Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Mbali Sana kingorirwa aisee...nadhan 30km inafika..Kingorwila patakufaa zaidi
Mbali Sana kingorirwa aisee...nadhan 30km inafika..Kingorwila patakufaa zaidi
Sure....had mjini unaweza tembea tu..Maeneo ya Forest Hill
Mungu akusameheKihonda magorofani na Airport, Kwingine kuliko tulia huna hela ya kukufanya uishi.
asante mkuu, kumbe unapajua vizuri kola, dragonaire pia nimeishi karibu na ile guest ya rombo.Kweli kola pametulia maji bwerere mie nimeishi maeneo ya dragonaire!
Hhahaa yule mchaga wa hapo rombo yupo? Nimemsahau jina!..anafuga Sana kuku na nguruwe. Nadhan masawe sijui! Dragonaire jiwe langu Sana nakuja Sana hukoasante mkuu, kumbe unapajua vizuri kola, dragonaire pia nimeishi karibu na ile guest ya rombo.
Nimesomea Morogoro na kuishi Forest Hill.
Nakushauri nenda kaishi Forest Hill Kama kweli una Nia ya kukaa sehemu Safi iliyotulia. Changamoto ya forest ni usafiri maana Hakuna daladala huko Ni bodaboda au uwe na gari lako.
Ila Kwasisi vijana tulikuwa tunajitembelea zetu kwa mguu Hadi mjini sio mbali ni Kama kilometer 3 hivi.
Karibu Forest Hill chini ya Safu za milima ya uluguru.
karibu sana japo nilihama mitaa ile ila siku moja moja huwa naenda. siku ukija moro tafadhali tujongee dragonaire pale hata me nimepakumbuka.Hhahaa yule mchaga wa hapo rombo yupo? Nimemsahau jina!..anafuga Sana kuku na nguruwe. Nadhan masawe sijui! Dragonaire jiwe langu Sana nakuja Sana huko
Kama wewe ni mtu mwenye Uwezo basi tafuta maeneo ya Forest huko. Kama wewe sio tajiri na wala sio maskini yaani uko middle income flan ivi bas tafuta mazimbu, bigwa, falkland, kihonda kilimanjaro, lukobe, area 5 etc
Kama wewe ni wa kipato cha chini basi tafuta mwembesongo, mafisa, mji mpya, kaloleni, kichangani etc.
Kama wewe haupo kundi lolote kati ya hayo nenda chamwino au manzese
Huwa napamiss Sana Moro hususani hayo maeneo yote uliyotaja.Sure! Ni sehem nzuri Sana ...!..yes unatembea unatokezea hapa karibu na Moro hotel..lols!
Achana na pimbi huyoWewe umejuaje hana hela?
Hivi watu wa jf tukiwa nyuma ya keyboard tunapata wapi huu ujuaji wa maisha ya watu, Ukiwa wewe huna hela unadhani wengine wote hawana?
Yeye kauliza maeneo wewe mwambie, yeye mwenyewe ataenda kujipima.
😄😄!Huwa napamiss Sana Moro hususani hayo maeneo yote uliyotaja.
Asante sanakaribu sana japo nilihama mitaa ile ila siku moja moja huwa naenda. siku ukija moro tafadhali tujongee dragonaire pale hata me nimepakumbuka.
Usafiri haina tatizo.Nimesomea Morogoro na kuishi Forest Hill.
Nakushauri nenda kaishi Forest Hill Kama kweli una Nia ya kukaa sehemu Safi iliyotulia. Changamoto ya forest ni usafiri maana Hakuna daladala huko Ni bodaboda au uwe na gari lako.
Ila Kwasisi vijana tulikuwa tunajitembelea zetu kwa mguu Hadi mjini sio mbali ni Kama kilometer 3 hivi.
Karibu Forest Hill chini ya Safu za milima ya uluguru.
Apartment nzuri ya familia ya vyumba vitatu vya kulala inagharimu bei gani kwa mwezi maeneo ya Forest, kihonda, bigwa na Mazimbu?Kama wewe ni mtu mwenye Uwezo basi tafuta maeneo ya Forest huko. Kama wewe sio tajiri na wala sio maskini yaani uko middle income flan ivi bas tafuta mazimbu, bigwa, falkland, kihonda kilimanjaro, lukobe, area 5 etc
Kama wewe ni wa kipato cha chini basi tafuta mwembesongo, mafisa, mji mpya, kaloleni, kichangani etc.
Kama wewe haupo kundi lolote kati ya hayo nenda chamwino au manzese
sawa boss nakutafutaKuna nyumba Maeneo ya Liti kama upo tayari ni PM, Karibu sana Morogoro
Hahaha chamwino na manzese wanakaba mpaka mchana, humtakii mema. Siku akifika tu lazima wampe promo.Kama wewe ni mtu mwenye Uwezo basi tafuta maeneo ya Forest huko. Kama wewe sio tajiri na wala sio maskini yaani uko middle income flan ivi bas tafuta mazimbu, bigwa, falkland, kihonda kilimanjaro, lukobe, area 5 etc
Kama wewe ni wa kipato cha chini basi tafuta mwembesongo, mafisa, mji mpya, kaloleni, kichangani etc.
Kama wewe haupo kundi lolote kati ya hayo nenda chamwino au manzese