'Ngabu nina mimba'

'Ngabu nina mimba'

'ngabu nina mimba' nikajua unamimba kweli...
 
Ila videmu vingi uki interact now unaweza ukainunia jinsia nzima akili ndogo sana hadi unapatwa na hasira
 
Hivi videmu vya CBE bana...sijui huwa vinadhani kila mtu alipataga divisheni 4 na 5!

Sijawahi kuona videmu vipumbavu kama hivyo vya CBE na pale Magogoni.

Okay, sawa...tuliundamana. Hilo sikatai. Lakini ilikuwa ni mara moja tu.

Ingawa tulitumia kinga lakini ukweli wa mambo hizi kinga za mipira si jadidi kivile.

Nadhani wengi wenu mtakuwa mnalijua hilo. Nyakati zingine huwa zinapasuka na kuleta madhara ambayo hayakukusudiwa.

Hivi kweli mimba inaweza kuonekana baada ya siku 5? Mimba gani hiyo....ya bikira Maria?

Mtu hata haya hana anakuja anakuangalia machoni huku akijiliza eti 'Ngabu nina mimba yako'!

Ebo! Hivi mtu kama huyo unamweka kwenye kundi gani sasa?

Manake hiyo ni dharau kubwa sana ya upeo wangu. Ni kwamba umenipima ukaniona mimi ni zuzu wa kuweza kudanganyika kirahisi namna hiyo?

Nyambaaf kabisa..wajinga wajinga kama hao ni wa kuwatimua.

Unaniambia una mimba yangu halafu baada ya siku mbili tatu nakuona Wantashi unakunywa pombe! Mimba gani hiyo?

Eti mimba baada ya siku 5 halafu unaniletea na kicheti cha kufoji foji eti umeenda kwa daktari ukapima ukaonekana una mimba.

FOH!
Mkuu huyu demu si ulishawahi leta threads yake kwamba umemuacha sijui anatishia kumuloga? Kulikoni leo? Au huyu ni demu mwingine wa cbe?
 
Ndomu za jero sio aise! Mi nikiona sina uhakika wa kupata angalau rough rider ntajikaza niache. bora we ni mimba! Kesho ukiambiwa pancha la maisha?

Mkuu hata mimi...nina shida hiyo...Rough Rider au Durex sana sana. Nikikosa hizo bora hata kuahirisha. Sio dharura ati. Ha ha ha
 
Ngabu umetunukiwa mkuu. Wewe jiandae tu kulea na kuitwa baba..."kitanda hakizai haramu"
 
Hivi videmu vya CBE bana...sijui huwa vinadhani kila mtu alipataga divisheni 4 na 5!

Sijawahi kuona videmu vipumbavu kama hivyo vya CBE na pale Magogoni.

Okay, sawa...tuliundamana. Hilo sikatai. Lakini ilikuwa ni mara moja tu.

Ingawa tulitumia kinga lakini ukweli wa mambo hizi kinga za mipira si jadidi kivile.

Nadhani wengi wenu mtakuwa mnalijua hilo. Nyakati zingine huwa zinapasuka na kuleta madhara ambayo hayakukusudiwa.

Hivi kweli mimba inaweza kuonekana baada ya siku 5? Mimba gani hiyo....ya bikira Maria?

Mtu hata haya hana anakuja anakuangalia machoni huku akijiliza eti 'Ngabu nina mimba yako'!

Ebo! Hivi mtu kama huyo unamweka kwenye kundi gani sasa?

Manake hiyo ni dharau kubwa sana ya upeo wangu. Ni kwamba umenipima ukaniona mimi ni zuzu wa kuweza kudanganyika kirahisi namna hiyo?

Nyambaaf kabisa..wajinga wajinga kama hao ni wa kuwatimua.

Unaniambia una mimba yangu halafu baada ya siku mbili tatu nakuona Wantashi unakunywa pombe! Mimba gani hiyo?

Eti mimba baada ya siku 5 halafu unaniletea na kicheti cha kufoji foji eti umeenda kwa daktari ukapima ukaonekana una mimba.

FOH!
Ngabu wewe wewe? Ahahahahahahaa nimecheka sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom