Frank Ishengoma
Member
- Oct 8, 2023
- 37
- 17
Serikali yadhamilia kumaliza kilio cha muda mrefu cha ukosefu wa maji kwa wananchi wa kata hizo pamoja na maeneo ya jirani, Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na MHE. RAIS. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN imedhamilia kumaliza kilio cha ukosefu wa maji kwenye kata hizo pamoka na maeneo ya jirani.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini MHE. ABDULAZIZ M. ABOOD ametembelea na kukagua ulazaji wa mabomba ya maji kwenye kata hizo, Mhe Mbunge akiongea na wananchi baada ya kukagua zoezi la ulazaji mabomba amewahakikishia wananchi kuwa Serikali ya Mama Samia ni Serikali sikivu na imedhamilia kumaliza kabisa kilio chao cha maji.
Vilevile Mhe Mbunge amesema kuwa Serikali imeleta pesa Tsh 2,100,000,000 (BILLION MOJA NA MILION MIA MOJA) kwa Moruwassa ili kuhakikisha zoezi la kuwapatia wananchi maji linakamilika kwa wakati.
Aidha Mhe. Mbunge amewaeleza Moruwassa kuwa wahakikishe wanafanya kazi mchana na usiku ili kuendana na kasi ya Mhe Rais Samia, Serikali inaitaji wananchi wake wapate maji ndiyo maana inaleta pesa nyingi.
Pia wananchi baadhi wamepata nafasi ya kuongea mbele ya Mhe Mbunge wao, akiongea mwananchi aliyejitambulisha kwa jina la RAMADHANI SAID JUMA kwa niaba ya wananchi wenzake amesema kuwa:
"Tunaishukuru sana Serikali hakika inatupenda sana hatua hii na jitihada hizi wanazozifanya kuhakikisha wanatatua changamoto zetu hatuna cha kuwalipa isipokuwa 2025 kura zetu ni kwa CCM, sisi kama wananchi tunakupongeza pia wewe Mbunge wetu kwa moyo wako wa kuhakikisha wananchi wako tunatoka kwenye changamoto hii, kutoka mioyoni mwetu tunasema Mungu akubariki sana Mbunge wewe umekuwa rafiki yetu na ndugu yetu tunakuombea kwa Mungu akulinde uwe na afya njema kila wakati na tunakuhakikisha 2025 tukiwa na uhai kura zetu zote ni kwako Mhe Abood".
ZIARA INAENDELEA JIMBONI
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini MHE. ABDULAZIZ M. ABOOD ametembelea na kukagua ulazaji wa mabomba ya maji kwenye kata hizo, Mhe Mbunge akiongea na wananchi baada ya kukagua zoezi la ulazaji mabomba amewahakikishia wananchi kuwa Serikali ya Mama Samia ni Serikali sikivu na imedhamilia kumaliza kabisa kilio chao cha maji.
Vilevile Mhe Mbunge amesema kuwa Serikali imeleta pesa Tsh 2,100,000,000 (BILLION MOJA NA MILION MIA MOJA) kwa Moruwassa ili kuhakikisha zoezi la kuwapatia wananchi maji linakamilika kwa wakati.
Aidha Mhe. Mbunge amewaeleza Moruwassa kuwa wahakikishe wanafanya kazi mchana na usiku ili kuendana na kasi ya Mhe Rais Samia, Serikali inaitaji wananchi wake wapate maji ndiyo maana inaleta pesa nyingi.
Pia wananchi baadhi wamepata nafasi ya kuongea mbele ya Mhe Mbunge wao, akiongea mwananchi aliyejitambulisha kwa jina la RAMADHANI SAID JUMA kwa niaba ya wananchi wenzake amesema kuwa:
"Tunaishukuru sana Serikali hakika inatupenda sana hatua hii na jitihada hizi wanazozifanya kuhakikisha wanatatua changamoto zetu hatuna cha kuwalipa isipokuwa 2025 kura zetu ni kwa CCM, sisi kama wananchi tunakupongeza pia wewe Mbunge wetu kwa moyo wako wa kuhakikisha wananchi wako tunatoka kwenye changamoto hii, kutoka mioyoni mwetu tunasema Mungu akubariki sana Mbunge wewe umekuwa rafiki yetu na ndugu yetu tunakuombea kwa Mungu akulinde uwe na afya njema kila wakati na tunakuhakikisha 2025 tukiwa na uhai kura zetu zote ni kwako Mhe Abood".
ZIARA INAENDELEA JIMBONI