Ni lini Rais Samia ataanza ziara kusikiliza kero za Wananchi?

Japokua hayati alikua anaendesha nchi kibabe, lakini kuna baadi yamambo aliyafanya yalitupendezea hata sisi wananchi wanyonge tunaoshi chini ya dola moja kwa siku,

ziara za sehemu mbalimbali kusikiliza kero za wananchi zilitufariji sana,

kwa heshima na taadhima tunakuomba mama yetu, Amiri jeshi mkuu, President material mweshimiwa Rais samia suluhu uanze ziara za kusikiliza kero za wananchi wako wanyonge na kuzitafutia ufumbuzi


tunakupenda sana

asante sana

mitano tena
Huna maana. Mdomo mdomo tu.
Toa keri zako zitatuliwe usimpr mama pressure.
 
Japokua hayati alikua anaendesha nchi kibabe, lakini kuna baadi yamambo aliyafanya yalitupendezea hata sisi wananchi wanyonge tunaoshi chini ya dola moja kwa siku,

ziara za sehemu mbalimbali kusikiliza kero za wananchi zilitufariji sana,

kwa heshima na taadhima tunakuomba mama yetu, Amiri jeshi mkuu, President material mweshimiwa Rais samia suluhu uanze ziara za kusikiliza kero za wananchi wako wanyonge na kuzitafutia ufumbuzi


tunakupenda sana

asante sana

mitano tena✋
Nyie wanyonge subirini kwanza Madam president yupo bize na wawekezaji.
 
Mkuu ila angalia na side effects zake mana mwendazake alikua akienda sehemu kutatua hizo changamoto, hapo shughuli zote za kiuchumi zinasimama maduka na na mabarabara yanafungwa watu wanasubirishwa kwenye foleni hata masaa 2 au 3 kisa tu kwenda kutatua mgogoro wa mama aliyetapeliwa kiwanja,yani unaenda kusaidia wakazi wa eneo fulani wanne au watano lakin huku unaharibu shughuli za mamia ya watu na kuharibu pato la taifa kiujumla, poor politics....

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
 
Japokua hayati alikua anaendesha nchi kibabe, lakini kuna baadi yamambo aliyafanya yalitupendezea hata sisi wananchi wanyonge tunaoshi chini ya dola moja kwa siku,

ziara za sehemu mbalimbali kusikiliza kero za wananchi zilitufariji sana,

kwa heshima na taadhima tunakuomba mama yetu, Amiri jeshi mkuu, President material mweshimiwa Rais samia suluhu uanze ziara za kusikiliza kero za wananchi wako wanyonge na kuzitafutia ufumbuzi


tunakupenda sana

asante sana

mitano tena✋
Mataga mna washwa mtulie bado anasuka nchi mmesahau mwendazake alikaa miezi 6 anasuka safu anazotaka yeye? Tulieni Mama anajua kila kitu maana alikuwa kama observer hivyo yuko vizuri anajua makosa yalikuwa wapi na sasa afanye nini mtulie
 
Hata asipokuja. Mbona jiwe hakwenda kuomba kura kusini.
Hiyo ni 2020 ambapo kulikuwa na mambo mengi ikiwemo tishio la wanagambo wa Msumbiji etc lakini rejesha picha ya 2015 si alifika?
 
Mkuu ila angalia na side effects zake mana mwendazake alikua akienda sehemu kutatua hizo changamoto, hapo shughuli zote za kiuchumi zinasimama maduka na na mabarabara yanafungwa watu wanasubirishwa kwenye foleni hata masaa 2 au 3 kisa tu kwenda kutatua mgogoro wa mama aliyetapeliwa kiwanja,yani unaenda kusaidia wakazi wa eneo fulani wanne au watano lakin huku unaharibu shughuli za mamia ya watu na kuharibu pato la taifa kiujumla, poor politics....

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
Lengo la mwendazake ilikuwa ziara kutembelea wananchi wake issues zikiibuka pale anapokuwepo, tusitake kumuweka Mama mbali na wananchi wake ili mwisho wa siku tumshambulie, ni vema tumsadie kama kweli tuna nia ya kumsaidia.

Pale Hai 2020 kwenye kampeni Mbowe aliulizwa na wananchi wake tokea kampeni za 2015 ndo umekuja tena 2020 kufanya mkutano wa kuomba kura, ulikuwa wapi? Tulikuchagua ili iweje? Lakini mwisho wa siku Mbowe akaishia kuwaita wale wananchi kuwa walitumwa waje kuharibu mkutano wake.
 
Ila mama anasafiri sana,tangu aanze urais hajatulia kabisa sijui muda wa kufanya maamuzi sahihi anaupata sangapi,muda wa kufikiria changamoto za wananchi na namna za kuzitatua,hata muda wa Ibada na Mwenyezi Mungu anaupata kweli,kila leo safari,events....na ndo ameanza tu majukumu
Yaani dikteta aliwabrainwasheed kisawasawa,uko unakosema mh Rais amesafiri,anaenda kwa maslahi yake au kwa maslahi ya nchi?!! Dikteta Magufuli alitumia ujinga wenu kisawasawa.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom