Ni kweli USA supremacy ina collapse?

Ni kweli USA supremacy ina collapse?

Marekani ushawishi wake upo kwenye hela yake tu, kile china na urusi wanachokifanya walitaka kufanya marais kadhaa wakaambulia kitanzi. Marais hao ambao walijaribu nikiwa na akili timamu ni ghadafi maana alitaka kuanzisha golden ruby, saddam hussein alitaka kuanzisha kuuza mafuta kwa pesa yake kilichofuata ni wote hatunao kwa sasa.
Hii sasa akiponyoka kwa mrusi nitakuwa sina matumaini tena ya yeye kuanguka. Kwa sasa china na mrusi wana swift ya kwao. Marekani dola yake anamimashine inaprint usiku na mchana. Jaribu nchi ingine ujinga huo utaona kitakachotokea. Alijaribu mwamba mmoja zimbabwe huko, ilibidi atumie hela ya southafrica kujinasua.
Siipendi marekani kutoka moyoni japo natamani kuishi marekani
Mkuu naomba ugusie na hapo kwenye nguvu ya dollar kwa sasa..ni kweli inaanza kushuka na ruble kuja juu kwa kasi?
 
Heheheheee ukisikia kijiweni ndio hapa sasa...hizi story za kijiweni.
 
Utofauti wa usa na hizo tawala..yeye kaweka freedom for everything..sio taifa la kidini mana katika hili aliweka freedom of religion..hatakama usa lina mlengo wa kikristo lakini hutasikia linamzuia mwenye imani yoyote kuishi nchini humo na kuamini anacho kiamini..ndiomana usa imekua ni kimbilio la wengi waliokuwa wakiteshwa na kuonewa katika mataifa mbalimbali kwa milengo yao ya kiimani..kirangi ama kiitikadi.

Hii ndio power kubwa na msingi mkubwa wa usa..na hao raia wa usa hawawezi katu ruhusu usa ianguke mana usa ndio taifa linalomkaribisha kila mtu ulimwenguni kuishi kwa amani.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Nafikiri hiyo ndio inayomtofautisha Us na hao wengine
 
Uchumi makubwa ndiyo sauti ya Mmarekani. Unadhani huo ushawishi ulikuja tu. Uwezo wa Marekani kiuchumi ulisababisha uwezo kijeshi na kisiasa duniani.

Bila uchumi mkubwa na imara ushawishi ungetoka wapi.

Jaribuni kuchambua hoja kikomavu.
Acha kukariri dogo, nchi kuwa na uchumi mkubwa pekee si kigezo cha kuwa na ushawishi mkubwa duniani. Ukiangalia takwimu za nchi zenye ushawishi mkubwa duniani na nchi zenye uchumi mkubwa duniani ndio utaelewa. Huwa mnapenda kupayukapayuka pasi na uelewa wa mambo wala data!

Urusi haimo kwenye top ten ya nchi zenye uchumi mkubwa duniani, lakini ni ya tatu kwa ushawishi Duniani na haijatofautiana sana kiviwango na Marekani (zote zime-score 98; US ikiwa na 98.53, Urusi ikiwa na 98.28)

SmartSelect_20220830-081618_Chrome.jpg

SmartSelect_20220830-082415_Chrome.jpg
 
Marekani ushawishi wake upo kwenye hela yake tu, kile china na urusi wanachokifanya walitaka kufanya marais kadhaa wakaambulia kitanzi. Marais hao ambao walijaribu nikiwa na akili timamu ni ghadafi maana alitaka kuanzisha golden ruby, saddam hussein alitaka kuanzisha kuuza mafuta kwa pesa yake kilichofuata ni wote hatunao kwa sasa.
Hii sasa akiponyoka kwa mrusi nitakuwa sina matumaini tena ya yeye kuanguka. Kwa sasa china na mrusi wana swift ya kwao. Marekani dola yake anamimashine inaprint usiku na mchana. Jaribu nchi ingine ujinga huo utaona kitakachotokea. Alijaribu mwamba mmoja zimbabwe huko, ilibidi atumie hela ya southafrica kujinasua.
Siipendi marekani kutoka moyoni japo natamani kuishi marekani
Marekani ni kama maji usipo yanywa utayaoga..karibu sana usa a land of opportunities.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Acha kukariri dogo, nchi kuwa na uchumi mkubwa pekee si kigezo cha kuwa na ushawishi mkubwa. Ukiangalia takwimu za nchi zenye ushawishi mkubwa duniani na nchi zenye uchumi mkubwa duniani ndio utaelewa. Huwa mnapenda kupayukapayuka pasi na uwlewa wa mambo wala data!

Urusi haimo kwenye top ten ya nchi zenye uchumi mkubwa duniani, lakini ni ya tatu kwa ushawishi Duniani na haijatofautiana sana kiviwango na Marekani (zote zime-score 98; US ikiwa na 98.53, Urusi ikiwa na 98.28)

View attachment 2339497
View attachment 2339496
Samahani mkuu...hizo namba zina maana gani hapo kwenye nchi zenye ushawishi na zinapatikanaje
 
 
Vipi kama wana malengo yao?
 
Congress shall make no law respecting an establishment of religion, or prohibiting the free exercise thereof; or abridging the freedom of speech, or of the press; or the right of the people peaceably to assemble, and to petition the Government for a redress of grievances.
-US constitution, first ammendment.
Kwa hiyo unataka kusema nini ?
 
Utofauti wa usa na hizo tawala..yeye kaweka freedom for everything..sio taifa la kidini mana katika hili aliweka freedom of religion..hatakama usa lina mlengo wa kikristo lakini hutasikia linamzuia mwenye imani yoyote kuishi nchini humo na kuamini anacho kiamini..ndiomana usa imekua ni kimbilio la wengi waliokuwa wakiteshwa na kuonewa katika mataifa mbalimbali kwa milengo yao ya kiimani..kirangi ama kiitikadi.

Hii ndio power kubwa na msingi mkubwa wa usa..na hao raia wa usa hawawezi katu ruhusu usa ianguke mana usa ndio taifa linalomkaribisha kila mtu ulimwenguni kuishi kwa amani.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ikifika muda wa kuanguka ita anguka tu no matter what.
 
Acha kukariri dogo, nchi kuwa na uchumi mkubwa pekee si kigezo cha kuwa na ushawishi mkubwa duniani. Ukiangalia takwimu za nchi zenye ushawishi mkubwa duniani na nchi zenye uchumi mkubwa duniani ndio utaelewa. Huwa mnapenda kupayukapayuka pasi na uelewa wa mambo wala data!

Urusi haimo kwenye top ten ya nchi zenye uchumi mkubwa duniani, lakini ni ya tatu kwa ushawishi Duniani na haijatofautiana sana kiviwango na Marekani (zote zime-score 98; US ikiwa na 98.53, Urusi ikiwa na 98.28)

View attachment 2339497
View attachment 2339496
Watu humu wanashindwa kujibu swali la mleta mada Ila wanaleta ngonjera zisizo kuwa na maana.
 
Samahani mkuu...hizo namba zina maana gani hapo kwenye nchi zenye ushawishi na zinapatikanaje
Nchi kuwa na ushawishi pia inachangiwa pia na ushiriki wake katika mambo fulani mfano Russia mchango wake katika kutambulisha falsafa za kijamaa na mataifa mengine kuwa influenced na kufuata mfano China, mataifa ya Ulaya mashariki, Korea , Cuba , mataifa mbalimbali ya Afrika na mataifa mbalimbali duniani kitu kilicho zalisha pande mbili duniani [ Magharibi [ ubepari/ U.S.A na washirika wake mfano U.K n.k] na mashariki [ujamaa/ Russia na washirika wake mfano China n.k] pia mchango wa Russia katika kukomesha ukoloni sehemu mbalimbali duniani.
 
Ikifika muda wa kuanguka ita anguka tu no matter what.
Hill liko wazi ila je kuna viashiria vinavyoonesha kuwa itadondoka ndani ya muda mfupi ujao kama wadau wengi wanavyodai au bado sana ..kwa wewe unavyoona
 
Back
Top Bottom