Hichi ndio anachotakiwa kufanyaNjia rahisi:Kwenye simu,Saa,na laptop weka ya masaa 24.
Baada ya wiki utakuwa expert.
Hichi ndio anachotakiwa kufanyaNjia rahisi:Kwenye simu,Saa,na laptop weka ya masaa 24.
Baada ya wiki utakuwa expert.
Chuo cha ReliDuh,ila we umezidi,
Umesoma chuo gani?
Na ukiuliza unaonekana chizi!!Bado sijajua kwanini watu wanaamini vitabu vya dini ni non-fiction ilhali kwa akili ya kawaida tu, yote ni fiction!
Balaa sanaHuyo mwamba bila shaka ni chuo cha chama kivukoni
Atakuwa wa Theophil Kisanji.Duh,ila we umezidi,
Umesoma chuo gani?
Hata mimi hii imenishinda.Dha, mm ni kufunga kamba za viatu. Ile system ya kuweka tobo ili kamba ipite juu sijui itokee chini uweke tobo lingine ufike mwisho mm imenishinda aise
😂😂😂 Sisi tunajaribu kuhamasishana na kuelimishana juu ya uchimbaji wa vyooNajaribu ku figure out inakuwaje nchi kama Korea ambayo ilianza from scratch baada ya vita ya peninsula miaka ya 1950s ambayo ni almost sawa na sisi tulipopata uhuru (hakuna tofauti ya miaka 10).
Wao wanawaza kufanya expeditions huko kwenye space wakati sisi tunajaribu kuhamasishana na kuelimishana juu ya uchimbaji wa vyoo.
CCM ni cancer iliyojichimbia hata kwa chemotherapy hatupati ahueni.
Bangi unayovuta Ni ya wapiHIVI KWELI DUNIA NI DUARA .??
KAMA NDIYO NI NCHI GANI ZIPO KWENYE NCHA YA DUARA .
PIA KUNA UHUSIANO GANI KATI YA MWAKA NA MIEZI KUMI NA MBILI ?? AU WIKI NA SIKU SABA ..??
PIA NI KWELI AKILI ZIPO KICHWANI TU ??
Hata dining table?Table zote zinanipa changamoto kwakweli.