'Ngabu nina mimba'

'Ngabu nina mimba'

Siku unamkula ulikuwa umepiga unyunyu gani?. Ule wa Neiman Marcus wa $800?. Sasa hapo kwa nini asikubambikie, chezea mechi za one night stand wewe!.@Nyani Ngabu
 
Umekosea kuwaita mademu wa CBE ni "wapumbavu "
Generalization kwa sampuli ya mtu mmoja haina mantiki, otherwise uwe uwe na sampuli ya kutosha
Back to the Point
Hahaaa kametengeneza mazingira ya kukufanya division 5 carrier. DNA test ni kumsumbua tu mkemia.
 
Hivi videmu vya CBE bana...sijui huwa vinadhani kila mtu alipataga divisheni 4 na 5!

Sijawahi kuona videmu vipumbavu kama hivyo vya CBE na pale Magogoni.

Okay, sawa...tuliundamana. Hilo sikatai. Lakini ilikuwa ni mara moja tu.

Ingawa tulitumia kinga lakini ukweli wa mambo hizi kinga za mipira si jadidi kivile.

Nadhani wengi wenu mtakuwa mnalijua hilo. Nyakati zingine huwa zinapasuka na kuleta madhara ambayo hayakukusudiwa.

Hivi kweli mimba inaweza kuonekana baada ya siku 5? Mimba gani hiyo....ya bikira Maria?

Mtu hata haya hana anakuja anakuangalia machoni huku akijiliza eti 'Ngabu nina mimba yako'!

Ebo! Hivi mtu kama huyo unamweka kwenye kundi gani sasa?

Manake hiyo ni dharau kubwa sana ya upeo wangu. Ni kwamba umenipima ukaniona mimi ni zuzu wa kuweza kudanganyika kirahisi namna hiyo?

Nyambaaf kabisa..wajinga wajinga kama hao ni wa kuwatimua.

Unaniambia una mimba yangu halafu baada ya siku mbili tatu nakuona Wantashi unakunywa pombe! Mimba gani hiyo?

Eti mimba baada ya siku 5 halafu unaniletea na kicheti cha kufoji foji eti umeenda kwa daktari ukapima ukaonekana una mimba.

FOH!
pole ndugu amekuonà weẅe mbuz wa kuchunwa
 
Demu anataka kuwa vice-president wa wabeba box huyo chezea US baby.
 
Hivi videmu vya CBE bana...sijui huwa vinadhani kila mtu alipataga divisheni 4 na 5!

Sijawahi kuona videmu vipumbavu kama hivyo vya CBE na pale Magogoni.

Okay, sawa...tuliundamana. Hilo sikatai. Lakini ilikuwa ni mara moja tu.

Ingawa tulitumia kinga lakini ukweli wa mambo hizi kinga za mipira si jadidi kivile.

Nadhani wengi wenu mtakuwa mnalijua hilo. Nyakati zingine huwa zinapasuka na kuleta madhara ambayo hayakukusudiwa.

Hivi kweli mimba inaweza kuonekana baada ya siku 5? Mimba gani hiyo....ya bikira Maria?

Mtu hata haya hana anakuja anakuangalia machoni huku akijiliza eti 'Ngabu nina mimba yako'!

Ebo! Hivi mtu kama huyo unamweka kwenye kundi gani sasa?

Manake hiyo ni dharau kubwa sana ya upeo wangu. Ni kwamba umenipima ukaniona mimi ni zuzu wa kuweza kudanganyika kirahisi namna hiyo?

Nyambaaf kabisa..wajinga wajinga kama hao ni wa kuwatimua.

Unaniambia una mimba yangu halafu baada ya siku mbili tatu nakuona Wantashi unakunywa pombe! Mimba gani hiyo?

Eti mimba baada ya siku 5 halafu unaniletea na kicheti cha kufoji foji eti umeenda kwa daktari ukapima ukaonekana una mimba.

FOH!
USA BABY!
!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hongera Baba Mtarajiwa ndom ilipasuka kutokana na pace isiyo ya kawaida, jiandae kulea ila DNA inakuhusu wasije wakakubambikia bure si unawajua Wabongo!? USA baby!!!! 🙂🙂🙂

Kundi la wanaotaka watoto wao wawajue baba zao na wapate matunzo wanayostahili, USA Baby!!!
Eid Mubarak BAK
 
  • Thanks
Reactions: BAK
USA BABY!
!

You got tha right!

People will stop at nothing to try to get their hands on the American dream.

USA baby
upload_2016-7-6_16-48-22.png
upload_2016-7-6_16-48-24.png
upload_2016-7-6_16-48-25.png
.
 
  • Thanks
Reactions: BAK

Similar Discussions

Back
Top Bottom