babamwenyenyumba
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,161
- 5,971
Kitngine usimpe tena second chance imenitokea juzi tu hapa.aiseee usimwamini mwanamkeIndeed I've learnt from my previous mistake na nimejisalimisha kwa mama yangu nakumweleza juu ya kosa kubwa nililofanya ikiwa ni pamoja na matumizi mabaya ya pesa ambazo zingeweza hata kuwalisha ndugu au rafiki zangu pasipo na mategemeo ya reward yoyote kama ilivyokuwa kwa Kwezi mchumba wangu aliyenipiga chini na kuniambia, "piga gharama zako unadai shilingi ngapi nikulipe mbele ya boya wake" nilihisi kuchanganyikiwa kwa kweli. Saivi sitarudia ujinga kama huu.
Mademu si wa kuamiani hata kidogo, they are the same na akili zao ni za mizuka ukimpanda anakupiga chini pasipokujali how much you love her na umemfanyia nini na unampenda kwa upendo gani.