kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,906
Wengi wanalalamika na kuandika posts za kuukandia jiji la Dar es Sallam mengi yanayosemwa na ndo maana niliwahi kusema Dar tupo kimaisha tu
Lakini ukiachana na yote dar kuna kila kitu unachotaka!!
Ukitaka maeneo yenye utulivu kama upo mkoani yapo ni mengi tu....Wadau watayataja
Ukitaka maeneo yenye ubaridi sana kama vile upo milimani au maeneo yasiyo na joto kabisa yapo ni ya kutosha tena mwaka nzima huwashi feni wala AC......Wadau watayataja
Ukitaka maeneo yenye uswahili na fujo fujo....Wadau watayataja
Ukitaka maeneo yenye mzunguko mkubwa wa hela na biashara zinaenda Wadau watayataja
Ukitaka maeneo mazuri yenye miundombinu muhimu yote huko hakunaga shida za maji wala umeme wala foleni....Wadau watayataja
Ukitaka maeneo yenye watu wa kipato cha chini, kujenga ni rahisi kila kitu kipo chini yapo....Wadau watayataja
Ukitaka maeneo yenye kipato cha kati yaani sio maskini sana wala sio matajiri sana yapo pia.....Wadau watayataja
Ukitaka maeneo wanayokaa watu wazito tu ushuani huko ni matajiri tu na wenye pesa zao....Wadau watayataja
Ukitaka maeneo ya kujenga na unataka kulima yapo nje ya mji huko....Wadau watayataja
Ukitaka maeneo ambayo unaweza kupata viwanja kwa dar ila bei yake ni ghali yapo bado....Wadau watayataja
Ukitaka maeneo ambapo ni uchumi wa kati viwanja vya bei ya kawaida, pametulia kiasi, ni pakuishi tu na hakuna mzunguko wa pesa pia yapo....Wadau watayataja
Lakini ukiachana na yote dar kuna kila kitu unachotaka!!
Ukitaka maeneo yenye utulivu kama upo mkoani yapo ni mengi tu....Wadau watayataja
Ukitaka maeneo yenye ubaridi sana kama vile upo milimani au maeneo yasiyo na joto kabisa yapo ni ya kutosha tena mwaka nzima huwashi feni wala AC......Wadau watayataja
Ukitaka maeneo yenye uswahili na fujo fujo....Wadau watayataja
Ukitaka maeneo yenye mzunguko mkubwa wa hela na biashara zinaenda Wadau watayataja
Ukitaka maeneo mazuri yenye miundombinu muhimu yote huko hakunaga shida za maji wala umeme wala foleni....Wadau watayataja
Ukitaka maeneo yenye watu wa kipato cha chini, kujenga ni rahisi kila kitu kipo chini yapo....Wadau watayataja
Ukitaka maeneo yenye kipato cha kati yaani sio maskini sana wala sio matajiri sana yapo pia.....Wadau watayataja
Ukitaka maeneo wanayokaa watu wazito tu ushuani huko ni matajiri tu na wenye pesa zao....Wadau watayataja
Ukitaka maeneo ya kujenga na unataka kulima yapo nje ya mji huko....Wadau watayataja
Ukitaka maeneo ambayo unaweza kupata viwanja kwa dar ila bei yake ni ghali yapo bado....Wadau watayataja
Ukitaka maeneo ambapo ni uchumi wa kati viwanja vya bei ya kawaida, pametulia kiasi, ni pakuishi tu na hakuna mzunguko wa pesa pia yapo....Wadau watayataja