DENG XIAOPING
JF-Expert Member
- Mar 6, 2022
- 2,392
- 2,599
Unafahamu kuwa dola la Kirumi lilishikisha na kanisa la Kirumi [ R.C ] , dola la kiottoman lilishikisha na dini ya kiislamu mbona hizi dola zote zilianguka licha ya kuwa zilijishikisha na dini [ Kristo & Kiislamu ] dini zinazo muani Mungu ambaye huyo huyo U.S.A amejishikisha kupitia dini ya kikristo ?Walioanzisha usa hawakua wajinga..walijua nini kiliangusha falme na mataifa makubwa zamani..hivyo ndio mana walikuja na kitu kinaitwa i God we trust.
Na kuweka freedom ya kila mtu kuishi na kuamini kile anachokiamini chamsingi asivunje sheria za nchi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app