Ni kweli USA supremacy ina collapse?

Ni kweli USA supremacy ina collapse?

Boss,Humu ndani wote ni Watanzania, hakuna mmarekani wala mrusi wala mchina au muiran, kama wapo basi ni wa kuhesabu. Hakuna sababu ya kuwa na uzalendo kwa nchi isiyokutambua kwa kiwango cha kupika uongo kuitetea, tukiweka uzalendo wa nchi za watu pembeni tukaongelea facts USA ana ushawishi kiuchumi kuliko nchi nyingine na uchumi ni silaha bora ya ushawishi wa kidiplomasia. Data zipo wazi, kama kuna mtu ana maelezo tofauti atupe hiyo elimu.
Tazama misaada inayotoka US na washirika wake, tutaifananisha na China na Russia?

Tena huyo Russia ndo kabisaaa, hata Nyerere alitutia kwenye umaskini sababu ya kimawazo ya kijamaa ya wachina na urusi, angekuwa kwa mabeberu walau na sisi tungekuwa na mifumo bora ya uongozi.
 
Kuna y

Kuna yo yote aliyefikiria himaya ya Kirumi ingekuja kufa? Mtu ambaye angezungumzia hilo wakati huo angeonekana punguani. Vivyo hivyo na Marekani.
Hakuna anayepinga US hatokuja kudondoka, anaweza akaja kudondoka sababu historia inasema hivyo, lakini je kuna viashiria vya jamaa kudondoka hivi karibuni kama wajumbe wanavyotueleza hapa?
 
Kwa technologia mfano ya kijeshi hajamfikia Russia.

Boss, Umehitimisha kwa kutumia kigezo gani?

Russia ni nchi kubwa yenye nguvu kubwa ya kijeshi. Vita vya Ukraine vimetuonyesha hilo kwa kushuhudia crisis ya energy duniani na mfumuko wa bei(Urusi imechangia Kwa kiasi fulani) sababu Urusi yupo vitani, hata USA hajataka kumprovoke directly sababu anaheshimu nguvu yake ya kijeshi na kuona kuwa direct war na Urusi ni tatizo kwa dunia nzima.(USA walisema hawataki kuingia vitani na Urusi moja kwa moja).

LAKINI, huwezi kutenganisha Nguvu ya uchumi na uwezo wa teknolojia. Uchumi mkubwa unakuwezesha kulipia tafiti za teknolojia. Unapoilinganisha USA na Urusi katika teknolojia huwezi kupuuza nguvu ya uchumi wa hizi nchi mbili.

Angalizo, sijasema kwamba Urusi anazidiwa teknolojia na USA nimetaka utoe elimu ni vigezo vp vinaweza sababisha amzidi ukiachana na nguvu ya kiuchumi.
 
Boss, Umehitimisha kwa kutumia kigezo gani?

Russia ni nchi kubwa yenye nguvu kubwa ya kijeshi. Vita vya Ukraine vimetuonyesha hilo kwa kushuhudia crisis ya energy duniani na mfumuko wa bei(Urusi imechangia Kwa kiasi fulani) sababu Urusi yupo vitani, hata USA hajataka kumprovoke directly sababu anaheshimu nguvu yake ya kijeshi na kuona kuwa direct war na Urusi ni tatizo kwa dunia nzima.(USA walisema hawataki kuingia vitani na Urusi moja kwa moja).

LAKINI, huwezi kutenganisha Nguvu ya uchumi na uwezo wa teknolojia. Uchumi mkubwa unakuwezesha kulipia tafiti za teknolojia. Unapoilinganisha USA na Urusi katika teknolojia huwezi kupuuza nguvu ya uchumi wa hizi nchi mbili.

Angalizo, sijasema kwamba Urusi anazidiwa teknolojia na USA nimetaka utoe elimu ni vigezo vp vinaweza sababisha amzidi ukiachana na nguvu ya kiuchumi.
Kwani Russia anauchumi mdogo?kitechnoligia tukianzia ya kijeshi Russia yupo mbali Sana mfano Russia ashatengeneza hypesonic weapon wakati marekani bado anastrago.
 
Boss, Umehitimisha kwa kutumia kigezo gani?

Russia ni nchi kubwa yenye nguvu kubwa ya kijeshi. Vita vya Ukraine vimetuonyesha hilo kwa kushuhudia crisis ya energy duniani na mfumuko wa bei(Urusi imechangia Kwa kiasi fulani) sababu Urusi yupo vitani, hata USA hajataka kumprovoke directly sababu anaheshimu nguvu yake ya kijeshi na kuona kuwa direct war na Urusi ni tatizo kwa dunia nzima.(USA walisema hawataki kuingia vitani na Urusi moja kwa moja).

LAKINI, huwezi kutenganisha Nguvu ya uchumi na uwezo wa teknolojia. Uchumi mkubwa unakuwezesha kulipia tafiti za teknolojia. Unapoilinganisha USA na Urusi katika teknolojia huwezi kupuuza nguvu ya uchumi wa hizi nchi mbili.

Angalizo, sijasema kwamba Urusi anazidiwa teknolojia na USA nimetaka utoe elimu ni vigezo vp vinaweza sababisha amzidi ukiachana na nguvu ya kiuchumi.
Alafu Russia anaresources za kutosha Sana.
 
Habari wakuu,

Kulingana na upepo unavyoenda sasa inasemekana ushawishi wa Marekani kisiasa na kiuchumi unakwenda kuanguka kwa kasi. Binafsi sio mtaalam wa siasa za kimataifa hivyo nilikua naomba wadau wenye uelewa wa haya mambo wanisaidie kama hii inshu ni kweli au ni porojo tu za vijiwe vya kahawa.

NB: Tafadhali wakuu naomba tuweke ushabiki pembeni tujadili facts.

Karibuni wakuu
Ni kweli ushawishi wa marekani unapungua, na hivyo ndivyo dunia hufanya kazi . Usuperpower ni Kama mbio za vijiti muda wako ukifika ukingoni una mkabizi mwenzako.
Screenshot_20220829-125149.png
 
Haitokaa kuja kuwepo nchi yenye nguvu kama usa..kumbuka usa ni taifa la kila mtu..hao wachina wamejazana usa..waarabu..wahindi..wazungu..waafrika..wareno..waarabu.

Kila race unayoijua duniani ndiyo inaunda usa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hawaelewi hili ,na iko hivyo intentionally kiufupi iko hivi Marekani ndio taifa linaloubdwa na races zote unazozijua katika dunia hii , zote ziko pale kama raia .
Ni rahisi Kwa Marekani kuwatumia hao raia wake wenye races tofauti tofauti kuwapenyeza kama spies na financial hitmen ili kujilinda dhidi ya maadui zake allover the world .
Achana na hili Taifa linaitwa USA
 
Boss, Umehitimisha kwa kutumia kigezo gani?

Russia ni nchi kubwa yenye nguvu kubwa ya kijeshi. Vita vya Ukraine vimetuonyesha hilo kwa kushuhudia crisis ya energy duniani na mfumuko wa bei(Urusi imechangia Kwa kiasi fulani) sababu Urusi yupo vitani, hata USA hajataka kumprovoke directly sababu anaheshimu nguvu yake ya kijeshi na kuona kuwa direct war na Urusi ni tatizo kwa dunia nzima.(USA walisema hawataki kuingia vitani na Urusi moja kwa moja).

LAKINI, huwezi kutenganisha Nguvu ya uchumi na uwezo wa teknolojia. Uchumi mkubwa unakuwezesha kulipia tafiti za teknolojia. Unapoilinganisha USA na Urusi katika teknolojia huwezi kupuuza nguvu ya uchumi wa hizi nchi mbili.

Angalizo, sijasema kwamba Urusi anazidiwa teknolojia na USA nimetaka utoe elimu ni vigezo vp vinaweza sababisha amzidi ukiachana na nguvu ya kiuchumi.
Kama ana akili timamu atakuelewa kwa maelezo haya mafupi
 
yupo top hadi now katika rank zifuatazo
1.Jeshi bora #1
2.super millitary weapon #1
3. uchumi bora #1
4.Washirika imara #1
5. Soko la silaha duniani #1
6. Misaada kwa nchi hohehahe#1
7. Misaada anayotoa kwenye mashirika ya kidunia mfano WHO,UNICEF, nk. #1
8. nchi ilio pigana vita nyingi au oparation nyingi za kijeshi #1.
9. nchi yenye technolgy kubwa duniani #1

Haya ndugu mwandishi unamaanisha kuporomoka kivipi ndugu yangu.
 

Biggest economies in 2021 by gross domestic product​


RankCountryGDP in billion $GDP in $ per capita
1United States22,996.169,288
2China17,734.112,556
3Japan4,937.439,285

Boss, Tukiongelea interms of GDP, kufikia 2021 ushawishi wake upo juu. Labda ushawishi katika angle nyingine ila nchi nyingi hupendelea kuwa na diplomasia nzuri na nchi zenye GDP kubwa.
Siasa za Marekani zimenadilika sana hasa kwenye utawala WA Trump mengi yalijidhiirisha Kwa washindani wake na wale ambao hawakutaka kusikia au kuelewa kile anachokitaka walipigwa vikwazo mfululizoo ni kama anaona wengi wanahama upande wake hasa nchi zinazochipukia kiuchumi na ushawishi WA China kwenye nchi nyingi maana Hadi nchi za ulaya zinaona China siyo adui tena Ila mshirika sahihi kwenye maswla ya kiuchumi na teknolojia

Ushawishi WA Marekani bado upo sana Ila polepole anapata mbadala wake kwenye maswlaa ya kiuchumi ndyo maana anafanya juun chini mbungi upigwe Kati ya China na taiwani ili kuvuruga uchumi WA China Kwa GDP ya China saivi na ushawishi wake kwenye maswlaa ya kiuchumi ni hatari snaa kwa Marekani
 
Hawaelewi hili ,na iko hivyo intentionally kiufupi iko hivi Marekani ndio taifa linaloubdwa na races zote unazozijua katika dunia hii , zote ziko pale kama raia .
Ni rahisi Kwa Marekani kuwatumia hao raia wake wenye races tofauti tofauti kuwapenyeza kama spies na financial hitmen ili kujilinda dhidi ya maadui zake allover the world .
Achana na hili Taifa linaitwa USA
Walioanzisha usa hawakua wajinga..walijua nini kiliangusha falme na mataifa makubwa zamani..hivyo ndio mana walikuja na kitu kinaitwa i God we trust.

Na kuweka freedom ya kila mtu kuishi na kuamini kile anachokiamini chamsingi asivunje sheria za nchi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom