Wakuu, Habari zenu nyote.
Nimehamishiwa Moro kikazi, bado sijaripoti na vile JF ni jumuiya ya watu wengi naomba kupata msaada wa kufahamu maeneo mazuri na salama ya kuishi kwa mkoa wa Morogoro.
Nina familia hivyo nahitaji maeneo ya mazingira salama kwa vile mda mwingi majukumu yangu yananilazimu kusafri.
Hiyo sehemu iwe na maji ya uhakika na yasiwe maeneo yenye vibaka.
Nimehamishiwa Moro kikazi, bado sijaripoti na vile JF ni jumuiya ya watu wengi naomba kupata msaada wa kufahamu maeneo mazuri na salama ya kuishi kwa mkoa wa Morogoro.
Nina familia hivyo nahitaji maeneo ya mazingira salama kwa vile mda mwingi majukumu yangu yananilazimu kusafri.
Hiyo sehemu iwe na maji ya uhakika na yasiwe maeneo yenye vibaka.