Unabaki navyo kama kumbukumbu tu kama dr.slaa alivyobaki na kadi ya ccmtatizo elimu ni kitu ambacho mtu akishakipata hakiondoki kichwani wala huwezi kumnyang'anya. Ingekuwa inawezekana ungefuta kichwani vyote alivyosoma abaki kama awali ila uwezo huo haupo. Utachukua vyeti na ataenda kuchukua certified copies na atatumia kama kawaida. Inauma sana mkuu
Mkuu mi naona nikikutafuta utaniongezea stress..Hiki kikombe ngoja nikikabiri tu..Thanx btwMkuu mimi nilijipa moyo kama wewe lakini leo nakumbuka maneno niliyoyaona kuwa ni kejeli toka kwa wadau humu JF nikasinga kuhudumia dem wangu aliyekuwa ccp na nikaenda mbali zaidi kwa kumpeleka mdogo wake shule baada ya kuona kashindwa kutokana na familia yake kukosa pesa. Mkuu katafute uzi huu humu JF "MCHUMBA KAENDA CCP" halafu upitie taratibu then nitafute nitakupa somo hata kwa simu mimi nitakupigia tu nikueleza kijana mwenzangu.
NEVER TAKE A GIRL TO SCHOOL NOR COLLEGE FOR THE SAKE OF MARRIAGE.
Hayo ndo maneno mkuuhahahahaha jiandae kufungua thread......usipanic mkuu anaweza kuwa mmoja kati ya 1000
Si zao la fedha za mwanaume?
Ila kugonga ruksa?Napanga kuwaletea mrejesho wa nguvu kuhusu haya mambo ila bado naumia kwanza nikipoa nitawaletea. Ila kwa kifupi "usithubutu kumsonesha mchumba vinginevyo ufanye hivyo kwa moyo mweupe kama unachangia kapu la kanisa na utabarikiwa mbali na hapo utakuja kufa kwa presha siku huyo mchumba atakapokupiga chini na kukuambia piga gharama zako ulizonipa nitakulipa"
Hayo ndo maneno mkuu
Hiyo ni wewe unaejitambuasi kweli mbona mie nasomeshwa na mchumba'ngu na sina mawazo ya kumuacha labda kama ulikuwa unapenda msaada wake na si mwenyewe
si kweli mbona mie nasomeshwa na mchumba'ngu na sina mawazo ya kumuacha labda kama ulikuwa unapenda msaada wake na si mwenyewe
Ni kweli mchumba hasomeshwi kwa sababu!Salaam ndugu zangu,
Upo usemi usemao mchumba hasomeshwi.
Kila uchao na uchwao kumekuwa na vilio vingi kwa vijana wa kiume waliojitolea kuwasomesha wachumba zao kabla ya kufunga ndoa ila baadae huambulia maumivu makali baada ya kusalitiwa au kutelekezwa kabisa.
Tatizo ni nini hasa mpaka nyinyi akina dada kufikia maamuzi hayo?
Kijana wa kiume yakikukuta haya utafanyaje?
Naomba kila mmoja atoe yake ya moyoni au ushuhuda kuhusu jambo hili.
Nawasilisha.
Ni kweli mchumba hasomeshwi kwa sababu!
Jukumu la kusomesha ni la mzazi ,mlezi au ndugu wa mhusika!
Ukisha anza kumsomesha mpenzi moja kwa moja umechukua majukumu ya watu nilio wataja hapo juu!
Hivyo utakuwa huna tofauti na hao watu hapo juu!
Kimsingi watu nilio wataja hapo juu kama ndugu,wazazi na walezi hawana uwezo wa kulala nae au kutembea na binti yao na hata wakifanya hivyo ni laana!
Hivyo basi kwakuwa wewe umegeuka Baba na mama au walezi wake hatoweza kutembea na wewe itambidi atafute mtu mwingine!
Ndio maana wengi walio fanya majukumu hayo ya wazazi waliachwa na si bahati mbaya bali ndio taratibu!
Hivyo kama una hela za kusomesha basi msomeshi ndugu yako na si mtu unaye taka kulala nae.
Salaam ndugu zangu,
Upo usemi usemao mchumba hasomeshwi.
Kila uchao na uchwao kumekuwa na vilio vingi kwa vijana wa kiume waliojitolea kuwasomesha wachumba zao kabla ya kufunga ndoa ila baadae huambulia maumivu makali baada ya kusalitiwa au kutelekezwa kabisa.
Tatizo ni nini hasa mpaka nyinyi akina dada kufikia maamuzi hayo?
Kijana wa kiume yakikukuta haya utafanyaje?
Naomba kila mmoja atoe yake ya moyoni au ushuhuda kuhusu jambo hili.
Nawasilisha.