Ni Funzo Gani Kubwa Ulijifunza / Unajifunza Kutoka Kwa Wazazi wako

osmaney

JF-Expert Member
Jan 18, 2017
1,041
998
Habari Wana JamiiForums!

Poleni na harakati za utafutaji wa riziki, hongereni pia. MUNGU awajalie katika utafutaji wenu.

Hili ni jukwaa la elimu, kama mada inavyojieleza, naomba tupate elimu kidogo kupitia wazazi wetu.

Karibuni
 
Usitegemee ndugu

tafuta sana pesa, ikiwezekana andaa urithi/mali kwa ajili ya watoto wako kabla ujawapata na uwaandikishie kisheria, hii utakuja kuwanufaisha hata baada ya wew kutwaliwa ama kuepuka mizinguano na ndugu kwa kugombeana mali pale utwaliwapo ama mnapoachana na mke anapojarbu kufanya husda kwenye mali zako

penda kwa kiasii, usimuamin mtu yeyote, ikiwezekana hata wew usijiamini

ndoa si sehem ya kila mtu kuingia, ukiona hauna moyo wa kustahimil na uvumilivu ni bora ubaki single milele ama ukawe padri parokiani huko, kulko kuingia ktk tahasisi yenye mitihani migumu kila siku(ndoa)

waheshimu sana wale wanaokuwa nawe ktk shida, kaa mbali na ndugu wenye vijicho,husda, wivu, hawa hawakawii kukutoa msukule siku ukifanikiwa

ishi mbali na eneo ulilozaliwa na jitenge mbali na kila aina ya ndugu, punguza shobo kwa ndugu wasioeleweka, maana hawa ndio chanzo cha matatizo
 
Usitegemee ndugu

tafuta sana pesa, ikiwezekana andaa urithi/mali kwa ajili ya watoto wako kabla ujawapata na uwaandikishie kisheria, hii utakuja kuwanufaisha hata baada ya wew kutwaliwa ama kuepuka mizinguano na ndugu kwa kugombeana mali pale utwaliwapo ama mnapoachana na mke anapojarbu kufanya husda kwenye mali zako

penda kwa kiasii, usimuamin mtu yeyote, ikiwezekana hata wew usijiamini

ndoa si sehem ya kila mtu kuingia, ukiona hauna moyo wa kustahimil na uvumilivu ni bora ubaki single milele ama ukawe padri parokiani huko, kulko kuingia ktk tahasisi yenye mitihani migumu kila siku(ndoa)

waheshimu sana wale wanaokuwa nawe ktk shida, kaa mbali na ndugu wenye vijicho,husda, wivu, hawa hawakawii kukutoa msukule siku ukifanikiwa

ishi mbali na eneo ulilozaliwa na jitenge mbali na kila aina ya ndugu, punguza shobo kwa ndugu wasioeleweka, maana hawa ndio chanzo cha matatizo
Thanks so much mkuu, kiukwel ni funzo kubwa wamekupatia. yote sita nimeyachukua
 
👉Nakumbuka niliwahi kuambiwa mweshimu Kila mtu hata wale usiofamihana nao ipo siku utautambua uwepo na uthamani wao katika maisha yako.

👉Jiweke mbali na mtu , ndugu, au Rafiki asiye kuthamini na kukujali mpe tabasamu lakini pita kishoto.

👉Katika masuala ya ndoa na mahusiano wazazi huwa chanzo cha mahusiano kuvunjika.

👉Jiweke aiba ya kifedha au assets kama vile nyumba za kupangisha na maduka.

👉Kam umeajirika taasisi ya kiserikali au taasisi binafsi usikubali kutegemea monthly income bali jianzishie kimradi kama vile ufugaji wa kuku, nguruwe na hata kuanzisha biashara utakuwa bize na shughuli zako katika maisha yako no time to waste everyday.

👉Katika yote muweke Mungu/Mola wako mbele yako katika Kila Jambo ulifanyalo pia usikate taamaa pale mambo yanapoenenda vibaya.
 
Back
Top Bottom