Olumolongez
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 818
- 297
Na hapo ndipo me wengi kuachiwa manyoya,kwani huko chuoni unakompeleka hakuna wanaume?Wengine wanataka wakishaoa tu wanaanzisha familia hivyo wanaamua kumaliza suala la shule kwanza
Na hapo ndipo me wengi kuachiwa manyoya,kwani huko chuoni unakompeleka hakuna wanaume?Wengine wanataka wakishaoa tu wanaanzisha familia hivyo wanaamua kumaliza suala la shule kwanza
Nasomesha sitaki kuwa na negative thought....!
Hamtabiriki nyieAcha uchoyo
Exactly true.Napanga kuwaletea mrejesho wa nguvu kuhusu haya mambo ila bado naumia kwanza nikipoa nitawaletea. Ila kwa kifupi "usithubutu kumsonesha mchumba vinginevyo ufanye hivyo kwa moyo mweupe kama unachangia kapu la kanisa na utabarikiwa mbali na hapo utakuja kufa kwa presha siku huyo mchumba atakapokupiga chini na kukuambia piga gharama zako ulizonipa nitakulipa"
hahahaha...nyie tatizo hamtakagi kusoma...mnatakaga tu magari na pesa ili mkavutie wanawake wengine.Tunasubiri wakati ufike na ninyi muwe mnatusomesha.
Pole sana ndg, ntajitahidi niupitie huo uzi maana ni muhimu sana.Mkuu mimi nilijipa moyo kama wewe lakini leo nakumbuka maneno niliyoyaona kuwa ni kejeli toka kwa wadau humu JF nikasinga kuhudumia dem wangu aliyekuwa ccp na nikaenda mbali zaidi kwa kumpeleka mdogo wake shule baada ya kuona kashindwa kutokana na familia yake kukosa pesa. Mkuu katafute uzi huu humu JF "MCHUMBA KAENDA CCP" halafu upitie taratibu then nitafute nitakupa somo hata kwa simu mimi nitakupigia tu nikueleza kijana mwenzangu.
NEVER TAKE A GIRL TO SCHOOL NOR COLLEGE FOR THE SAKE OF MARRIAGE.
Tupo Dada, ipo Siku nitaandika in positive way kuhusu hili.....kumbe mpo wengi humu........kila mwanadamu na tabia yake usikate tamaa ikitokea basi itakuwa kama umeibiwa pochi stand
Tupo Dada, ipo Siku nitaandika in positive way kuhusu hili.....
Pamoja na gharama itabidi akukabidhi vyeti vyote.
tatizo elimu ni kitu ambacho mtu akishakipata hakiondoki kichwani wala huwezi kumnyang'anya. Ingekuwa inawezekana ungefuta kichwani vyote alivyosoma abaki kama awali ila uwezo huo haupo. Utachukua vyeti na ataenda kuchukua certified copies na atatumia kama kawaida. Inauma sana mkuuPamoja na gharama itabidi akukabidhi vyeti vyote.
Yeah kuna vijana wadogo wanakuwa spoiled na hii kauli ya mchumba hasomeshwi....!itasaidia wengi kila mara negative hadi wengine wanakosa fursa