🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sijawahi kuyaamini maneno ya mbongo hasa mwanamke!!!!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sijawahi kuyaamini maneno ya mbongo hasa mwanamke!!!!!
Hii imeenda...Kule USA kwenye "black community" Kuna theory kuwa a black man huwa hapendi kuona black man mwenzie kafanikiwa! Yaani kama black man ukifanikiwa, watu wa kwanza kutaka kukuangusha ni black men wenzio,
Hii inaonyesha ni "inborn thing " Ya watu weusi,tumezaliwa na hii nuksi!
Badala ya kuchunguza na kukosoa lifestyle ya Mond,jifunzeni kwake jinsi alivyoweza kungalisha na kutumia talanta yake kutengeneza ukwasi! Na kutoa ajira kibao,toeni ushauri chanya!
Sasa wewe huna chochote, unataka kujipa "high moral ground" Kukosoa wenye nacho!
"Bskhresa hawezi kusikiliza wala kujali ushauri wa kapuku kama driver wa daladala" Lakini akisikia ushauri wa MTU kama Dangote au Rostam, lazima at a kuwa makini kusikiliza"maana ushauri umetoka kwa MTU wa level yake.
Yule ninoverdoseSista unga hauna quality. Wamekufa mastaa wakubwa kina W. Huston.
Na ameanza muda mrefu Sana kula unga. Umeshamchosha damu kabisa. Management yake isipokuwa makini iko siku ataanguka jukwaani na ndiyo mwisho wake. Kwa sasa yuko weak Sana. So sad😭😭Kwa muonekano wake wa sasa naamini,siku ile ameenda kwenye tamasha la yanga jangwani alikua bwiii
Hii ya Diamond kutumia madawa nilijua muda mrefu mno kabla hata ya hiyo Mange Kimambi kuja public. Kifupi tusibishe Sana kuhusu hilo bali tumuombee aweze kuacha.Ni kweli anatumia
Muda utaongea👌
Punguza kuandika parandesi
Kwani anakulipa au mlamba makalio yake👌👌🤣
Wajinga wote duniani huamini serikali zao.Mange kasema hahaha...any way siwezi kuprove
Kitendo tu cha kumfanya Mange kuwa source yako ya taarifa ni dalili tosha kwamba huna uwezo wa kufanya maamuzi sahihi juu ya maisha yako.Wewe ni mke wa Diamond? Kwanini unajipa kazi ya kumtetea mtu ambaye dalili zinaonyesha hayuko sawa? Unadhani watu wote ni wapuuzi kumsikiliza Mange bila kuchanganya na akili zao? Nakusisitiza tena kuwa acha tujipe muda. Kama sio kweli itajulikana. Kama ni energy ya jukwaani hata Bobby Brown na Whitney Houston walikuwa nazo za kutosha. Diamond amesafiri kumzidi Whitney? Diamond ana madili mengi kuliko Americans?
Una uhakika gani kwamba Mange ndo chanzo changu cha taarifa? Wewe mpuuzi kuanzia leo jua kuwa Mange hana taarifa nyingi sana ya mambo mengi ya Dar. Kuna baadhi ya mambo angeyafahamu ingekuwa balaa zaidi. Dar mitaa ya Kinondoni, Mwananyamala, Kijitonyama na Sinza ina mambo machafu sana yanayofanywa na hawa wanaojiita masupastaa.Kitendo tu cha kumfanya Mange kuwa source yako ya taarifa ni dalili tosha kwamba huna uwezo wa kufanya maamuzi sahihi juu ya maisha yako.
Wewe mpuuzi nini, sasa hizo taarifa unazojisifia kuwa nazo za mitaaa ya Dar, zinakusaidia nini katika kukukuza kiroho, kijamii, kiuchumi au kitamaduni zaidi ya kukufanya uwe mjinga mjinga zaidi.Una uhakika gani kwamba Mange ndo chanzo changu cha taarifa? Wewe mpuuzi kuanzia leo jua kuwa Mange hana taarifa nyingi sana ya mambo mengi ya Dar. Kuna baadhi ya mambo angeyafahamu ingekuwa balaa zaidi. Dar mitaa ya Kinondoni, Mwananyamala, Kijitonyama na Sinza ina mambo machafu sana yanayofanywa na hawa wanaojiita masupastaa.
Na wewe ungetumia muda wako kutojibu comments zangu ungekuwa mbali sana kimafanikio. Unafiki ulio nao ndo unakufanya uendelee kuwa mpumbavu na maskini.Wewe mpuuzi nini, sasa hizo taarifa unazojisifia kuwa nazo za mitaaa ya Dar, zinakusaidia nini katika kukukuza kiroho, kijamii, kiuchumi au kitamaduni zaidi ya kukufanya uwe mjinga mjinga zaidi.
Jifunze kutumia muda wako kwa manufaa yako na kizazi chako kama unacho, badala ya kutumia muda mwingi kufuatilia maisha ya watu. Shez type.
Juzi jumapili nimeona Giggy anahojiwa amekonda au amejikondesha ila anaonekana huyo "high" na yupo weak. Kuna uwezekano mkubwa naye anabwia na labda wanabwia naye.Sijui mkuu...hii ni kwa mujibu wa Mange kimambi kuwa Dai anabwia unga na anaempelekeaga ni Gigy..si unamjua yule dada hajawahi kuongea famba? Lazima kapitishiwa ubuyu na watu wanaomzunguka huyo huyo Mond...sema labda anakula unga msafi wa mataita..ambao haumchoshi..
Mjinga ni yule pia anaesoma kitu cha mjinga na kupoteza muda wake kwa mjinga kujibu ujinga..