Sidhani kama kuna haja yakujuana fact ni kuwa kama ndugu yake anatumia kuna uwezekano mkubwa na yeye kutumia ofcourse kwa mob iliyokuwepo pale ni circle ya Diamond pia...Je mimi una nijua? Hivi ushajiuliza kwa nini kuna kipindi Mondi alikuwa akimtumia Dj Ommy wa Clouds kwa muda na kumwacha kaka yake Rj unajua sababu ilikuwa ipi?
Tupo jf hatujuani.
Duuuh hii ni shida.Unaongea husiyoyajua ata kidogo week kadhaa nimekutana na huyo rommy jones akibwea mbele ya macho yangu bila aibu na hii tabia watoto wa mbezi beach ndio wameanza kama fashion in addition rate ya watumiaji unga inavyoongezeka ndivyo pia rate ya matukio na ushoga unaongezeka pia with that said kuna uwezekano mkubwa sana Diamond pia kutumia.
Exactly ...ana sononaDaimond sura yake inaonesha anatumia na ni mtu mwenye Stress mno.
UpooooUffaller tu, utafikiri anamhurumia kumbe anataka ajulikane kuwa ana taarifa za mtu tu
Imekuwa shida sanaKwa style hizi za mabifu na mafumbo ndio mziki wa Bongo utaendelea?
Ina shangaza sana!
Mondi hiyo haikuwa kampani yake labda kama umemjua juzi, kampani ya Mondi ilikuwa ya akina Bob Junior, Dully Sykes, Hakeem 5,Abby Skills nk.Sidhani kama kuna haja yakujuana fact ni kuwa kama ndugu yake anatumia kuna uwezekano mkubwa na yeye kutumia ofcourse kwa mob iliyokuwepo pale ni circle ya Diamond pia...
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Yes ila kuna waja nimeandika wanabisha kwa kumuangalia unaweza kujua anapitia kipindi ganiExactly ...ana sonona
nimejaa teleUpoooo
Usiwateteee wavuta unga/cocaine..hawa ndio wanaharibu watoto wetu ikiwemo na wa kwako kama unao, mtoto anampenda diamond kama moyo wake, akisikia au kusoma anakula unga na yeye atajaribu ili kumsapoti msanii anayempenda..
Wanatengeneza hao...Mimi nanmini upumbavu ni kudhani eti unaweza kutengeneza jambo halafu uwashike watu. Vijana acheni hizo theories za kipimbi
Ila tuwe wakweli Harmo anampigaga sana vijembe Dai hata kwenye nyimbo zake..kama Dai amejibu au ameongea recently ni sababu kachoka. Amekaa kimya muda mrefu sana huo ndio ukweli.Mchokozi ni huyo domokaya, ndo alianza kumnanga mwenzake na muhadarati,
Mange hampendi Dai siku zote..Mange anaongea kishabiki apo maana anamchukia Diamond, lkn ata hivyo mange reasoning yake n ndogo pia anakurupuka tu na mambo.
"... mamilioni ya shilingi 600M..."Mhh mmakonde naona bado milioni 600 inamuumiza sana
KabisaAfadhali Dai, Zari ndio personal kabisaa. Ana wivu umekuwa kama ugonjwa.
Kuna uchizi fulani upo instagram wa kugombana na mtu usiye mjua wala kukutana nae hata siku moja,hiki kipaji Mange anacho kifuani kawajaza watu kibao anao wachukia na kumbuka kwenye blog yake aliwajaza watu alio gombana nao, ukisoma sababu unagundua ni roho mbaya na uchizi wake.Afadhali Dai, Zari ndio personal kabisaa. Ana wivu umekuwa kama ugonjwa.