mwafrika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Ndiye Sauti Ya Afrika Na Mwafrika na Ambayo Ikizungumza Sauti yake inasikika,Kusikilizwa na Kuheshimika Vyema. Ndio Maana Tunapokea Wageni

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Ndiye Sauti ya Afrika na Mwafrika kwa Sasa .Ndio sauti ambayo ikizungumza inasikika ,kusikilizwa na kuheshimiwa na watu wote. Ndio Nguvu ya Muafrika na ndio Tumaini la Bara letu. Kwa miaka ya Hivi karibuni Afrika...
  2. H

    JamiiForums Tanzania Mwafrika wa sasa anayejitambua hawezi kufanya tena ujinga wa kubatiza mtoto kanisani chini ya miaka 18

    Tujitafakari, Hivi kuna haki na uhuru gani mnayotaka Waafrika iwapo watoto wenu mnawaingiza kwenye dini na madhehebu ya kuja kwa kuwabatiza majina na kuwapa majina ya kigeni badala ya kuwalea katika mila na asili za kabila lako hadi watakapofikisha umri wa utu uzima miaka 18 ambao kwa waafrika...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Kama Adam na Hawa walikuwa weupe; Je, MWAFRIKA alitoka wapi?

    Tujitafakari WAAFRIKA kwa kuanza kutafuta ukweli wa ASILI na CHANZO chetu!!!!!! MWAFRIKA AMKA!!
  4. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Mwafrika akimuangalia Polisi wa Kikoloni kwa Uchungu

    Masikini, Mwafrika akimuangalia polisi wa Kikoloni kwa uchungu bila kujua uzao wake utakuja kuteswa na waafrika wenzio zaidi ya mzungu
  5. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Its 2026, elon musk anatengeneza kifaa cha kusaidia vipofu kuona meanwhile bongo bado mambo ni haya

    Ukijaribu kusema unaambiwa hata wazungu wana uchawi wao😬 anyway, maisha yaendelee.
  6. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Tanzania Kila nikitafuta cha kujivunia mimi kuwa mwafrika nakikosa

    Sio kwamba najichukia binafsi ila naichukia hii jamii ya kuitwa afrikana. Ni ngumu kukaa katika jamii ambayo utimamu ni adui, utimamu ni kihere here. Afrika aliesoma zaidi yako ni amesoma ili akuminye wewe usio na uwezo wa kisomo chake maana hauwezi kukaa katika kiti cha ku-control vile uishi...
  7. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha chama kuongozwa na mtu ambaye yupo gerezani kwa makosa ya uhaini ni dhahiri kwamba ubongo wa Mwafrika bado upo analogy

    Miaka ya 70's huko viongozi wa Africa walikuwa wakishashinda uchaguzi wanahamia Ulaya kula Bata huku wakiacha nchi zao zikiongozwa na vivuri vyao tu, Ni kitendo cha aibu kiongozi mhaini kuendelea kuwa madarakani ili hali yupo gerezani tena KWA makosa ya uhaini hii ni ishara kuwa Mwafrika bado...
  8. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Uchawi na ushirikina ndio chanzo kikubwa cha maisha ya Mwafrika kutokupiga hatua

    Habari zenu. Nitajitahidi kuchambua kwa kina kuhusu hiki kitu ( unaebisha kuhusu uwepo wa uchawi na ushirikina umepigwa upofu, tafuta msaada haraka). Kati ya mabara 6 duniani, Afrika ndio bara ambalo maisha ya watu wake ni duni kuliko mabara mengine. Zipo sababu nyingi zinazochangia, moja kati...
  9. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Mwafrika mwenzetu akielezea uzoefu wake katika Jeshi la Urusi wakipigana na Ukraine

    Waafrika twendeni kwa wingi kuwasaidia ndugu zetu Russia dhidi ya Mabeberu. Ukrainian troops from the 63rd Mechanized Brigade captured a Ugandan man, Richard Akantoran, who said he was lured to Russia with promises of civilian work and then forced to sign a military contract under threat of...
  10. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Hivi ndivyo katika kila group la umri mwafrika anayo chambua sababu za tabu zake

    18 - 21= baba na mama 22 - 25= shetani 26 - 30= uchawi na mikosi 30 - 35= bado yupo confused hajaelewa vizuri😁 (uchawi, baba, mama, trump, shetani, kurogwa, etc) 35 - 40= "Mimi mwenyewe ndio nilizingua all along aisee"
  11. M

    JamiiForums Tanzania Default settings za mwafrika ni wizi, akipata cheo, lori likianguka, n.k. anachowaza ni kuiba

    Hata kama wizi upo kote ila kwa waafrika ni default settings Lori likipiga mzinga default settings za waafrika huwa ni Baraka imeshuka, watu wanajsevia hawajali hasara wanayotengeneza Mwajiriwa anaelipwa kwa kodi za wananchi bado anahitaji mlungula au ya soda ili afanye kazi yake, bila hivyo...
  12. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Kuna muda najiuliza mwafrika ni binadamu aliyekamilika kweli!, asije akawa ni tofauti na hao wengine

    Kwa matukio yaliyotokea siku za karibu kuna maswali imebidi nijiulize Mwafrika ni rational human being What if wanaotubagua wako sahii kwa asilimia mia mkuu content ya character zetu ni ya ajabu sana Kwa nini tusirudi kwenye utawala wa kifalme kama demokrasia hatuwezi Hivi marekani ingekuwa ni...
  13. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Cameramen huwa hawaanguki na mapepo, njia ya kwenda kwa mganga imejaa masikini ila we unatoka mjin kufata utajir kwake, ishara ni nying ila mwafrika🤣

    Tunahangaika na vitu ambavyo tunataka vi-prove kitu kwetu wakati hata vyenyewe binafsi haviwezi hata kuji-prove.
  14. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Tafakuri ya mwafrika

    "Waafrika wengi tumepewa zawadi ya kufikiri, lakini tunaikabidhi kwa viongozi wa dini kama sadaka, kisha tunalalamika tunapopotezwa hata katika mambo yanayohitaji akili tu, si maombi ya kufunga." — Alloyce, P.R.
  15. Rebuild

    JamiiForums Tanzania Uzi wa nukuu mbali Mbali Za wasanii, Wanasiasa, Wagunduzi, Wanafalsafa

    Habari wakuu. Uzi huu ni kwajili ya Quotes Mbali Mbali Kwa watu mashughuli duniani ambao bado wapo Hai na wengine waliotangulia kwenye ulimwengu mwengine.
  16. H

    JamiiForums Tanzania Picha za kuhamasisha ukombozi wa Mwafrika

    Walianza kama wapigania uhuru lakini baada ya kupewa huo uhuru wamebadirika na kuwa wakoloni wa kiafrika wenye kujirimbikizia mali kwaajili ya familia zao na siyo Afrika.
  17. H

    JamiiForums Tanzania Wakenya wasipenyeze tabia zao chafu Tanzania

    Kila taifa lina tabia na tamaduni zake zinazostahili kuenziwa hata kwa mtutu wa bunduki. Wakenya wanatabia na tamaduni za kianzisha fujo na chokochoko nchini kwao na wakaangaliwa tu na serikali yao kwa kuwa inawadekeza hivyo. Kama wangekuwa na nia ya kuja kufuatilia kesi ya Lissu wangeomba kwa...
  18. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Mwafrika utumwa hautamwacha mpaka mwisho wa Dunia

    Mwafrika ndiye mwanadamu ambaye hajawahi kupata raha halisi ya duniani ambayo Mungu aliiweka. 1. Ujima Zama za ujima Mwafrika alikufa mapema sana, life expectancy yake ilikuwa fupi sana. Baridi, magonjwa ya kitropiki vimemuua sana Mwafrika. 2. Utumwa Watu kama Waarabu wakamuona Mwafrika kama...
  19. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Zumaridi yupo sahihi (Mwafrika hajaumbwa/ Mwafrika ni Mungu) Likud 7th theory of creation

    Bado naendelea kutafuta asili ya mwanadamu na kwanini yupo duniani. Nimesha taja nadharia Sita kuhusu kile ninacho ona huenda kikawa ndio chanzo cha Sisi kuwepo hapa duniani. Hii ni nadharia yangu namba saba. MWAFRIKA HAJAUMBWA. Ila? MWAFRIKA yuko pamoja na Mungu. Kama ambavyo Mungu hana...
  20. R

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Mwafrika kiasili hana akili nyingi kama races nyingine ?

    Sisemi kila mwafrika bali kwa wastani, wapo waafrika wana akili nyingi lakini ni wachache wa kuhesabu Hata kwa akili za darasani nachokiona wengi wanaishia kukariri tu, mpaka leo hatuna maabara za kutengenezea madawa ya magonjwa yanayotusumbua waafrika ila watu wana phd za mambo ya madawa...
Back
Top Bottom