Ni kwanini bado Waarabu wanatubagua, hata Mwafrika anapokuwa Muislam wanamkatalia kumuoa binti yao?

Niliemtaja Mimi sio Yohana mbatizaji,ni Yohana ndugu yake Yakobo.Na huyu Yohana mwanzoni alikuwa mwanafunzi wa Yohana mbatizaji ila walipotambulishwa kwa Yesu,yeye na mwenzake Andrea ndio wakawa wanafunzi wakwanza kabisa wa Yesu
Tuache malumbano yasio na matokeo chanya.
Jibu swali hili dogo.

AGANO JIPYA LIMEANDIKWA MWAKA GANI.?
 
Mimi nafahamu tabia ya mtu mbishi asie na elimu ya andiko. We umegusa tu vichwa vya habari.
Hujajibu swali.
AGANO JIPYA LIMEANDIKWA mwaka GANI?
Jinsi tu ulivyouliza swali,nashindwa kwendelea kujadiliana na wewe,kwa akili zako vile vitabu vya agano jipya viliandikwa mwaka mmoja mpaka uulize mwaka gani?
 
Jinsi tu ulivyouliza swali,nashindwa kwendelea kujadiliana na wewe,kwa akili zako vile vitabu vya agano jipya viliandikwa mwaka mmoja mpaka uulize mwaka gani?
Ngoja nikurahisishie
Narudia swali. AGANO JIPYA LIMENDIKWA LINI?

Huna Jibu Niulize mimi nikusaidie. Kutokujua sio kosa.
Kosa ni kujifanya unajua wakati hujui.
 
Jinsi tu ulivyouliza swali,nashindwa kwendelea kujadiliana na wewe,kwa akili zako vile vitabu vya agano jipya viliandikwa mwaka mmoja mpaka uulize mwaka gani?
Agano jipya Limeandikwa kwa Muda ambao unajulikana.
Na likakamilika kwa MWAKA UNAOJULIKANA

Usilete ujanja wa kupindisha swali sababu HUNA JIBU ulijualo.

Nakuruhusu utumie Google manake wengi wenu bila Google hamjui hata namna ya kusoma Hio biblia.
 
Hakuna unachojua kuhusu maandiko,Kuna uhusiano gani wa kiroho kati ya maandiko na mwaka yalioandikwa?
 
Al burush ni koo ya kiarabu mzee
Wao wanasema waarabu wa mwisho mwisho
Mfalme wa Oman Alipinduliwa akahifadhiwa na wabulushi, wakamsaidia kuja kuichukua Tena Oman, Wabulushi wakapewa Vyeo vinavyohusiana na Ulinzi Oman na Hata huku Africa ukisikia Mu Oman kampiga mreno ujue ni Wabulushi ndio walipigana kama wanajeshi wa Oman. Huo ndio uhusiano wa Wabulushi na waarabu.

Wabulushi wenyewe sio waarabu wanapatikana Iran na Maeneo kama unaenda India, ni race nyengine yenye identity.

Tatizo sisi Watanzania tunajua tu waarabu na wahindi, Washirazi, Wabulushi, waturuki, wa ajemi na ethnicities nyengine Ukanda huu za watu weupe wanaitwa tu waarabu ama wahindi japo sio.
 
Hakuna unachojua kuhusu maandiko,Kuna uhusiano gani wa kiroho kati ya maandiko na mwaka yalioandikwa?
Nilijua kuwa najadili na mtoto mdogo asiejua lolote kuhusu andiko analosoma kila weekend.
Lengo la kuendelea kujadiliana na wewe ni kuwapa faida wasomaji ambao wanahitaji kujifunza na kufahamu kuwa BIBLIA Imeandikwa MIAKA ZAIDI YA 100 baada ya YESU KUONDOKA DUNIANI.

Na waandishi wote wa AGANO JIPYA hakuna aliyemuona YESU hata siku 1.

I rest my case.
 
Nilijua kuwa najadili na mtoto mdogo asiejua lolote kuhusu andiko analosoma kila weekend.
Lengo la kuendelea kujadiliana na wewe ni kuwapa faida wasomaji ambao wanahitaji kujifunza na kufahamu kuwa BIBLIA Imeandikwa MIAKA ZAIDI YA 100 baada ya YESU KUONDOKA DUNIANI.

Na waandishi wote wa AGANO JIPYA hakuna aliyemuona YESU hata siku 1.

I rest my case.
Wewe ndiye usiyejua kitu,nmekupa mfano aliyeandika kitabu Cha Yakobo,ni mdogo wake kabisa Yesu,mtoto wa Maria na babaake ni Yosefu,aliyeandika injili ya Yohana,ni mtume Yohana mwenyewe,endelea kujidanganya kuwa unajua
 
Mkuu vyeupe havivutii kwako wapo watu wanazikubali white white
Yaani mimi niache kula au kuoa watoto wazuri wakali wa kiafrika kama huyo chini, niende kuoa mwarabu? Hell No!
1000016954.jpg
 
Wewe ndiye usiyejua kitu,nmekupa mfano aliyeandika kitabu Cha Yakobo,ni mdogo wake kabisa Yesu,mtoto wa Maria na babaake ni Yosefu,aliyeandika injili ya Yohana,ni mtume Yohana mwenyewe,endelea kujidanganya kuwa unajua
AGANO JIPYA limeandikwa mpk likaitwa " AGANO JIPYA" LINI?

Jibu swali acha kukimbia kimbia ovyo ka mtoto wa nursery.
 
Maswali unayouliza hayana kichwa Wala miguu,ujumbe wa Biblia na hiyo miaka vina mahusiano gani?
Teh teh teh.
Nani kakuuliza kuhusu ujumbe wa Biblia hapa?

Andiko linasema
Mithali 12:15 “Njia ya mpumbavu imenyoka machoni pake mwenyewe; Bali yeye aliye na hekima husikiliza shauri”.

Unapoteza muda wangu bure.
Pita uende zako
 
Dili wapi...... Huko dubei wanakimbia wake zao wanaenda kununua papa nyeusi......... Wazuri kuzaa nao tu ila utamu wa papa hamna, vitu za baridiii
Hii inanikumbusha ile story ya sungura aliyeshindwa kuzifikia ndizi mgombani akaamua kusema "sizitaki mbichi hizi".
We komaa na hao kambare .
Halua bei yake Ghali sana
 
Back
Top Bottom