ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,723
- 28,275
Huyu amepikwa na Magufuli na ameivaApende, asipende Magufuli ni Marehemu sasa siyo Rais wetu tena!
RAIS WETU NI HUYU HAPA CHINI!
Huyu amepikwa na Magufuli na ameivaApende, asipende Magufuli ni Marehemu sasa siyo Rais wetu tena!
RAIS WETU NI HUYU HAPA CHINI!
Una mimba changa ww....wewe ndo una kihere here kama picha za marehemu zinakuuma kubanduliwa, chukua ukabandike nyumbani kwako. Sisi maofisini tunataka kuona picha za mama samia Rais wetu, kipenzi chetu
wewe ndie una ushabiki maandazi wa kijinga kabisa, kwani picha zake zikiachwa kutolewa kabla hajazikwa ndipo atafufuka?Wewe babako akifariki yaani hata hamjazika ndugu yenu mmoja aseme jamani toeni kila kitu cha marehemu nje toeni na picha yake ukutani na viatu na kila kitu utajisikiaje?hapo bado hamjazika...acha ushabiki maandazi
Konda msafi navokuheshimu siamini kama ni wewe unaweza kuhoji swali hiliMbona za Nyerere bado zipo?
Mkuu unajua nini? Sometimes hutakiwi kuwa serious all the time. Life is too short to be serious all the time. So you gotta chill out sometimes man.Konda msafi navokuheshimu siamini kama ni wewe unaweza kuhoji swali hili
Hapo sawa maana nimeshangaa sanaMkuu unajua nini? Sometimes hutakiwi kuwa serious all the time. Life is too short to be serious all the time. So you gotta chill out sometimes man.
ushasema baba wa taifambona za baba wa taifa zipo kwenye kuta au yeye siyo marehemu?
Una matatizo wewe kijana si bure, sredi zako zinaoneshaMimi sijapingana nae mkuu, nimeandika kuwakumbusha watu kwamba every thing under the sun is temporaly
Tusubiri nini? Na wewe Rudisha avatar picha ya professor assad kavaa kanzu koti na kibaragashia.Ahaa jamani
Subirini kwanza tuzike.
Maisha gani ya kiofisi yataendelea wakati mna msiba mkubwa mzee hata kuzikwa mtu ajazikwa na wageni wamekuja hata kuondoka bado zinatoka kauli za kitura kama hizo unaona sawa...Mzee kwani maisha mengine yasiendelee kisa tuna msiba?
Agizo hilo lilitekelezwa mara 1Habari hii nimeikuta mahali. Kwamba RAS wa mkoa wa Lindi ametoa tamko kwamba picha za Magufuli ziondolewe kwenye ofisi zote za serikali mkoani Lindi.. Mwisho wa enzi unapo fika.
# lesson to catch: every thing under the sun is just temporaly., including wewe unae soma uzi huu. So ukiwa na afya njema na nafasi hakikisha unatumia muda wako kula bata na kufurahi kwa kadri uwezavyo kabla wakati wako haujafika.
Watu leo wameenda kazini, kesho pia wanaenda, maisha ni lazima yaende..Magufuli kaikuta Tanzania, amekufa ameiacha na lazima isongeMaisha gani ya kiofisi yataendelea wakati mna msiba mkubwa mzee hata kuzikwa mtu ajazikwa na wageni wamekuja hata kuondoka bado zinatoka kauli za kitura kama hizo unaona sawa...