Ni kweli mchumba hasomeshwi?

Napanga kuwaletea mrejesho wa nguvu kuhusu haya mambo ila bado naumia kwanza nikipoa nitawaletea. Ila kwa kifupi "usithubutu kumsonesha mchumba vinginevyo ufanye hivyo kwa moyo mweupe kama unachangia kapu la kanisa na utabarikiwa mbali na hapo utakuja kufa kwa presha siku huyo mchumba atakapokupiga chini na kukuambia piga gharama zako ulizonipa nitakulipa"
Exactly true.
 
Mkuu mimi nilijipa moyo kama wewe lakini leo nakumbuka maneno niliyoyaona kuwa ni kejeli toka kwa wadau humu JF nikasinga kuhudumia dem wangu aliyekuwa ccp na nikaenda mbali zaidi kwa kumpeleka mdogo wake shule baada ya kuona kashindwa kutokana na familia yake kukosa pesa. Mkuu katafute uzi huu humu JF "MCHUMBA KAENDA CCP" halafu upitie taratibu then nitafute nitakupa somo hata kwa simu mimi nitakupigia tu nikueleza kijana mwenzangu.
NEVER TAKE A GIRL TO SCHOOL NOR COLLEGE FOR THE SAKE OF MARRIAGE.
Pole sana ndg, ntajitahidi niupitie huo uzi maana ni muhimu sana.
 
hahahaha...nyie tatizo hamtakagi kusoma...mnatakaga tu magari na pesa ili mkavutie wanawake wengine.
Mkituhamasisha tutasoma tu kiroho safi. Nyinyi ndo mnatufanya tukatae shule tutafute pesa na magari.
 
Tatizo waschana wakata wansomeshwa wanapa ahad wanaume ambao ni wapenz wao kuwa watakubal kuolewa sasa kaz inakuja pale ushamtafutia kaz na ana anza Jeur haha
 
Pamoja na gharama itabidi akukabidhi vyeti vyote.
tatizo elimu ni kitu ambacho mtu akishakipata hakiondoki kichwani wala huwezi kumnyang'anya. Ingekuwa inawezekana ungefuta kichwani vyote alivyosoma abaki kama awali ila uwezo huo haupo. Utachukua vyeti na ataenda kuchukua certified copies na atatumia kama kawaida. Inauma sana mkuu
 
Me bora nikusaidie as a friend na sio kukusomesha ntakusaidia vitu vilivyopo ndan ya uwezo wangu kuliko tuwe wapenz halafu mwisho wa cku niwe hope ya kukukoa wakat una jamaa mwingine. Never
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom