4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,208
- 8,310
haikujikita kama Usa Ya leoKuna y
Kuna yo yote aliyefikiria himaya ya Kirumi ingekuja kufa? Mtu ambaye angezungumzia hilo wakati huo angeonekana punguani. Vivyo hivyo na Marekani.
haikujikita kama Usa Ya leoKuna y
Kuna yo yote aliyefikiria himaya ya Kirumi ingekuja kufa? Mtu ambaye angezungumzia hilo wakati huo angeonekana punguani. Vivyo hivyo na Marekani.
Hiyo sentensi paragraph ya pili ungeiandika kwa herufi kubwa.Nilitaka kuelezea kwa mapana lakin kwakua watu wanachukulia Mambo kawaida, nipende kusema kuwa kwa wale wanaoliangalia taifa la marekani kwa jicho la tatu.
Wanajua what is going on katika dunia yetu hii, kwa ufupi nipende kusema ijapokua ukweli mchungu napia unauma. nikwamba kuanguka kwa taifa la marekani cjui kinguvu na kiushawishi dunia hilo halitakaa litokee .
Sababu tatizo sio taifa la marekani bali wanaorun taifa la marekani hao ndio tatizo, nakwakua ni ngumu kuwakwepa sababu wapo kila sehemu katika dunia yetu hii. Hivyo atakayeweza kuwadhibiti hawa watu ndie atakayeweza kuliangusha taifa la marekani, si mwingine bali ni Mwenyezi Mungu pekee mwenye uwezo huo. Be aware people's there is GOD a bove and the devil below.
weak and poor reasoningKwani Russia anauchumi mdogo?kitechnoligia tukianzia ya kijeshi Russia yupo mbali Sana mfano Russia ashatengeneza hypesonic weapon wakati marekani bado anastrago.
unalilia km vile ni raia wa nchi yenye uchumi na jeshi bora
Hao wanaorun marekani ndio walioingiza hiyo Soviet Union kwa malengo yao na kuiondoa wao. Kikubwa mkuu hii dunia inasiri nyingi napia mambo mengi yanayotokea hapa duniani sio kwa bahati mbaya hata kidogo.Huwa najiuliza ni vipi himaya yenye nguvu kama soviet union ilidondoka ila marekani ikabaki
Wamemfanyaje tena hao SADIKI!? mbona wanataks kutuletea mabalas hawa!??Marekani hakuwa na ushawishi wowote,Ila alikuwa anaogopwa kwa sababu ya propaganda zake.Lakini vita ya Ukraine imemvua nguo.Si unaona SADC juzi walivyomdindia!.
Wanapokosea nikujichanganya na ushoga kuuingaza Hadi makanisaniWalioanzisha usa hawakua wajinga..walijua nini kiliangusha falme na mataifa makubwa zamani..hivyo ndio mana walikuja na kitu kinaitwa i God we trust.
Na kuweka freedom ya kila mtu kuishi na kuamini kile anachokiamini chamsingi asivunje sheria za nchi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ishu ya Hong Kong na Macau hizi U.S.A hawaziwezi wame kwisha chelewa walijaribu 2019 & 2020 moto walio washiwa wa Hong Kong hawato rudia, halafu pia kwenye haya maeneo uongozi wote wa haya maeneo umepata baraka kutoka Beijing tofauti kidogo na Taiwan yule mama wa Taiwan[ Tsai ing wen ] kwanza sio mchina pure ni mixer ya kijapan na kichina ndio maana anachuki binafsi na PRC hata lugha ya kichina ni nadra kumkuta ana tumia twitter yeye ni kijapan & kiingereza tofauti na wachina waliowengi wako proud na lugha yao na tamaduni zao , pili chama cha DPP kina mkono wa U.S.A maafisa mbalimbali wa Taiwan wana uraia wa Taiwan & U.S.A ubaya ni kuwa U.S.A haitambui Taiwan kama taifa huru bali sehemu ya China moja na hapa ndipo panapo mkaba U.S.A labda avunje makubaliano ya kimataifa ya 1971 na makubaliano ya China na U.S.A ya 1972, 1978 & 1979 na hii ndio faida aliyo nayo China U.S.A akivunja hayo makubaliano nina uhakika wa asilimia 90% PRC kuivamia ROC . Ila huyu mama Tsai ing wen ni pandikizi la kijapan atawasumbua sana PRC mpaka ufike uchaguzi 2024 PRC watakuwa hoi sanaNa Taiwan ikipotea, huenda Hong Kong ikafuata.
Wanauingiza makanisani kivipi?Wanapokosea nikujichanganya na ushoga kuuingaza Hadi makanisani
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wameishia wapi?Marekani hakuwa na ushawishi wowote,Ila alikuwa anaogopwa kwa sababu ya propaganda zake.Lakini vita ya Ukraine imemvua nguo.Si unaona SADC juzi walivyomdindia!.
Sio mapema kama unavyofikiri wachina wenyewe wanalijua hiloChina anaenda kumpiku sio mda ingawa marekani anajitahidi kumkandamiza