Ni kweli mchumba hasomeshwi?

Ni kweli mchumba hasomeshwi?

LABDA UWE UMEMZALISHA WATOTO WA 3 NDO UKIMSOMESHA HATOLETA USHENZI KWAKUWA ANA MITOTO TAYARI
Mi hata angenizalia mmoja, nasomesha. Haina kwere. Ishu inakuwa kwamba hamna ukumbusho wowote then anakumwaga mbaya, ndo hapo mnaanza kutafuta sumu za panya zilipo
 
SIO WOTE WANAKUJA KUOTA MAPEMBE...SASA KWA MFANO KAMA SINA WAZAZI TANGU UDOGONI NASAIDIWA TU THEN NIMEKOSA ADA YA KUJIUNGA CHUO JAPO NKAPATA KADIPLOMA,NAKUTANA NA MWANAUME ANANIHITAJI KIMAHUSIANO SERIOUS NA NAMWAMBIA UKWELI NNA SHIDA NA NAPENDA KUTIMIZA NDOTO ZANGU NAOMBA UWE SEHEMU YA MSAADA KWANGU...HALAF YE ANANIJIBU "POLE BBY,MUNGU ATAKUSAIDIA...BASI JITAHIDI KUTAFUTA MSAADA HIVOHIVO UENDE CHUO..BLAH BLAH BLAH!!!
HIVI MNAELEWA MAANA YA NENO NAKUPENDA AU MNALITAMKA TU?WHY MNAGERALIZE ISHU YA MMOJA KUWA WOTE WAKO HIVO?
Mchumba asomeshwi atakama hana wazazi.
 
Mbona mnachukua majukumu ya ndugu au wazazi wake?mbona ndugu zake wanashirikiana kuchanga michango ya harusi why wasimsomeshe?somesha mke sio mchumba.
hata mke hasomeshwi, anatunzwa....msomeshe amalize then apate kazi kukuzidi kdg tuu utaziona mbilinge....somesha wadogo zako mkuu....
 
Utashangaa anayesomesha kaishia la saba alfu anajitia kusomesha....huna wadogo kwan
 
Me wangu nimemsomesha mwenyewe na hivi sasa tuna watoto 3 ana kazi nzuri na maisha yanaenda fureeesh.....natafuta mchepuko nao niupekeke shule, kama pesa iko hata ikikuacha haina shida si umemtengenezea life yake? Tenda wema kimbia.

Kuna watoto yatima hawana wazaz wakuwasomesha si bora uwatendee wema kwanza hao kuliko huyo mwenye wazaz
 
kuna rafiki wa kaka yangu, alikuwa anafanya kazi pale VICFISH Mwanza.miaka hiyo day ilikuwa 1000.,bro aka date na msichana ambaye yeye elimu yake form four ya ualimu ila hakufanikiwa kwa sababu ya maisha pale kwao. bro wakakubaliana kusomeshana. kwa vile bro alikuwa la 7. wakakubaliana ampeleke kwanza ualumu halafu waje waoane ili yeye akipata kazi naye ampeleke elimu ya watu wazima, enzi hizo ndio cm zimetoka na zina bei ,bro akamnunulia Shem moja ili asishawishiwe ila yeye akitaka kumpiga hadi aende kuomba kwa jirani... bro akanunua na cherehani ili pindi anasubiri ajira awe amejishikiza.(na uchumba waliufanya wa kitakatifu,hadi ndoa ndio waanze kudyyuu)
siku mchumba anafanya mahafari..akamuita bro Chuo...kitu alichomwambia..NASHUKURU KWA KUNISOMESHA NA NINATAMBUA MSAADA WAKO ILA CHA KUKUSAIDIA PIGA GHARAMA ZAKO ZOTE ULIZOTUMIA NIPE MIEZI SITA NITAKURUDISHIA NA ASINITAMBUE...
Bro aliondoka bila kujibu..akachumbia tena bila kutegemea...wiki ya harusi alihimisi yake jumamosi presha ikapanda ghafla kama tumbo kuuma,peleka bugando na kufaliki...inasemekana hakuamini kama kweli anayemua ni mwingine
zipo nyigi ila hiyo ni moja..we somesha ujitahidi lakini pia ajiandae kwa lolote..
 
Pole sana mkuu
Mkuu mimi nilijipa moyo kama wewe lakini leo nakumbuka maneno niliyoyaona kuwa ni kejeli toka kwa wadau humu JF nikasinga kuhudumia dem wangu aliyekuwa ccp na nikaenda mbali zaidi kwa kumpeleka mdogo wake shule baada ya kuona kashindwa kutokana na familia yake kukosa pesa. Mkuu katafute uzi huu humu JF "MCHUMBA KAENDA CCP" halafu upitie taratibu then nitafute nitakupa somo hata kwa simu mimi nitakupigia tu nikueleza kijana mwenzangu.
NEVER TAKE A GIRL TO SCHOOL NOR COLLEGE FOR THE SAKE OF MARRIAGE.
 
kuna rafiki wa kaka yangu, alikuwa anafanya kazi pale VICFISH Mwanza.miaka hiyo day ilikuwa 1000.,bro aka date na msichana ambaye yeye elimu yake form four ya ualimu ila hakufanikiwa kwa sababu ya maisha pale kwao. bro wakakubaliana kusomeshana. kwa vile bro alikuwa la 7. wakakubaliana ampeleke kwanza ualumu halafu waje waoane ili yeye akipata kazi naye ampeleke elimu ya watu wazima, enzi hizo ndio cm zimetoka na zina bei ,bro akamnunulia Shem moja ili asishawishiwe ila yeye akitaka kumpiga hadi aende kuomba kwa jirani... bro akanunua na cherehani ili pindi anasubiri ajira awe amejishikiza.(na uchumba waliufanya wa kitakatifu,hadi ndoa ndio waanze kudyyuu)
siku mchumba anafanya mahafari..akamuita bro Chuo...kitu alichomwambia..NASHUKURU KWA KUNISOMESHA NA NINATAMBUA MSAADA WAKO ILA CHA KUKUSAIDIA PIGA GHARAMA ZAKO ZOTE ULIZOTUMIA NIPE MIEZI SITA NITAKURUDISHIA NA ASINITAMBUE...
Bro aliondoka bila kujibu..akachumbia tena bila kutegemea...wiki ya harusi alihimisi yake jumamosi presha ikapanda ghafla kama tumbo kuuma,peleka bugando na kufaliki...inasemekana hakuamini kama kweli anayemua ni mwingine
zipo nyigi ila hiyo ni moja..we somesha ujitahidi lakini pia ajiandae kwa lolote..
Haya mambo sema vijana hatusikii na kuelewa stori ni nyingi na za kweli ila hatuelewi kabisa kama Thomaso wa Yesu.
Matokeo yake ni kujiua au kuua kwani siku umepigwa chini lazima upate mshituko wa moyo ikiwepo na ubongo kupigwa tetemeko kubwa la zaidi ya 8.9 Richter. Mwanangu yamenitokea haya japokuwa ni jasiri sana lakini toka tarehe 22/06/2016 yaliponikuta haya usingizi sipati na nikilala kidogo tu usiku nastuka nakujikuta naumia kuliko maelezo, nalia mwenye kama wimbo da prince.
MCHUMBA HASOMESHWI
 
Ukweli ni kwamba mchumba hasomeshwi watu wamelia sana mimi kama shuhuda kuna jamaa yangu alikuwa anafanya kazi ya taxdriver pale Airport Mwanza miaka 5 iliyopita alikuwa anasomesha mchumba UALIMU mmhh hatar sana ndugu zangu huwezi amin siku ya sherehe dem akamwambia jamaa apige gharama zote alizotumia na nyongeza kama anataka arudishiwe jamaa alizima pale pale tukakimbiza hospitalin alizinduka kesho yake.
 
si mnaoaga ELIMU / KAZI!!!!! mwacheni amtengeneze mchumba wake ili akidhi hiyo ELIMU anayo ioa.
 
Napanga kuwaletea mrejesho wa nguvu kuhusu haya mambo ila bado naumia kwanza nikipoa nitawaletea. Ila kwa kifupi "usithubutu kumsonesha mchumba ving uitinevyo ufanye hivyo kwa moyo mweupe kama unachangia kapu la kanisa na utabarikiwa mbali na hapo utakuja kufa kwa presha siku huyo mchumba atakapokupiga chini na kukuambia piga gharama zako ulizonipa nitakulipa"
Hahahahahahhahaa.... Lakini ni vema kufanya hili out of love without so much expectations ..... ili Hata kama ikija kutokea kama ambavyo chochote chaweza kutokea usihuzunike saaaaana .....!!!! Just do it for L.O.V.E.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom