa mfumo huu ambao hauna uwezekano wa kuajiri watu wote unaowasomesha kazi itakuwa ndogo?.

Mtu anasotea uhasibu miaka 3 Kwa Imani akiajiriwa take home 1m au 800k Leo hii mwaka wa tatu aanze kufikiria kufungua genge mtaj laki 1 azungushe ni kitu kidogo mentally?
Inasikitisha sana ndugu yangu
 
Mastaz ipi mkuu nieleweshe
Mastaz ya mtaani (hustling + networking) au ile ya makaratasi?

Mkuu kama ni hiyo ya pili na hujaajiriwa nakushauri ingia mtaani mapema, jifunze kupambana na maisha halisi angali una nguvu za kutosha.
 
Back
Top Bottom