Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 879
- 4,123
Kuna wakati tunasema tuna deep state, kuna wakati tunasema tunategemea Mungu na kuna wakati tunasema tunatengeneza kizazi za watu waadilifu.
Tumeona janga kubwa lililopo sasa kwamba nchi nzima vijana wenye nguvu ni wale waliotuhumiwa kutumia madaraka vibaya, waliojitolea kuwa chawa na watoto wa viongozi.
Tunaporuhusu Taifa likaongozwa na makundi tajwa hapo juu tunaruhusu kutawaliwa na wenye akili kutoka nje. Tunaweza tukadhani tunapambana na upinzani lakini tunapambana na watanzania wa CCM na wasio wana CCM.
Kila mtu anafahamu namna watu walivyopata matatizo kupitia vijana wanaorejeshwa ofisini. Yamkini wanaogopeka na mfumo ila hatuna mwisho mwema.
Ipo siku watawakwa tamaa na hapo ndipo watakapodhuru watetezi wao. Ogopa kumwaga damu ya mtu
Tumeona janga kubwa lililopo sasa kwamba nchi nzima vijana wenye nguvu ni wale waliotuhumiwa kutumia madaraka vibaya, waliojitolea kuwa chawa na watoto wa viongozi.
Tunaporuhusu Taifa likaongozwa na makundi tajwa hapo juu tunaruhusu kutawaliwa na wenye akili kutoka nje. Tunaweza tukadhani tunapambana na upinzani lakini tunapambana na watanzania wa CCM na wasio wana CCM.
Kila mtu anafahamu namna watu walivyopata matatizo kupitia vijana wanaorejeshwa ofisini. Yamkini wanaogopeka na mfumo ila hatuna mwisho mwema.
Ipo siku watawakwa tamaa na hapo ndipo watakapodhuru watetezi wao. Ogopa kumwaga damu ya mtu