Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 26,833
- 50,016
Leo katika pita pita zangu nimekutana na hii post ya Harmonize akiongelea mtu kutumia madawa ya kulevya na mtu huyu direct ni Dimond. Je kuna ukweli wowote au ni hasira za Harmonize kuambiwa anatumia mihadarati.
Wadau je kuna ukweli wowote kukonda kwa Dimond ni kwa ajli ya ubwiaji?
Wadau je kuna ukweli wowote kukonda kwa Dimond ni kwa ajli ya ubwiaji?