Kumshinda U.S.A sio kitu chepesi Kama baadhi ya watu wanavyo dhani inahitajika akili nyingi zaidi kuliko nguvu nyingi hata China wenyewe hili mara kadhaa kupitia wachambuzi nguli wa kisiasa wa CGTN China wamekuwa wakisema mara kadhaa ninapo kuwa nawa fuatialia target ya China kuifikia uchumi U.S.A ni mwaka 2050 hapo sio kuipita bali ni kuifikia tu

na Kuna mawili China inaweza kuifikia au kutoifikia kutokana na sababu mbalimbali hasa hasa ishi ya Taiwan ikiripuka na hii ndio risasi moja kuu U.S.A aliyo nayo kumdhibiti China kama wangelijua haya yanayo tokea sasa hivi U.S.A , U.K na Portugal ishi za Macau na Hongkong wasingekubali zirudi China kiurahisi vile ishu ya Taiwan nayo walijikanyanga hasa hasa U.S.A 1978+ 1979 hapa kwa kweli kwenye hizi ishu Deng Xiaoping na Chairman Mao waliwazidi maarifa na ujanja viongozi wa U.k, Portugal na U.S.A . Wataalamu mbalimbali wa siasa za kimataifa wanasema kwa sasa hakuna ushindani hatari unaotokea Kama wa U.S.A na China hawa wana ushindani wa hatari katika maswala mbalimbali ya kiuchumi, Kisayansi/kiteknolojia na kibiashara makampuni mbalimbali ya U.S.A yanajimegua taratibu kutoka China na makampuni makubwa ya kiserikali kutoka China Yana jitoa kutoka katika soko la hisa la marekani , China kapigwa ban na U.S.A kwenye Chips serikali ya China wamewekeza kiwanda chao kupitia mwanachama wao wa CPC Kama kawaida yao kudevelop Chips making na Sasa hivi kiwanda cha China SMIC kinakuja kwa kasi balaa katika ulimwengu wa Chips mpaka kimekuwa tishio kwa TSMC na marekani , Belt& Road Initiative[ 1 tln dollar wamewekeza ] nao marekani na G- 7 nao wanakuja na ya kwao [ 600bln dollar wamewekeza ] , kwenye space race napo China na Marekani wanatifuana balaa hii Vita ya kibiashara kati ya marekani na China inafurahisha na kuelimisha ukiifuatilia lakini kwa hali inavyo kwenda lazima kuna mmoja kati yao atapotezwa balaa.