Cheo cha Rais ni cheo cha juu kabisa kitaifa. Tusione ni jambo la tija sana yeye kwenda kukagua miradi

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,308
45,614
Kazi ya Rais ni kutengeneza dira na sera za kitaifa kuhakikisha nchi inaenda katika muelekeo sahihi kiuchumi, kijamii na siasa.

Kwa mantiki hiyo Rais muda mwingi anatakiwa awe Ofisini kwake akipokea na akipitia ripoti za kiuchumi, kisiasa, kiusalama n.k huku kwa karibu akiangalia utendaji wa mawaziri wake na viongozi wengine anaowateua kama wanatimiza majukumu yao ipasavyo.

Rais hatakiwi kutembea kila mtaa na kijiji kuhakikisha mambo yanaenda. Kuonekana kwake katika umati kunatakiwa kuwa katika matukio ya kitaifa mfano sherehe za uhuru, muungano na mashuja, majanga makubwa na misiba ya kitaifa,uzinduzi wa miradi mikubwa.

Rais kwenda kukagua miradi sijui ya ujenzi,maji, barabara, zahanati,n.k kila mara na kila mahali ni matumizi mabaya chini ya kiwango cha ofisi ya Urais. Hizo ni kazi za mawaziri, manaibu wao, waziri mkuu, makamu wa Rais, wakurugenzi, makatibu wakuu, wakuu wa mikoa na wilaya.
 
Wale mnaolalamika hamumuoni Rais wa sasa akienda huku na huko kukagua miradi fahamuni majukumu yake ya msingi kwanza.Yuko sahihi sana katika hili mpaka sasa.
 
Wanataka awe kama Jiwe, aende kuzindua hadi Vyoo vya stendi na zahanati, Jamaa alikuwa hata hajui majukumu yake. Ukimuangalia Majaliwa kwa sasa unaona kabisa waziri mkuu anafanya kazi yake na kwa amani, hata nuru usoni imerudi, naona hata minywele yake kapunguza. Magu was a disgrace to our great nation
 
Wale mnaolalamika hamumuoni Rais wa sasa akienda huku na huko kukagua miradi fahamuni majukumu yake ya msingi kwanza.Yuko sahihi sana katika hili mpaka sasa.
Walizoea kufungua miradi iliyokwisha funguliwa na watangulizi
 
Kazi ya Rais ni kutengeneza dira na sera za kitaifa kuhakikisha nchi inaenda katika muelekeo sahihi kiuchumi, kijamii na siasa.

Kwa mantiki hiyo Rais muda mwingi anatakiwa awe Ofisini kwake akipokea na akipitia ripoti za kiuchumi, kisiasa, kiusalama n.k huku kwa karibu akiangalia utendaji wa mawaziri wake na viongozi wengine anaowateua kama wanatimiza majukumu yao ipasavyo.

Rais hatakiwi kutembea kila mtaa na kijiji kuhakikisha mambo yanaenda. Kuonekana kwake katika umati kunatakiwa kuwa katika matukio ya kitaifa mfano sherehe za uhuru, muungano na mashuja, majanga makubwa na misiba ya kitaifa,uzinduzi wa miradi mikubwa.

Rais kwenda kukagua miradi sijui ya ujenzi,maji, barabara, zahanati,n.k kila mara na kila mahali ni matumizi mabaya chini ya kiwango cha ofisi ya Urais. Hizo ni kazi za mawaziri, manaibu wao, waziri mkuu, makamu wa Rais, wakurugenzi, makatibu wakuu, wakuu wa mikoa na wilaya.
Mama Samia siyo wa kutembea na TV set kama Haji Manara
 
Kazi ya Rais ni kutengeneza dira na sera za kitaifa kuhakikisha nchi inaenda katika muelekeo sahihi kiuchumi, kijamii na siasa.

Kwa mantiki hiyo Rais muda mwingi anatakiwa awe Ofisini kwake akipokea na akipitia ripoti za kiuchumi, kisiasa, kiusalama n.k huku kwa karibu akiangalia utendaji wa mawaziri wake na viongozi wengine anaowateua kama wanatimiza majukumu yao ipasavyo.

Rais hatakiwi kutembea kila mtaa na kijiji kuhakikisha mambo yanaenda. Kuonekana kwake katika umati kunatakiwa kuwa katika matukio ya kitaifa mfano sherehe za uhuru, muungano na mashuja, majanga makubwa na misiba ya kitaifa,uzinduzi wa miradi mikubwa.

Rais kwenda kukagua miradi sijui ya ujenzi,maji, barabara, zahanati,n.k kila mara na kila mahali ni matumizi mabaya chini ya kiwango cha ofisi ya Urais. Hizo ni kazi za mawaziri, manaibu wao, waziri mkuu, makamu wa Rais, wakurugenzi, makatibu wakuu, wakuu wa mikoa na wilaya.
Cc dmkali
 
Kazi ya Rais ni kutengeneza dira na sera za kitaifa kuhakikisha nchi inaenda katika muelekeo sahihi kiuchumi, kijamii na siasa.

Kwa mantiki hiyo Rais muda mwingi anatakiwa awe Ofisini kwake akipokea na akipitia ripoti za kiuchumi, kisiasa, kiusalama n.k huku kwa karibu akiangalia utendaji wa mawaziri wake na viongozi wengine anaowateua kama wanatimiza majukumu yao ipasavyo.

Rais hatakiwi kutembea kila mtaa na kijiji kuhakikisha mambo yanaenda. Kuonekana kwake katika umati kunatakiwa kuwa katika matukio ya kitaifa mfano sherehe za uhuru, muungano na mashuja, majanga makubwa na misiba ya kitaifa,uzinduzi wa miradi mikubwa.

Rais kwenda kukagua miradi sijui ya ujenzi,maji, barabara, zahanati,n.k kila mara na kila mahali ni matumizi mabaya chini ya kiwango cha ofisi ya Urais. Hizo ni kazi za mawaziri, manaibu wao, waziri mkuu, makamu wa Rais, wakurugenzi, makatibu wakuu, wakuu wa mikoa na wilaya.
Endeleeni kudanganyana.
 
Masimango sio dili..

Ila yote kwa yote mzee Baba alizipenda kazi zake na alikuwa hamuamini yeyote.

Huyu sasa tunamtakia heri kama ulivyo asa mleta hoja.
 
Back
Top Bottom