naan ngik-kundie
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 1,766
- 2,435
[QUOTE="Nadhani wengi wenu mtakuwa mnalijua hilo. Nyakati zingine huwa zinapasuka na kuleta madhara ambayo hayakukusudiwa.
"[/QUOTE]
Pole sana aisee
Mimi hivi Vikondom vilishanishinda kwa kweli, maana hakuna siku niliyokutumia kikaacha kubast, wengine wananniambia uwa navaa vibaya, yaani ata km Kule mbele ukikaachia nafasi ya kutosha katapasuka tu, bahati yangu sijawahi kushikishwa mimba.
"[/QUOTE]
Pole sana aisee
Mimi hivi Vikondom vilishanishinda kwa kweli, maana hakuna siku niliyokutumia kikaacha kubast, wengine wananniambia uwa navaa vibaya, yaani ata km Kule mbele ukikaachia nafasi ya kutosha katapasuka tu, bahati yangu sijawahi kushikishwa mimba.
