Ni master au degree yenye michongo mtaani?

Ni master au degree yenye michongo mtaani?

Ukikusanya watanzania 1000 randomly ambao wanaingiza kipato cha 50,000/= kwa siku, 90% ni watu wenye kuanzia degree moja kwenda mbele.
Quantity.
Elimu watu wanaichukulia vibaya sana Kwa kuangalia kigezo Cha ajira pekee. Na mbaya zaidi Kuna makabila huku kwetu uzaramoni hata kusoma yanapata shida Kwan wao wanaangalia mifano ya waliokosa ajira tu.
Yani wanajifunza Kwa walioshindwa
 
Quantity.
Elimu watu wanaichukulia vibaya sana Kwa kuangalia kigezo Cha ajira pekee. Na mbaya zaidi Kuna makabila huku kwetu uzaramoni hata kusoma yanapata shida Kwan wao wanaangalia mifano ya waliokosa ajira tu.
Yani wanajifunza Kwa walioshindwa
Mfumo wa elimu ya Tanzania unahitaji overhaul kubwa sana laa sivyo yajayo yanafurahisha.
 
Master inayofuata career developing ndo zinabamba kwa mfano wewe unafanya kazi katika wizara fulana labda ya afya basi soma inayohusiana mambo ya afya ni rahisi kuja kukusaidia kwa vile tayar upo kweny mfumo na unatambulika huku unafanyiwa ufuatiliaje hata kupanda cheo ni rahisi.

Hili nimeona wengi waliopo kweny system ndo wanasona masters tofauti ambao baada ya degree ya kwanza waliachana na masomo na kupambania mkate mtaani na maisha yanaenda.
 
Vijana tuanze kujifunza kuwekeza mapema tupate uzoefu

Wastaafu wanapoteza sana hela zao za viinuamgongo wakishastaafu maana hawana uzoefu wowote wa biashara

The younger you start the more successful you'll be.
Mm naunga mkono Hoja hii. Mpaka sasA naona kujiajiri nako kunafaa tu. Kama unatengenexa brand nzuri na huduma na bidhaa zenye ubora. Unakaa pazur sana miaka 5 tu mbele.
Tukisubr pensheni ndo iwe mtaji hatufiki mbali. Pensheni ikutane na biashara iliyosimama
 
Mchongo ni
1. Ujuzi/Utalaamu
2. Connection
Tanzania bado kuna kazi nyingi, ila tatizo la msingi ni kwamba wenye ujuzi na uwezo wa kufanya kazi kwa ufanisi ni wachache ndo maana tuna waleta wahindi na wakenya.
 
Mindsets za wadogo zetu zipo katika kuajiriwa zaidi ya kufikiri kujiajiri. Hauoni kama kuna tatizo hapa mkuu?
Hapana. Hao hawana shida... Mana mfumo unawaandaa kuwa wataalam wa eneo Fulani. Mfumo huu unachokuja kuzingua ni kutaka watu wapungue wakimaliza chuo. Mana hauhitaji wafanyakaz wengi. Yani tumeanza msingi tumepungua.. tumemaliza sekondari kwenda advance pia. Shida Iko hapo mkimaliza chuo pia mpungue ili kazini waende wachache.
Hapo ndo unakuta madogo wameachwa solemba kwenye mataa hawana Cha kufanya. Isitoshe tunawaandaa wenyew kuwa wahasib then tunakuja kuwaambia uhasibu kazi hakuna wauze machungwa. Sasa balance sheet au profoma invoice na machungwa wap na wap
 
Hapana. Hao hawana shida... Mana mfumo unawaandaa kuwa wataalam wa eneo Fulani. Mfumo huu unachokuja kuzingua ni kutaka watu wapungue wakimaliza chuo. Mana hauhitaji wafanyakaz wengi. Yani tumeanza msingi tumepungua.. tumemaliza sekondari kwenda advance pia. Shida Iko hapo mkimaliza chuo pia mpungue ili kazini waende wachache.
Hapo ndo unakuta madogo wameachwa solemba kwenye mataa hawana Cha kufanya. Isitoshe tunawaandaa wenyew kuwa wahasib then tunakuja kuwaambia uhasibu kazi hakuna wauze machungwa. Sasa balance sheet au profoma invoice na machungwa wap na wap
Ume msoma Robert kiyosaki, katika kitabu Cha Rich Dad na 21 business century
 
Back
Top Bottom