'Ngabu nina mimba'

'Ngabu nina mimba'

Mbavu zangu, nawe umepimwa nao naona. Bora mnajionea tunayoyasoma humu na kutuletea mifano hai kila mara.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
USA BABY!! Bora urudi kwa weupe lakin mbona dna ipo? Wenda anakudanganya! Two weeks mpeleke mwenyewe akapime ukiwepo
 
USA BABY!! Bora urudi kwa weupe lakin mbona dna ipo? Wenda anakudanganya! Two weeks mpeleke mwenyewe akapime ukiwepo

Ukweli utajulikana tu.

Zama hizi huwezi mdanganya mtu labda atake yeye tu kudanganywa.
 
Hehehe!! Unalo wewe, halafu labda ulimsifia sana mambo ya USA baby hadi akaona kama umeshukia kutoka huko.
Lakini kuwa makini usije ukampa stress halafu aitoe na kumbe ilikua serious ni mwanao. Kama kweli ni wako, basi kuwa tayari kumtunza na kumlea, your blood shouldn't suffer in this world.
 
Anakupima huyo kujua kama Je ikitokea hivo utalipokeaje?? Yeah it sometimes happen kama binti umefanya kavu ila hukuwa na uhakika na siku zileee hatarishi so unajihami mapemaaa kwa mhusika kujua uelekeo!
 
Umeona eeh....huyu atakuwa keshapima upepo akaona hapa kwa Ngabu ndo pa kutokea.

Sidanganyiki!

Lakini si mlifanya????!ilikua kavu kavu???? Ukamwaga humohumo ndani???? au ulimwaga nje???? Au mdomoni???? Au kwenye butts ??
 
Mkuu msamehe tu huyo bidada. Yote haya kayataka Msukuma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom