Afadhali mara mia ila alikuwa anaiona Tanzania anayoiongoza ipo ktk hali gani
Hizo ndio kazi za Rais sasa. Mwendazake alikuwa anafanya kazi za wasaidizi wa Rais. Natamani lile dude la Dodoma Hapa kazi tuu mama aruke nalo mpaka US, Germany, London.
Kwaiyo ye akitaka kuja huku chini aje kuomba kura tu si ndiyo?Sasa kazi ya wakuu wa mikoa, wilaya,watendaji wa kata,wabunge,TISS n.k itakuwa ni nini.
Kweli kichaa alifanikisha kuwabrainwash wapumbavu wengi.
Huna maana. Mdomo mdomo tu.Japokua hayati alikua anaendesha nchi kibabe, lakini kuna baadi yamambo aliyafanya yalitupendezea hata sisi wananchi wanyonge tunaoshi chini ya dola moja kwa siku,
ziara za sehemu mbalimbali kusikiliza kero za wananchi zilitufariji sana,
kwa heshima na taadhima tunakuomba mama yetu, Amiri jeshi mkuu, President material mweshimiwa Rais samia suluhu uanze ziara za kusikiliza kero za wananchi wako wanyonge na kuzitafutia ufumbuzi
tunakupenda sana
asante sana
mitano tena
Kwaiyo ye akitaka kuja huku chini aje kuomba kura tu si ndiyo?
Nyie wanyonge subirini kwanza Madam president yupo bize na wawekezaji.Japokua hayati alikua anaendesha nchi kibabe, lakini kuna baadi yamambo aliyafanya yalitupendezea hata sisi wananchi wanyonge tunaoshi chini ya dola moja kwa siku,
ziara za sehemu mbalimbali kusikiliza kero za wananchi zilitufariji sana,
kwa heshima na taadhima tunakuomba mama yetu, Amiri jeshi mkuu, President material mweshimiwa Rais samia suluhu uanze ziara za kusikiliza kero za wananchi wako wanyonge na kuzitafutia ufumbuzi
tunakupenda sana
asante sana
mitano tena✋
Lile litamcgelewesha, akitaka kwenda huko lazima atumie Rubondo Insland Hapa kazi tu Boeing 787-8Hizo ndio kazi za Rais sasa. Mwendazake alikuwa anafanya kazi za wasaidizi wa Rais. Natamani lile dude la Dodoma Hapa kazi tuu mama aruke nalo mpaka US, Germany, London.
Mataga mna washwa mtulie bado anasuka nchi mmesahau mwendazake alikaa miezi 6 anasuka safu anazotaka yeye? Tulieni Mama anajua kila kitu maana alikuwa kama observer hivyo yuko vizuri anajua makosa yalikuwa wapi na sasa afanye nini mtulieJapokua hayati alikua anaendesha nchi kibabe, lakini kuna baadi yamambo aliyafanya yalitupendezea hata sisi wananchi wanyonge tunaoshi chini ya dola moja kwa siku,
ziara za sehemu mbalimbali kusikiliza kero za wananchi zilitufariji sana,
kwa heshima na taadhima tunakuomba mama yetu, Amiri jeshi mkuu, President material mweshimiwa Rais samia suluhu uanze ziara za kusikiliza kero za wananchi wako wanyonge na kuzitafutia ufumbuzi
tunakupenda sana
asante sana
mitano tena✋
Hiyo ni 2020 ambapo kulikuwa na mambo mengi ikiwemo tishio la wanagambo wa Msumbiji etc lakini rejesha picha ya 2015 si alifika?Hata asipokuja. Mbona jiwe hakwenda kuomba kura kusini.
Aliwatengenezea unyonge kisha akajivika utetezi wao.wametapeliwa miaka yote hawashtuki tuuu
Lengo la mwendazake ilikuwa ziara kutembelea wananchi wake issues zikiibuka pale anapokuwepo, tusitake kumuweka Mama mbali na wananchi wake ili mwisho wa siku tumshambulie, ni vema tumsadie kama kweli tuna nia ya kumsaidia.Mkuu ila angalia na side effects zake mana mwendazake alikua akienda sehemu kutatua hizo changamoto, hapo shughuli zote za kiuchumi zinasimama maduka na na mabarabara yanafungwa watu wanasubirishwa kwenye foleni hata masaa 2 au 3 kisa tu kwenda kutatua mgogoro wa mama aliyetapeliwa kiwanja,yani unaenda kusaidia wakazi wa eneo fulani wanne au watano lakin huku unaharibu shughuli za mamia ya watu na kuharibu pato la taifa kiujumla, poor politics....
Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
Angalau alifanya kituKwani hayo mahindi yameruhusiwa, utaratibu bado ule ule wa vikwazo, ukitaka kuingiza mahindi Kenya lazima yapimwe pimwe kwanza, tuna Rais dhaifu na naive kupita wakati wote...
Binadamu hata umsaidie vipi atasimangwa tuu...
Ok,ngoja Samia nae muda wake uishi tuanze kumpiga vijembe
Yaani dikteta aliwabrainwasheed kisawasawa,uko unakosema mh Rais amesafiri,anaenda kwa maslahi yake au kwa maslahi ya nchi?!! Dikteta Magufuli alitumia ujinga wenu kisawasawa.Ila mama anasafiri sana,tangu aanze urais hajatulia kabisa sijui muda wa kufanya maamuzi sahihi anaupata sangapi,muda wa kufikiria changamoto za wananchi na namna za kuzitatua,hata muda wa Ibada na Mwenyezi Mungu anaupata kweli,kila leo safari,events....na ndo ameanza tu majukumu