"Ni bora ukose Mali lakini upate Akili”. Huu usemi kwa Tanzania ni kweli au Shida ni CCM?

RNA

JF-Expert Member
Mar 27, 2013
1,584
2,683
Akili ni kile kinachobakia baada ya kutoa vyote ambavyo umejifunza darasani, na hiki ndio huwa kinakuwa kipimo cha uwezo wa kufikiri.

Haishangazi sana kukuta mtu wa darasa la saba na prof likatokea jambo wote wakawaza sawa na kutoa suluhu moja maana yake akili ziko sawa ingawa mmoja ni prof anajua mambo mengiz

Africa tuna mali nyingi sana ila watu wenye akili ni wachache sana , Mabeberu na Mabara mengine wana akili ila hawana mali.

Mabeberu huja Africa kutafuta mali, sababu Africa watu wengi hawana akili ni rahisi tu kwa akili zao kuchukia Mali.

Tunachofanywa Africa sina uhakika tanzania ni watu wenye akili wanatumia udhaifu wetu huo kupata mali na kuendeleza nchi zao .

Leo tar 10/6/2023 hii tumeachia wageni bandari. Je katika sababu zilizotolewa kuna sababu yoyote ambayo watanzania tungeshindwa kuitatua mpaka tuite watu?

Jibu hapana ila wenye akili wanaendelea kututawala.

Je, Watanzania kweli hatuna akili na uwezo wa kuendesha miradi yetu au CCM wanatufanya wote tuonekane hatuna akili? Maana tuna maliasili nyingi lakini toka uhuru bado changamoto ni zile zile.
 
Limeendelea kuwa bara la giza kwa muda mrefu sana.
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Watu wanaosema shida ni CCM hawana akili kabisa.Kwa sababu wangekuwa na akili washaiondosha CCM.Mi naona tatizo ni akili sio CCM.
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Akili ni kile kinachobakia baada ya kutoa vyote ambavyo umejifunza darasani, na hiki ndio huwa kinakuwa kipimo cha uwezo wa kufikiri.

Haishangazi sana kukuta mtu wa darasa la saba na prof likatokea jambo wote wakawaza sawa na kutoa suluhu moja maana yake akili ziko sawa ingawa mmoja ni prof anajua mambo mengiz

Africa tuna mali nyingi sana ila watu wenye akili ni wachache sana , Mabeberu na Mabara mengine wana akili ila hawana mali.

Mabeberu huja Africa kutafuta mali, sababu Africa watu wengi hawana akili ni rahisi tu kwa akili zao kuchukia Mali.

Tunachofanywa Africa sina uhakika tanzania ni watu wenye akili wanatumia udhaifu wetu huo kupata mali na kuendeleza nchi zao .

Leo tar 10/6/2023 hii tumeachia wageni bandari. Je katika sababu zilizotolewa kuna sababu yoyote ambayo watanzania tungeshindwa kuitatua mpaka tuite watu?

Jibu hapana ila wenye akili wanaendelea kututawala.

Je, Watanzania kweli hatuna akili na uwezo wa kuendesha miradi yetu au CCM wanatufanya wote tuonekane hatuna akili? Maana tuna maliasili nyingi lakini toka uhuru bado changamoto ni zile zile.
Hapo ndipo umuhimu wa katiba mpya unapoonekana ili kupunguza mamlaka ya Rais,
Sasa si bora tu tungempa kagame mweusi mwenzetu kuliko huyo mwarabu
 
..
JamiiForums-368864546.jpg
FB_IMG_1591342478234.jpg
FB_IMG_1572697051230.jpg
 
Watu wanaosema shida ni CCM hawana akili kabisa.Kwa sababu wangekuwa na akili washaiondosha CCM.Mi naona tatizo ni akili sio CCM.
Wako sawa, waache. Kila miaka 5 kuna Uchaguzi, tusubiri Ilani yao. Kama watataka kutawala kwa mabavu au kuvuruga amani vyombo vya dola vipo kuwadhibiti. Ndiyo kazi yake.
 
Akili ni kile kinachobakia baada ya kutoa vyote ambavyo umejifunza darasani, na hiki ndio huwa kinakuwa kipimo cha uwezo wa kufikiri.

Haishangazi sana kukuta mtu wa darasa la saba na prof likatokea jambo wote wakawaza sawa na kutoa suluhu moja maana yake akili ziko sawa ingawa mmoja ni prof anajua mambo mengiz

Africa tuna mali nyingi sana ila watu wenye akili ni wachache sana , Mabeberu na Mabara mengine wana akili ila hawana mali.

Mabeberu huja Africa kutafuta mali, sababu Africa watu wengi hawana akili ni rahisi tu kwa akili zao kuchukia Mali.

Tunachofanywa Africa sina uhakika tanzania ni watu wenye akili wanatumia udhaifu wetu huo kupata mali na kuendeleza nchi zao .

Leo tar 10/6/2023 hii tumeachia wageni bandari. Je katika sababu zilizotolewa kuna sababu yoyote ambayo watanzania tungeshindwa kuitatua mpaka tuite watu?

Jibu hapana ila wenye akili wanaendelea kututawala.

Je, Watanzania kweli hatuna akili na uwezo wa kuendesha miradi yetu au CCM wanatufanya wote tuonekane hatuna akili? Maana tuna maliasili nyingi lakini toka uhuru bado changamoto ni zile zile.
20230611_055223.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi yeyote anayepatikana kwa njia ya ulaghai,kubebwa na mfumo au kurithishwa hawezi kuwa mwema maana hiyo nafasi inakuwa ni kubwa kwake kuliko uwezo wake wa kutatua matatizo
 
Back
Top Bottom