Ni kweli Diamond Platnumz anatumia unga/madawa ya kulevya?

Mhh mmakonde naona bado milioni 600 inamuumiza sana
Jibu swali anatumia sembe au hatumii?? Vinginevyo nyie ndiyo walee enzi hizo teacher kwenye mtihani anatoa maswali 20 yote rahisi sana but mtego uko kwenye instructions "read all the questions carefully BUT DON'T ANSWER ANY QUESTIONS, JUST write down your name and when the time is up submit your papers"...
 
Harmonize ajifunze kuandika, jamaa ana uandishi m'bovu sana.

Hata katika captions zake kwenye mitandao ya kijamii uandishi wake wa ajabu ajabu.

Bado ana element za kishamba.

Mwanaume umeshatoka na kuamua kujitafutia ya nini kuanza kufuatana na mwanaume mwenzio kukesha kuandikiana upuuzi.

Suala la mtu kutumia unga ni starehe yake kama zilivyo starehe zingine kuanza kufuatiliana kuandikiana kwa status na insta story huu ni utoto.

Mwanaume kuwa na element za kike kutupiana maneno siyo ishara nzuri hata kidogo.

Zaidi ya yote ajifunze kuandika na amtafute Ras Simba amnoe kidogo lugha ya malkia ambayo nayo anavuruga sana.
 
Leo katika pita pita zangu nimekutana na hii post ya Harmonize akiongelea mtu kutumia madawa ya kulevya na mtu huyu direct ni Dimond. Je kuna ukweli wowote au ni hasira za Harmonize kuambiwa anatumia mihadarati. Wadau je kuna ukweli wowote kukonda kwa Dimond ni kwa ajli ya ubwiaji?

View attachment 2012496
Kwa jinsi Diamond alivyo pigana kumtoa ndugu yake kutoka kampani ya wala unga Kina TID, Ngwea, Babuu wa Kitaa na Langa na kumfanya Dj wake, sizani kama atakuwa anatumia.

Konde poda sijui kama ana gumia ila bange anakula.
 
Harmonize ajifunze kuandika, jamaa ana uandishi m'bovu sana.

Hata katika captions zake kwenye mitandao ya kijamii uandishi wake wa ajabu ajabu.

Bado ana element za kishamba.

Mwanaume umeshatoka na kuamua kujitafutia ya nini kuanza kufuatana na mwanaume mwenzio kukesha kuandikiana upuuzi.

Suala la mtu kutumia unga ni starehe yake kama zilivyo starehe zingine kuanza kufuatiliana kuandikiana kwa status na insta story huu ni utoto.

Mwanaume kuwa na element za kike kutupiana maneno siyo ishara nzuri hata kidogo.

Zaidi ya yote ajifunze kuandika na amtafute Ras Simba amnoe kidogo lugha ya malkia ambayo nayo anavuruga sana.
Mchokozi ni huyo domokaya, ndo alianza kumnanga mwenzake na muhadarati,
 
KUNA MTU ALIDHANI KWAMBA AKITOKA WCB NA KUANZISHA LEBO YAKE ATAKUWA TAJIRI KAMA MWENZIE,KUENDESHA LEBO SIO KAMA KUENDESHA SHAMBA LA KOROSHO NA USIONE MTU ANAFANYA HIVI UKAJUA NA WEWE UTAWEZA,LAZIMA UDATE

KUNA MTU ALITOA ALBUM KARIBUNI AMBAYO KWA NAMNA MOJA NA NYINGINE HAIJAFANYA POA KABISA KATIKA SOKO LA KIDIJITARI YANI DIGITAL PLATFORMS.MWISHO WA SIKU ANAANZA KUTAFUTA KIKI

HAKUNA KITU KINAUMA KAMA KUMSEMA MTU AMBAYE HAKUJIBU,INAUMIZA SANA
 
Huyo konde ni mataqo tu. Amesema unga mataqo wengine wakadhani madawa, Mond anatumia protein powder. Kwa tunaojua ukitumia hiyo kitu lazima ufanye mazoezi sana ili kutengeneza mwili uwe na mwonekano bomba.

Angekuwa anatumia huo unga mnaoudhania asingeweza kufanya shows kila mara. Lakini PP inampa nguvu sana ndio sababu huyo konde taqo hawezi simama muda mrefu stagen ni mond
 
Kwa jinsi Diamond alivyo pigana kumtoa ndugu yake kutoka kampani ya wala unga Kina TID, Ngwea, Babuu wa Kitaa na Langa na kumfanya Dj wake, sizani kama atakuwa anatumia.

Konde poda sijui kama ana gumia ila bange anakula.
Unaongea husiyoyajua ata kidogo week kadhaa nimekutana na huyo rommy jones akibwea mbele ya macho yangu bila aibu na hii tabia watoto wa mbezi beach ndio wameanza kama fashion in addition rate ya watumiaji unga inavyoongezeka ndivyo pia rate ya matukio na ushoga unaongezeka pia with that said kuna uwezekano mkubwa sana Diamond pia kutumia.

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Harmonize ajifunze kuandika, jamaa ana uandishi m'bovu sana.

Hata katika captions zake kwenye mitandao ya kijamii uandishi wake wa ajabu ajabu.

Bado ana element za kishamba.

Mwanaume umeshatoka na kuamua kujitafutia ya nini kuanza kufuatana na mwanaume mwenzio kukesha kuandikiana upuuzi.

Suala la mtu kutumia unga ni starehe yake kama zilivyo starehe zingine kuanza kufuatiliana kuandikiana kwa status na insta story huu ni utoto.

Mwanaume kuwa na element za kike kutupiana maneno siyo ishara nzuri hata kidogo.

Zaidi ya yote ajifunze kuandika na amtafute Ras Simba amnoe kidogo lugha ya malkia ambayo nayo anavuruga sana.
Kwani muandiko mzuri unaliwa? Kama muandiko mzuri ungekuwa dili graduates wasingesaga soli kitaa na vyeti vyao...
 
Unaongea husiyoyajua ata kidogo week kadhaa nimekutana na huyo rommy jones akibwea mbele ya macho yangu bila aibu na hii tabia watoto wa mbezi beach ndio wameanza kama fashion in addition rate ya watumiaji unga inavyoongezeka ndivyo pia rate ya matukio na ushoga unaongezeka pia with that said kuna uwezekano mkubwa sana Diamond pia kutumia.

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Je mimi una nijua? Hivi ushajiuliza kwa nini kuna kipindi Mondi alikuwa akimtumia Dj Ommy wa Clouds kwa muda na kumwacha kaka yake Rj unajua sababu ilikuwa ipi?

Tupo jf hatujuani.
 
Jibu swali anatumia sembe au hatumii?? Vinginevyo nyie ndiyo walee enzi hizo teacher kwenye mtihani anatoa maswali 20 yote rahisi sana but mtego uko kwenye instructions "read all the questions carefully BUT DON'T ANSWER ANY QUESTIONS, JUST write down your name and when the time is up submit your papers"...
Sasa ndo nini na wewe? Unaelewa unachoandika kweli? Mimi nimeuliza swali kwenye mada then ww tena unakuja kuniuliza na kuni attack sasa mimi na wewe nani anatakiwa hayo maelezo ulotoa hapo?
 
Back
Top Bottom